Utalipwa kulingana na huduma uliyotoa

Utalipwa kulingana na huduma uliyotoa

Usijaribu mzee, kama ni sheria zako tembea nazo, hao wanakuwaga na magonjwa rare sometimes yaani ukienda hospital unaambiwa ni wachache sana wanapata huu sikuhizi na tiba zake zipo very complicated sio za siku zote kama UTI , etc kwahyo kwa watu kama hao wakuokota okota kinga muhimu ila sometimes wengi mzigo ukikolea na akili inahama kinga inatolewa na anaendelea na mambo, majuto yake yanaanzaja pale baada ya kumaliza tu ndo unapoona usiku mrefu sana
 
Watu watakufa miguu wamenyoosha juu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimempatia elfu tano ya kitanzania, analalamika. Wakati amekunywa na kula na mzigo sijapiga .
Mkuu you have to grow up, you know! Asa umempa 5k ya nini na mzigo hujala? Unachekesha 😀 😀
 
Jana nilikuwa na binti mfupi, mweusi na tako kubwaaaa , katika process aligoma kabisa kutumia condomu na falsafa yangu ni moja tu, siwezi ni kauza mechi , no matter how.

Pia, uwezi ukalipwa vizuri wakati huduma yako ni mbovu!

you get what you deserve
View attachment 2401958
Sasa hivyo viingereza vyenu si bora mchati kiswahili tuu.. [emoji23]

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Ila mkaka safi sana unajali afya yako hasa kama huyo ulimkuta barabarani
 
Back
Top Bottom