Uzalendo unahitajika kwenye timu za taifa

Uzalendo unahitajika kwenye timu za taifa

Uzalendo unaanzia kwenye mamlaka za juu, kama hata viongozi hawana uzalendo na upendo kwa taifa lao unategemea nini?? Chuki katika mioyo ya wananchi kwa serikali hii dhalimu na iliyojaa damu ni kubwa sana, na hii tabia ya kila kizuri anapewa sifa Rais na kibaya ni chetu wote wananchi imepelekea hata watu kushabikia timu pinzani na zetu kwa sababu wanajua zikishinda sifa zote zinaenda kwa huyo Rais na machawa wake
Mkuu viongozi wote ni wazalendo na wachapa kazi that's y miradi inasonga Kwa speed
 
Mkuu mpira inahitaji support kubwa ya serikali....je unakubali Hilo?????

Kama ndio basi hyo serikali ipo chini ya Irani ya CCM........japo hata chadema wangeamua kuchangia wale vijana..... serikali inge acknowledge
Laana hautowaacha mbogamboga hilo liwekwe kichwani
 
Sometimes watu kufurahia matokeo mabaya ni sawa kabisa. Sababu kabla ya mechi huwa mnamuomba Mungu, halafu timu ikishinda mnamshukuru Sa100. Hiyo team haitokaa ifanikiwe 🤣🤣🤣
 
Kama taifa lazima tuzikemee hizi tabia zinazochipukia Kwa Hawa vijana wa hovyo kufurahia matokeo mabaya ya mpira .....kama mdau wa soka nakemea jambo hili

Lazima tuwe wazalendo Kwa kuwa serikali inatumia gharama kubwa ku fund timu zetu😬😬😬

View attachment 3600313
Uzalendo Sandie kwa kuweka sera kupunguza idadi ya wachezaji wa kigeni kwenye clubs zetu
 
Back
Top Bottom