timu za taifa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Labani og

    JamiiForums Tanzania Uzalendo unahitajika kwenye timu za taifa

    Kama taifa lazima tuzikemee hizi tabia zinazochipukia Kwa Hawa vijana wa hovyo kufurahia matokeo mabaya ya mpira .....kama mdau wa soka nakemea jambo hili Lazima tuwe wazalendo Kwa kuwa serikali inatumia gharama kubwa ku fund timu zetu😬😬😬
  2. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Makonda amteua Manara kuwa Msemaji wa Timu za Taifa

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amemteua Haji Manara kuwa Msemaji wa Timu za Taifa za Tanzania, akifanya kazi chini ya Baraza la Michezo la Taifa (BMT). Waziri Makonda ametangaza uteuzi huo leo Mei 28, 2026, akiwa viwanja vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa...
Back
Top Bottom