Uzalendo unahitajika kwenye timu za taifa

Uzalendo unahitajika kwenye timu za taifa

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
23,011
Reaction score
32,907
Kama taifa lazima tuzikemee hizi tabia zinazochipukia Kwa Hawa vijana wa hovyo kufurahia matokeo mabaya ya mpira .....kama mdau wa soka nakemea jambo hili

Lazima tuwe wazalendo Kwa kuwa serikali inatumia gharama kubwa ku fund timu zetu😬😬😬

1780442190616.jpg
 
Kama taifa lazima tuzikemee hizi tabia zinazochipukia Kwa Hawa vijana wa hovyo kufurahia matokeo mabaya ya mpira .....kama mdau wa soka nakemea jambo hili

Lazima tuwe wazalendo Kwa kuwa serikali inatumia gharama kubwa ku fund timu zetu😬😬😬
Tatizo ni CCM na siasa za kishenzi.
sasa hivi wameshaua simba na yanga kwa sababu za kijinga jinga. walijaribu kupita na upepp arsenal lakini wapi Serengeti boys nayo chali.

waache mpira ujiongelee wenyewe Samia na ana laaana jambo lolote analoshadadia lazima libume
 
Kama taifa lazima tuzikemee hizi tabia zinazochipukia Kwa Hawa vijana wa hovyo kufurahia matokeo mabaya ya mpira .....kama mdau wa soka nakemea jambo hili

Lazima tuwe wazalendo Kwa kuwa serikali inatumia gharama kubwa ku fund timu zetu😬😬😬
Wachache watakuelewa mkuu.
Nimeumia kwa kukosa ushindi na maneno

Daah.
 
Tatizo ni CCM na siasa za kishenzi.
sasa hivi wameshaua simba na yanga kwa sababu za kijinga jinga. walijaribu kupita na upepp arsenal lakini wapi Serengeti boys nayo chali.

waache mpira ujiongelee wenyewe Samia na ana laaana jambo lolote analoshadadia lazima libume
Mkuu mpira inahitaji support kubwa ya serikali....je unakubali Hilo?????

Kama ndio basi hyo serikali ipo chini ya Irani ya CCM........japo hata chadema wangeamua kuchangia wale vijana..... serikali inge acknowledge
 
Kama taifa lazima tuzikemee hizi tabia zinazochipukia Kwa Hawa vijana wa hovyo kufurahia matokeo mabaya ya mpira .....kama mdau wa soka nakemea jambo hili

Lazima tuwe wazalendo Kwa kuwa serikali inatumia gharama kubwa ku fund timu zetu😬😬😬
Huwezi kulazimisha watu kupenda jambo fulani ambalo halina mashiko.
 
Mambo ya umama ndiyo yanatuharibia timu
Kisera ( raisi ndio mdau no Moja wa michezo mkuu.......bila yeye hakuna maendeleo ya michezo

Chukua homework hii
Fuatilia maendeleo ya kipindi Cha Nyerere na kipindi Cha mama wapi tupo mbele kisoka

Now ligi yetu ni Moja ya zile best 6 Africa
 
Kama taifa lazima tuzikemee hizi tabia zinazochipukia Kwa Hawa vijana wa hovyo kufurahia matokeo mabaya ya mpira .....kama mdau wa soka nakemea jambo hili

Lazima tuwe wazalendo Kwa kuwa serikali inatumia gharama kubwa ku fund timu zetu😬😬😬
Ni siasa za chadema za majitaka, za kishamba. Wameshindwa siasa safi sasa ni watu wa matusi, kufurahia nchi kupata matatizo, sasa tuwaulize kwa njia hiyo ndiyo watashika dola? Watanzania gani wawachague? Hao mapumbavu yenye stress za maisha!
 
Back
Top Bottom