Utalipwa kulingana na huduma uliyotoa

Utalipwa kulingana na huduma uliyotoa

Huyo demu kavuu sana.
Hivi mtu anakusisitizaje usitumke kinga.
Ulimwengu wa sasa.
Ana magonjwa na anaaambukiza watu makusudi

Wanawake wengi condom hawazipendi.

Mwanaume usipovaa condom tu . Usitegemee mwanamke atakukumbusha uvae.. wanawake wanaona kavu kavu tamu na wanasahau kuna magonjwa hatari kibao
 
Wanawake wengi condom hawazipendi.

Mwanaume usipovaa condom tu . Usitegemee mwanamke atakukumbusha uvae.. wanawake wanaona kavu kavu tamu na wanasahau kuna magonjwa hatari kibao
Mimi kabla sijaolewa......kama tutaenda kavu tumepima hadi homa ya manjano hahahaha
Kwa sasa kavu kavu..
Kondom sijatumia miaka kama mi5
By the way never say never....siku nikikutana na mtu hiko kwenye safari ya maisha hatuwezi enda kavu
Hapa juzi kuna jamaa alileta uzi wake demu wake kazaliwa nangoma alafu walivyozoeana akala mzigo kwa assumptions kwamba demu bado mdogo mbichi hawezi kuwa mgonjwa.
Hakupata ngoma ila alipata TB...ndo demu kuja kumwambia alizaliwa na ukimwi..
Trust me binadamu ni wakatili wa asili
Hawezi kukuepusha wewe kama yeye tayari ana maradhi.
MWANAMKE Mmekutana leo hataki kutumia kondomuu....kama unaweza aihirisha hizo nyege kazipigie punyeti..
Unakuta ana u.t.i sugu ...ana magonjwa kama yote.
Kiasili mwanamke ndo anatakiwa awe muoga na si kinyume chake asipokuwa muoga tayari kashazoea ngono zembe
 
Jamani UTI inanitesa Sana
Tafuna tangawizi mbichi kipande changanya na punje mbili za kitunguu swaumu au tatu, then kunywa maji mengi...kadiri utakavyokua unakojoa ndio UTI itasepa...utafanya hivyo asubuhi na jioni.
 
Malaya ni Malaya tu, gari la taka hubeba taka huwezi kuta gari la taka limebeba vito vya thamani ogopa sana ila watu wabishi kuambiwa hawasikii, na ukampiga peku peku au ulitumia ndomu? Alikua hanuki k kweli?

Maana huwa wanatoa uvundo sio wa kawaida, we kila mwanaume akuvujie majasho yake na akumwague shahawa zake ndani unategemea utakua unanukanuka vipi huko shimoni?
Ogopa mwanaume anayetumia maneno makali Hata pasipomuhusu kama huyu mpuuzi!
 
Ogopa mwanaume anayetumia maneno makali Hata pasipomuhusu kama huyu mpuuzi!
Ogopa mwanamke mwenye mdomo unaoropoka kila dakika tena awapo amelewa na kujifanya anajitoa ufahamu....

Na kuongea shit..Kaa mbali naye, na ukimkosea wewe mwambie sorry, hata akiomba kitu na hauna mwambie sorry, akikukebehi pia mwambie I am sorry
 
Una maneno makali kwake,mi mwenyewe bora uniue kwa nyundo nzito lakin condom hunilii aisee......mkipendana wawili wekeni taratibu ya kupima afya
Weweeee ....ukipakwa asali na parachichi mwili mzimA alafu ukalambwa lambwa mwili wote utakua unakua tu na hiyo condom hutakumbuka..🤣🤣..wanaume ndo tunafanya tutumie ama kavu
 
Weweeee ....ukipakwa asali na parachichi mwili mzimA alafu ukalambwa lambwa mwili wote utakua unakua tu na hiyo condom hutakumbuka..🤣🤣..wanaume ndo tunafanya tutumie ama kavu
Kwahiyo mmegeuka paka sikuhizi mnalamba maparachichi....acheni hizo bas mnatesa koo kupokea vitu vya ajabu
 
Back
Top Bottom