Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,096
- 9,074
Haya banaAiiii! Wanajua huwa hawajisifii
Am impressed![]()
Ntakuja kula
Haya banaAiiii! Wanajua huwa hawajisifii
Am impressed![]()
Ntakuja kula
Maziwa na nyama uliyouga nyanya havituhusiwi kiafya kwani maziwa yanatabia ya kuwa alkaline na nyama hiyo ni Acidic kitakochotokea tumboni ni mgando ambao utakufanya ulale masaa mengi kwasababu ya uchovu na kama unavidonda vya tumbo usipendelee kula hiyo menu
Asante kwa ushauri mkuu ila mtindi ni kisindikiza mlo changu cha kila siku na hayo uliyoyasema hapo juu hayajawai kunipata.Maziwa na nyama uliyouga nyanya havituhusiwi kiafya kwani maziwa yanatabia ya kuwa alkaline na nyama hiyo ni Acidic kitakochotokea tumboni ni mgando ambao utakufanya ulale masaa mengi kwasababu ya uchovu na kama unavidonda vya tumbo usipendelee kula hiyo menu
AhahaaMaziwa na nyama uliyouga nyanya havituhusiwi kiafya kwani maziwa yanatabia ya kuwa alkaline na nyama hiyo ni Acidic kitakochotokea tumboni ni mgando ambao utakufanya ulale masaa mengi kwasababu ya uchovu na kama unavidonda vya tumbo usipendelee kula hiyo menu
AhahaaMaziwa na nyama uliyouga nyanya havituhusiwi kiafya kwani maziwa yanatabia ya kuwa alkaline na nyama hiyo ni Acidic kitakochotokea tumboni ni mgando ambao utakufanya ulale masaa mengi kwasababu ya uchovu na kama unavidonda vya tumbo usipendelee kula hiyo menu
Kusteam kivipi??..embu nitoe ushamba.
Unacheka tena badala ya kunitoa ujinga..demiss bana,,!!!
Ni mchicha ambao umepikwa na kitunguu hoho na karoti nyingiiiKusteam kivipi??..embu nitoe ushamba.
Asante mich yuuuu 2Amich yuuu![]()
Aisee chapati kama imeshushwa vileNjoeni na chaiView attachment 796003