Tukutane Viwanja Vya Mwembe Yanga Temeke Tuungane Kuwa WazalendoNi sahihi mkuu lakini inafuatana na mambo hayo
Lakini kwenye jambo la kitaifa lazima tuungane positively
Kama hayana tija, hajuna ulazima wa kuwa pamoja.Kwenye mombo ya kitaifa ni vizuri kuwa pamoja
Wacha iwe hivyo, yani nafurahi sana ccm mkiteseka na popote mnapojiingiza mnafeli vibaya sanaVijana kama nyie Mna mchango mdogo kwenye nchi ....in magu voice
Jana nimepata jumla ya Sh laki 8 na 32 zaidi ya mshahara wa muuguzi mwenye diploma kwa mwezi mzima kwa dk 20 tu.Umeongeza sh ngapi baada ya timu kufungwa?
HongeraJana nimepata jumla ya Sh laki 8 na 32 zaidi ya mshahara wa muuguzi mwenye diploma kwa mwezi mzima kwa dk 20 tu.
Kwa kubet against timu lenu la siasa
Option was this Senegal to win after penalty shootout basi
Wapi buko.serikali inajihusisha na mpira? Mpira una chanel zake bwanaMkuu mpira inahitaji support kubwa ya serikali....je unakubali Hilo?????
Kama ndio basi hyo serikali ipo chini ya Irani ya CCM........japo hata chadema wangeamua kuchangia wale vijana..... serikali inge acknowledge
Uliwahi kusikia Brazil, Argentina, Spain wakitaja vyama vya siasa kwenye mpira au kwamba mafanikio yao yanatokana ns Rais wao?Mkuu mpira inahitaji support kubwa ya serikali....je unakubali Hilo?????
Kama ndio basi hyo serikali ipo chini ya Irani ya CCM........japo hata chadema wangeamua kuchangia wale vijana..... serikali inge acknowledge
Mimi na wewe nani atakuwa anabangaiza kwenye haya maisha? Mtu bila kuamka asubuh maisha yako hayakwendi nduguzo wafa njaaHongera
Endelea kubangaiza.
MkuuWengi mliifuata hii Team baada ya kuona kaingia fainali..tuliokuwa tunawaangalia tulijua tu madudu yataanza.
Si kila jembo linataka kelele then na mkajipa jina la Team ya fulani..bila fulani..bila nani..Wahuni wahuni plus mijisifa.. kwa maelezi hii si team ya taifa ni team ya kikundi fulani ikifanikiwa.
Waendelee kugongwa huko mbeleni.
uzalendo haucheziKama taifa lazima tuzikemee hizi tabia zinazochipukia Kwa Hawa vijana wa hovyo kufurahia matokeo mabaya ya mpira .....kama mdau wa soka nakemea jambo hili
Lazima tuwe wazalendo Kwa kuwa serikali inatumia gharama kubwa ku fund timu zetu😬😬😬
Tofauti ni kuwa kwenye hizo nchi vyama vya soka na timu Zina uchumi mkubwa tofauti na TzUliwahi kusikia Brazil, Argentina, Spain wakitaja vyama vya siasa kwenye mpira au kwamba mafanikio yao yanatokana ns Rais wao?
Inzi angeacha ujinga angetowa asali, mtakapoacha huu upumbavu wenu ndio mtaona mafanikio ya timu zetu.