Uzi wa vyakula tu

Utajafunga ila tunafuturu, mpaka mwezi uishe tumekua vifutuView attachment 784564
Kwa kweli nimeona nichangie tu
Watu wengi wanapoteza mda mwingi kupika vyakula vingi ambapo ndio tumejifanyia utaratibu huo wa kula kula tu mwezi wa toba

Lakini kuna mataifa mengine nimewaona wanatengeneza vitu simple kama fruit salad na maziwa waliochanganya na ladha tofauti.
Hiyo inawapa mda hata kina mama wafanye Ibada zaidi na kumuomba Mungu sana.
Kwani ni mwezi wa toba na kuomba sana sio Kula sana
 
Kwa kweli nimeona nichangie tu
Watu wengi wanapoteza mda mwingi kupika vyakula vingi ambapo ndio tumejifanyia utaratibu huo wa kula kula tu mwezi wa toba

Lakini kuna mataifa mengine nimewaona wanatengeneza vitu simple kama fruit salad na maziwa waliochanganya na ladha tofauti.
Hiyo inawapa mda hata kina mama wafanye Ibada zaidi na kumuomba Mungu sana.
Kwani ni mwezi wa toba na kuomba sana sio Kula sana
Sijui wenyewe wenye mfungo wao mimi ni mualikwa tu wa futari.
 
IMG_2176.JPG
Break ya fast
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom