Utalipwa kulingana na huduma uliyotoa

Utalipwa kulingana na huduma uliyotoa

Ndo maana inatakiwa uwe kwenye serious relationship siyo kununua Malaya mkuu

Serious relationship ndizo haziambukizi magonjwa?

Toka umevunja ungo mpaka umri uliopo now umepitia mahusiano mangapi? Je hao wote waliokupitia unajua afya zao za magonjwa yote ya zinaa ? Kuna silent killer nyingi sana.

Vipimo vya STD hepatitis A, B,C,D,E havipo hospital zote. Ni ocean road tu na muhimbili ndiyo wanavyo vyote.

Bado hujaja kwenye kansa ya kizazi, ama hujui kansa ya kizazi inaambukizwa kwa ngono zembe pia?

Hayo magonjwa kwa mfano utapima na kila mpenzi mpya unayeanza nae mahusiano baada kuachana na dear X
 
Adabu ndio kitu muhimu sana maana ukijitoa ufahamu tu utanasa kwa mara nyingi na kwa awamu hii mateso yake yatakua si km yale ya mwanzo
Ni kweli kabisa, cha ajabu yule binti aligoma kabisa haumwi na hospitali kagoma kwenda na akanigeuzia kibao kwamba nilichepuka
 
Ni kweli kabisa, cha ajabu yule binti aligoma kabisa haumwi na hospitali kagoma kwenda na akanigeuzia kibao kwamba nilichepuka
Malaya hana adabu, unaambiwa malàya usipokua nae makini hachelewi kukuitia mwizi na ukachomwa moto mbele yake hivi anakuona unateketea, huyo ndio malàya kua makini na Malaya mkuu la sivyo tutakupoteza
 
Hawa wote wauzaji tu...mnunuzi na muuzaji wote fungu moja...
Sasa anamtolea dada wa watu povu kwani wakati anaomba mechi si alijua kabisa hana thamani ya buku 5? Hiyo inaitwa kimeumana
Ha ha haa,sure yaan
 
Serious relationship ndizo haziambukizi magonjwa?

Toka umevunja ungo mpaka umri uliopo now umepitia mahusiano mangapi? Je hao wote waliokupitia unajua afya zao za magonjwa yote ya zinaa ? Kuna silent killer nyingi sana.

Vipimo vya STD hepatitis A, B,C,D,E havipo hospital zote. Ni ocean road tu na muhimbili ndiyo wanavyo vyote.

Bado hujaja kwenye kansa ya kizazi, ama hujui kansa ya kizazi inaambukizwa kwa ngono zembe pia?

Hayo magonjwa kwa mfano utapima na kila mpenzi mpya unayeanza nae mahusiano baada kuachana na dear X
Sawa,mejifunza
 
Serious relationship ndizo haziambukizi magonjwa?

Toka umevunja ungo mpaka umri uliopo now umepitia mahusiano mangapi? Je hao wote waliokupitia unajua afya zao za magonjwa yote ya zinaa ? Kuna silent killer nyingi sana.

Vipimo vya STD hepatitis A, B,C,D,E havipo hospital zote. Ni ocean road tu na muhimbili ndiyo wanavyo vyote.

Bado hujaja kwenye kansa ya kizazi, ama hujui kansa ya kizazi inaambukizwa kwa ngono zembe pia?

Hayo magonjwa kwa mfano utapima na kila mpenzi mpya unayeanza nae mahusiano baada kuachana na dear X
Well said
 
Back
Top Bottom