Nadhani pia naibu CDF wao ni mwanamama pia.Waziri wa ulinzi mwanamama ~ Wenzetu Kenya wana mwanamama kwenye wizara hii na mambo yanaenda safi sana, hii ni wizara iliyotulia. Haihitaj waziri mwenye makeke.
Aisee bongo nyoso... makafiri wanatolewa watelewa wanne afu wanarudishiwa mmoja... Mizani ibalance maana kipindi fulani Makafiri walijaa sana.kwenye baraza hili makafiri wamepungua sana ...just saying
Mmoja. Nimependa hii ili mjue kuwa WAISLAM PIA KUNA WATU KIBAO WAKUSHIKA HIZO NAFASI NA NCHI IKAWA SALAMA KABISAAKwa walioteuliwa wangapi hawali kitimoto?
Ni waziri wa MIUNDOMBINUKazi iendelee.
Hivi mawasiliano ni jambo la muungano? Mbona Makame ameteuliwa kwenye wizara ambayo sio ya Muungano wakati yeye ni Mzanzibari?
Ama ndio zamu ya wazanzibari?
Aiseeh wewe ni mdini hufai kabisaMmoja. Nimependa hii ili mjue kuwa WAISLAM PIA KUNA WATU KIBAO WAKUSHIKA HIZO NAFASI NA NCHI IKAWA SALAMA KABISAA
Mpumbavu wewe. Hata JK alikuwa MWANAJESHI
Ni kweli kabisa hata ule uwanja wa ndege kule kijijini kwao aliujenga kijanja [emojieUl
Unasema kweli ??? Una maana wote waliomzunguka Mama hawajui kitu ? Unatakiwa kujua kwamba Urais ni Taasisi, Amezungukwa na wasomi na wataalamu wa kila fani, hana sababu wala shida ya kumfuata MTU mwingine aliyeko nje ya system. Lakini pia anaweza akaufanyia kazi ushauri wako au wangu kama ataona una manufaa kwa Taifa.anayeongoza nchi hii anaishi Msoga. Pale Magogoni kuna ushungi tu.
uko nyuma ya keyboard unajipiga kifuani kuwa una maisha mazuri. Mkuu nakuhakikishie tu kuwa wewe ni njaa kali. Wenye uhakika wa maisha hatuna chuki za kipuuzi. Narudia tena we nenda mlaumu babako kwa kutokukuwekea mazingira mazuri ya maisha huku ukubwani.We unadhani kila mtu ana njaa kama wewe sio? Najua njaa ndo zinakufanya usijikie vibaya kuona meme wako makamba anasema vibaya.Ukimkubali wewe mkewe inatosha, sio lazima wote tumkubali.
Tafuta maisha uachanane na uchawa kijana, nakuona tu unashinda humu kuanzia asubuhi mpaka jioni unasubiria kila nyuzi uruke nayo.
mnaona jinsi inaumaAiseeh wewe ni mdini hufai kabisa
Unaonekana unanijua sana mkuu, maana una uhakika kabisa mimi ni njaa kali😅.uko nyuma ya keyboard unajipiga kifuani kuwa una maisha mazuri. Mkuu nakuhakikishie tu kuwa wewe ni njaa kali. Wenye uhakika wa maisha hatuna chuki za kipuuzi. Narudia tena we nenda mlaumu babako kwa kutokukuwekea mazingira mazuri ya maisha huku ukubwani.
Mnataka kurudi Chadema lakini mnaona aibu. Rudini tu mkuu milango iko wazi.Wakongwe wa JF wanajua tunapoelekea sasa. Bwawa la Nyerere lilipigwa vita sana, hizi mambo zote zitafumuliwa kidogo kidogo. Tuendelee na mtori wetu nyama ziko chini
Tupe sababu mkuu huwenda unavyomfahamu wewe sivyo tunavyo mfahamu wengine!!!!Makamba huyuhuyu? Aisee hii nchi kuja kuendelea ni ngumu sana
Makamba ni one of the worst MP's
Defitely, at least 75% wamevunjwa vunjwa, kingole mama kurembua!Sukuma gang is out of the ground...
Principles na kujiamini. Hata Magu alimpiga chini walivyotofautiana kwenye issue ya Covid19 japo akaja kurudishwa probably baada ya kuwekwa sawa behind the scene.Kilichomtoa Ndugulile ni nini sasa?
The Empire.Vijana wale wanarudi..
Soon nape, soon ridhiwan..
Nimekupata mkuuNafikiri ni influence za wazazi tu. Mkuu kuingia kwenye system ya serikali hasa ya CCM ni kazi sana kama hauna back up, labda kama atokee mtu ambae hayuko sawa na watu wanaoaminika kuwa ndo wenye CCM apate madaraka makubwa ndo akuingize kama walivyopata bahati akina Polepole, Bashiru, Kalemani, Protas, na MAJALIWA.
Kizembekizembe ni ngumu sana kupata nyazifa za juu, ndomaana Sasa hivi uatashuhudia uenguliwaji wa watu wote ambao hawana link na lile kundi linaloaminika kama (wenye CCM) kwasababu aliyewaweka hayupo tena.
Mgombea Urais ajae atashangaza sana, si ajabu akawa ni Madelu😅. Always wanazungukana tu humohumo.
Wanaume watatu watenguliwaRais Samia Suluhu kafanya mabadiliko madogo kwenye baraza la Mawaziri na mwanasheria mkuu wa Serikali kama ifuatavyo
- Rais Samia Suluhu amemteua Dkt. Stergomena Tax kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa, anachukua nafasi ya marehemu Elias Kwandikwa
- Dkt. Ashatu Kijaji ameteuliwa kuwa waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya habari kuchukua nafasi ya Dkt. Faustine Ndugulile ambae uteuzi wake umetenguliwa
- January Makamba anachukua nafasi ya Merdard Kalemani wizara ya Nishati
- Makame Mbarawa anachukua nafasi ya Chamuriho wizara ya ujenzi na uchukuzi
- Dkt. Feleshi anachukua nafasi ya Kilangi kuwa Mwanasheria mkuu wa Serikali
Waliopo wote hamna kitu pale, hamna wa kumsaidia na yeye anajua. Wote wale ni wezi tuI think we are missing back ups, alivyofariki Mh Kuandikwa imeshindikana kureplace kutoka kundi la wabunge waliopo mpaka akatafutwa nje yao. Nashauri watu mbadala wawe wanaandaliwa katika hizi nafasi kubwa.