Uzalendo unahitajika kwenye timu za taifa

Uzalendo unahitajika kwenye timu za taifa

Kama taifa lazima tuzikemee hizi tabia zinazochipukia Kwa Hawa vijana wa hovyo kufurahia matokeo mabaya ya mpira .....kama mdau wa soka nakemea jambo hili

Lazima tuwe wazalendo Kwa kuwa serikali inatumia gharama kubwa ku fund timu zetu😬😬😬
Chochote kinachoguswa na wana CCM hugeuka kuwa laana tupu.Mungu ameikataa CCM na makopo yake.Laana kum!
 
Kama taifa lazima tuzikemee hizi tabia zinazochipukia Kwa Hawa vijana wa hovyo kufurahia matokeo mabaya ya mpira .....kama mdau wa soka nakemea jambo hili

Lazima tuwe wazalendo Kwa kuwa serikali inatumia gharama kubwa ku fund timu zetu😬😬😬
Kumuhubiria uzalendo kijana ambaye ametengenezewa dhiki ya kimkakati hata kumfanya atamani angezaliwa mbwa Ulaya au Marekani sio Jambo jepesi.
 
Tatizo ni CCM na siasa za kishenzi.
sasa hivi wameshaua simba na yanga kwa sababu za kijinga jinga. walijaribu kupita na upepp arsenal lakini wapi Serengeti boys nayo chali.

waache mpira ujiongelee wenyewe Samia na ana laaana jambo lolote analoshadadia lazima libume
Eti jambo lolote lazima libume!
1. Ni enzi za mh. Samia yanga kafika fainali ya shirikisho caf tangu ulimwengu wa yanga kuumbwa

2. Ni enzi za mh. Samia simba kafika fainali ya shirikisho caf

3. Tangu ulimwengu kuumbwa, ni enzi hizi za mh. Samia taifa stars imefika 16 bora afcon

4. Ni enzi ya mh. Samia ligi ya tanzania imekuwa kwenye sita bora africa.

5. Tangu ulimwengu kuumbwa, ni enzi ya samia taifa u17 wamecheza fainali afcon.

6. Tangu ulimwengu uwepo, ni enzi ya samia afcon kufanyikia tanzania.

Bado wale serengeti girls walioenda kombe la dunia india, bado CHAN.

HAYA WEWE TUONYESHE AMBAYO HAYAKUBUMA ENZI ZA BARAKA TOFAUTI NA SASA!
 
Kama taifa lazima tuzikemee hizi tabia zinazochipukia Kwa Hawa vijana wa hovyo kufurahia matokeo mabaya ya mpira .....kama mdau wa soka nakemea jambo hili

Lazima tuwe wazalendo Kwa kuwa serikali inatumia gharama kubwa ku fund timu zetu😬😬😬
Kila serikali duniani ina jukumu la kutumia gharama kwa walipa kodi wake,sasa tuambie serikali gani uliyoiona ww duniani katika kila jambo wanaingiza siasa?
 
Sio kwenye mpira wa miguu ambao unataka mbinu,mazoezi na ufundi,mambo ya uzalendo huchangia chini ya asilimia 10 kwenye ushindi.Timu yetu ya vijana ilipambana sana,tulizidiwa mbinu,ufundi na maarifa
Je Sasa huoni haja ya kuwapongeza na kuipongeza serikali Kwa hatua ilipofika
 
Kumuhubiria uzalendo kijana ambaye ametengenezewa dhiki ya kimkakati hata kumfanya atamani angezaliwa mbwa Ulaya au Marekani sio Jambo jepesi.
Vijana wawe wavumilivu....Hali hii tunaipitia hata ulaya waliipiitia kipindi Cha miaka ya 1645s 1400s .....enzi za kina King Charles 1.......king Louis xiv etc
 
Back
Top Bottom