Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Mbona unataka kumchuna?
Hii case ishakua ngumu
Ma mkali uwe na usiku mwema.
mm nalala.

Mm mapema sana leo. Nina ratiba ya kuamka saa 9 usiku 😣😣😣 nina kasafari.

Alafu naomba uwe makini . Maana Nimeweka wanasheria wawili kuangalia maneno ya shem ephen_ dhidi yetu.
ila aaaagh. Nitawatoa na hela yote ya mawakili nitakuwa nampa yeye.😊😊😊.

Kwahiyo atakula Ushemeji allowance, na hela ya mawakili.
Sasa sijui atake nini tena kwangu.😊😊😋

Usiku mwema pia shem wangu kabisa ephen_
 
Ma mkali uwe na usiku mwema.
mm nalala.

Mm mapema sana leo. Nina ratiba ya kuamka saa 9 usiku 😣😣😣 nina kasafari.

Alafu naomba uwe makini . Maana Nimeweka wanasheria wawili kuangalia maneno ya shem ephen_ dhidi yetu.
ila aaaagh. Nitawatoa na hela yote ya mawakili nitakuwa nampa yeye.😊😊😊.

Kwahiyo atakula Ushemeji allowance, na hela ya mawakili.
Sasa sijui atake nini tena kwangu.😊😊😋

Usiku mwema pia shem wangu kabisa ephen_
win-one atalala vizuri leo! Kashasikia ahadi ya sasampa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom