GE2025 Tahakiki ya hotuba ya Rais Samia, 03 Novemba 2025: Muhtsari, Mazuri, Mabaya, Mapengo, Uwongo na Ubatili

GE2025 Tahakiki ya hotuba ya Rais Samia, 03 Novemba 2025: Muhtsari, Mazuri, Mabaya, Mapengo, Uwongo na Ubatili

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Doctor Mama Amon

Platinum Member
Joined
Mar 30, 2018
Posts
2,311
Reaction score
3,501
1762184739413.png

Tahakiki ya tukio la Uapisho na hotuba ya Rais Samia, 03 Novemba 2025: Muhtsari, Mazuri, Mabaya, Mapengo, Uwongo na Ubatili wa Kiapo

1. Muhtasari wa hotuba


Leo tarehe 03 Novemba 2025, akiwa Jijini Dodoma, katika uwanja wa Jeshi wa Nishani, Rais Samia ameapishwa kama Rais mpya wa Tanzania, na kisha kutoa hotuba yenye urefu wa dakika 16.

Rais Samia alisoma hotuba akiwa na uso wa upole, utulivu, mashaka, huzuni na wasiwasi. Hakuwa na bashasha yoyote.

Ametaja dhamira yake kuu mwishoni mwa hotuba, pale alipobainisha kuwa, alitaka “kushukuru na kupongeza kwa kumaliza uchaguzi, kuulinda umoja na mshikamano wa kitaifa, na kusisitiza kwamba Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kama Taifa, ni muhimu zaidi kuliko matakwa binafsi ya mtu yeyote.”

Hapa chini najadili mazuri, mabaya, mapengo, ukweli, uwongo na ubatili katika hotuba hii.


2. Mabaya katika hotuba

Baya la kwanza
ni kauli yenye kuhalalisha matumizi ya mbinu haramu dhidi ya waandamanaji katika kulinda "usalama wa Taifa."

Rais Samia alitoa onyo "kama mama," kwa wale wote aliodai kwamba waliochochea uvunifu wa amani.

Akawataka "watambue kuwa vurugu na uvunjifu wa amani huishia kupimana nguvu na uwezo wa kujihami, ila mazungumzo huzaa mshikamano."

Kisha akatoa vitisho na kejeli ifuatayo: "Hivyo, sasa tuchague lenye manufaa kwetu, kwani usalama wa Taifa lolote hulindwa na wote kwa nguvu zote na gharama zozote.”

Kwa kauli hii, ni wazi kwamba Rais Samia hayuko tayari kwa "suluhu" yoyote na waandamanaji.

Kauli kwamba "usalama wa Taifa lolote hulindwa na wote kwa nguvu zote na gharama zozote” inamaanisha kwamba aliunga mkono na kuagiza matumizi ya risasi za moto dhidi ya waandamanaji.

Agizo hilo linatia doa kubwa sana katika wasifu wake kama kiongozi wa kitaifa, kwa kiwango cha kuiingiza Tanzania katika nchi ambazo zimewahi kushuhudia mauaji ya halaiki kwa sababu za kisiasa (politicide) kama ilivyotokea huko Namibia wakati wa mauaji ya Wamaherero na Wanama.


Pili, agizo la karantini dhini ya wakazi wa mijini lilikuwa kama uhalifu dhidi ya ubinadamu uliofanywa na Wakoloni wa KIjerumani dhidi ya makabila ya Wamaherero na Wanama, huko Namibia.

Hali ilikuwa hivi: Tarehe 02 October 1904 na 22 April 1905 Gavana wa Kijerumani katika koloni la Namibia, Jenerali Lothar von Trotha, alitoa amri ya kuteketeza raia ("extermination order") iliyosomeka hivi:


"Tangu sasa kabila la Wamaherero (na Wanama) sio sehemu ya raia walio chini ya himaya ya koloni hili la Ujerumani tena. Wameua na kuiba. Yeyote atakayepatikana ndani ya mpaka wa koloni hili, akiwa na bunduki au bila bunduki, akiwa na ng'ombe au bila ng'ombe, apigwe risasi."

Katika utekelezaji wa amri hii, jeshi la Ujerumani lilifunga njia zote za kutorokea, kuwateka, kutia sumu kwenye mashimo ya maji ya jangwani, na kuwahukumu maelfu ya Waherero kifo kwa kiu na njaa.

Kutokana na utekelezaji wa amri hii, kati ya Wamaherero 24,000 na 100,000 na Wanama 10,000 waliuawa katika mauaji ya kimbari.

Awamu ya kwanza ilihusisha vifo vingi vilivyotokana na njaa na upungufu wa maji mwilini, kutokana na kuzuiwa kwa Wawaherero kuondoka jangwani Kalahari na vikosi vya jeshi la Ujerumani.

Mara tu waliposalimu amri, maelfu ya Wamaherero na Wanama walifungwa katika kambi za mateso, ambapo wengi wao walikufa kutokana na magonjwa, unyanyasaji, na uchovu.

Mauaji haya ya kimbari, ambayo yalidumu hadi 1908, yalisababisha vifo vya takriban 75% ya idadi ya Wamaherero na 50% ya idadi ya Wanama.

Rais Samia amekiri kwa kinywa chake kubariki mauaji yaliyoigeuza miji na majiji ya Tanzania kuwa "Kalahari ya Tanzania.

Ni wazi kwamba Rais Samia alitoa "tamko la kuwateketeza waandamanaji" wanaoipinga serikali yake, yaani "demonstrators extermination order," kwa sababu tu aliamini kuwa hawa sio sehemu ya Raia wa Tanzania anaopaswa kuwalinda.

Baya la pili ni kuwa, kauli ya Rais Samia kwamba “kipimo cha ukomavu wa kidemokrasia sio nani kashinda uchaguzi, bali jinsi gani tunavyoendesha mambo yetu baada ya msimu wa uchaguzi” haikubaliki kamwe na unapingana na kanunu za demokrasia na misingi ya jamhuri.

Ukweli ni kwamba, “kipimo cha ukomavu wa kidemokrasia ni nani kashinda uchaguzi, na jinsi gani aliyeshinda anavyoendesha mambo yake baada ya msimu wa uchaguzi”

Mtu aliyeshindwa hapaswi kukanyaga ofisini, maana mamlaka yanatoka kwa wanananchi kupitia mchakato wa kidemokrasia unaoongozwa na kanuni ya wengi wape. Kuchaguliwa kwa Rais Samia kumekiuka kanuni hii kama nitakavyoonyesha pounde.


Baya la tatu ni kuwa,
Rais Samia ametoa hotuba akiwa anawahutubia watu waliokuwa katika uwanja wa Nishani.

Lakini uwanja huu ulijaa viongozi wa serikali, mabalozi na wageni waalikwa kutoka nje ya nchi, pasipokuwepo wananchi ambao ndio chimbuko la mamlaka ya serikali.

Hii ni mara ya kwanza kwa jambo hili kutokea katika historia ya kuapishwa kwa marais wa Tanzania.

Baya la nne ni kewajeli kwa waangalizi wa uchaguzi. Rais Samia aliwashukuru waangalizi wa uchaguzi kutoka AU, ICTLR, SADC, na EAC walioshirikia kama waangalizi wa kimataifa.

Taarifa ya awali ya waangalizi wa SADC inasema kuwa uchaguzi haukuwa wazi, huru wala wa haki. Taarifa ya Umoja wa Afrika pia inasema kuwa uchaguzi wa 29 Oktoba 2025 ulivurugwa. Na waangalizi baki walikuwa na maoni kama haya.

Rais Samia alitoa majibu yafuatayo kwao: Waliposifia tumepokea sifa, walipokosoa tumesikia ukosoaji wao, waliposhauri tumeupokea ushauri wao na tutauzingatia katika siku za usoni lakini sio kwa sasa, na maagizo yao tumeyakataa.

Baya la tano ni pongezi na shukrani kwa watu tofauti walioshiriki katika uchaguzi wakati watu hao hawastahili pongezi wala shukrani zozote.

Awali ya yote, Rais Samia aliwapongeza watu wote walioshinda kwa nafasi za ubunge na udiwani, wakati wapiga kura waliojitokeza nchi nzima hawazidi 20%.

Kisha, Rais Samia aliwashukuru wapiga kura walioonyesha imani kwa kuwapa ushindi wagombea wa chama cha mapinduzi kwa kura nyingi, wakati kura zilizopigwa hazitoshelezi kumpa mgombea yeyote ushindi.

Aidha, Rais Samia aliwapongeza makampena wa CCM kwa kuendesha kampeni kwa ufundi mkubwa, wakati kampeni zilifanyika katika mazingira ambapo wagombea wa CCM wanashindana na vivuli vyao.

Kadhalika, Rais Samia aliishukuru Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kwa “kusimamia uchaguzi kwa ufanisi usiotiliwa shaka,” wakati hakuna uchaguzi uliofanyika kabisa.

Azimio la wananchi kuzuia uchaguzi wa kiinimacho lilifanikiwa kwa 100%.

Hivyo, ni wazi kwama, takwimu za kura zinazotangazwa sasa ni kura zilizopigwa na Tume, kwa niaba ya wapiga kura, wakati wapiga kura hawajaituma Tume kupiga kura kwa niaba yao.

Hatimaye, Rais Samia akawashukuru wagombea 17 wa Urais, kupitia vyama tofauti, kwa kuefanya kampeni za kistaarabu zenye kuonyesha kuwa “siasa sio vita,” wakati wote hawa ni wagombea wa kuchonga kwa ajili ya kazi maalum.

Baya la sita ni kauli ya kukiri kwamba yeye Rais Samia ndiye aliyekuwa ameweka vikwazo vya kiuchumi na kijamii nchini, hasa dhidi ya wananchi waishio katika majiji na miiji, hadi wakakaribia kufa kwa njaa.

Kwa siku saba wananchi hawa walifungiwa huduma zote muhimu. Kwa ujumla matukio afuatayo yalithibitika:

  1. Amri ya kufunga vituo vya mafuto na depo zote za mafuta na hivyo kutokuwepo kwa usafiri wa bodaboda, bajaji, daladala, wala tukutuku;
  2. Amri ya kufunga maduka yoye, hoteli zote, mabenki yote, migahawa yote, na vibanda vya pesa-pepe;
  3. Masoko kuliwekewe utepe wa kipolisi na kufungwa;
  4. Umeme kukatwa katika baadhi ya miji;
  5. Mtandao wa intaneti kukatwa katika pingili ya gate-way inayoingiza mtandao nchini Tanzania kutoka nje;
  6. Huduma za hospitai kusimama kwa sababu ya kukosekana kwa intaneti, usari na umeme;
  7. Mashule kufungwa kwa sababu ya kukosekana kwa usafiri na umeme; na
  8. Kwa mujibu wa taarifa z JWTZ, baadhi ya vyanzo vya maji kuwekewa sumu.
  9. Malori yanayoingiza vyakula na mifugo mijini kuzuiliwa nje ya majiji.
Mpaka jana kuna watu walikuwa wanashindia biksuti na maji.

Kihistoria, ukatili huu unafanana na uhalifu dhidi ya ubinadamu uliofanywa na serikali ya Nigeria dhidi ya watu wa Biafra huko Nigeria katika miaka ya 1960.

Hali ilikuwa hivi: Mapema mwaka wa 1966, waziri mkuu wa Nigeria aliuawa wakati wa mapinduzi ya kijeshi.

Kwa sababu alikuwa kutoka eneo la Kaskazini la Waislamu na viongozi wengi wa mapinduzi walikuwa maafisa wa kijeshi wa kabila la Ibo kutoka Kusini mwa Wakristo, tukio hili lilianzisha msuguano mkali.

Hatimaye, serikali mpya ya kijeshi ilipinduliwa mnamo Julai 1966 na maafisa wa kijeshi wa Kiislamu.

Kufikia Septemba 1966, upinzani dhidi ya kabila la wa-Ibo ulichukua sura ya ghasia zenye umwagaji damu zaidi Kaskazini.

Askari wa Kaskazini waliwafukuza wanajeshi wa kabila la wa-Ibo kutoka kwenye kambi zao na kuua watu wengi kwa kutumia majambia.

Makundi ya Waislamu waliokuwa wakipiga kelele yalivamia robo ya kabila la wa-Ibo katika kila mji wa Kaskazini, wakiwaua kwa marungu, mishale ya sumu na bunduki.

Na makumi ya maelfu ya watu wa kabila la wa-Ibo waliuawa katika mauaji ya kupangwa yaliyofuata.

Baada ya matukio haya ya kutisha, zaidi ya wa-Ibo milioni moja walikimbia eneo la Kaskazini kujiunga na wa-Ibo wenzao katika sehemu ya Kusini-Mashariki mwa Nigeria.

Eneo hili kisha likaamua kujitenga na Nigeria, na kuunda nchi yao huru, ambayo waliipa jina la Biafra.

Uamuzi huu uliisababisha vita vya wenyewe kwa wenyewe vilivyodumu kwa miaka miwili.

Serikali ya Nigeria ililiwekea vikwazo eneo hili lisilo na bandari, kwa kuzuia chakula na vifaa vya kijeshi kufika humo.

Kisha Waibo walikufa kwa njaa kwa kiwango cha watu 1,000 kwa siku.

Kwa jumla, zaidi ya watu milioni moja walikufa Biafra kutokana na mchanganyiko wa njaa, vitendo vya kijeshi, na magonjwa.

Biafra ilianguka na kuingizwa tena katika himaya ya Nigeria baadaye.

Rais Samia amekiri kwamba aliagiza miji na majiji ya Tanzania yageuzwe kwa "Biafra ya Tanzania" au "Kalahari ya Tanzania."

Kwa upande wa Dar Es Salaam, malori ya vyakula yalikuwa yamezuiliwa Kibaha Maili moja. Lakini hatimaye Rais Samia aliamua kuondoa agizo hilo la karantini.

Hatimaye malori yameruhusiwa hasa kwa sababu Zanzibar na Komoro waliishiwa vyakula, na hiyo ikawa salama ya watu wa Dar Es Salaam.

3. Mapengo katika hotuba


Pengo la kwanza kwenye hotuba ya Rais Samia ni kwamba, amesikika akieleza masikitiko yake kuhusu “matukio ya uvunjivu wa amani, upotevu wa maisha, uharibifu wa mali za umma, na mali za watu binafsi,” bila kuongelea sababu halisi ya matokio haya.

Kwa mfano, "upotevu wa maisha" ni matokeo yanayoweza kuletwa na majeraha katika ajali ya gari, magonjwa, njaa, uzee, kula sumu, kushambuliwa na wanyama wakali, kushambuliwa kwa risasi na vyombo vya dola au sababu nyingine.

Tukio la "upotevu wa maisha" ya waandamanaji wapatao 2,000 limesababishwa na mashambulizi ya risasi zilizorushwa na vyombo vya dola vinavyowajibika kwa Rais Samia. Kwa hiyo, kauli ya Rais Samia ya kueleza masikitiko haitoshi.

Rais Samia alipaswa aeleze nani amesababisha huu "upotevu wa maisha," kwa nini, na matukio ya aina hiyo atayakomesha lini.


Tatizo kubwa zaidi hapa ni kuwa, Rais Samia amejifanya kusahau kuwa haya ni matokeo yenye chimbuko katika mnyororo wa matukio ya "kupimana nguvu" kati ya serikali na wananchi, yaliyoanza siku tangu wizi wa kura uliofanywa na serikali mwaka 2019.

Hatimaye wananchi waliamua kufanya maandamano ya kufa na kupona kwa ajili ya kutetea ukweli kwamba mchakato wa uchaguzi nchi Tanzania ni mbovu kiasi kwamba hauwezi kuleta viongozi wanaoakisi matakwa ya wapiga kura.

Kwa sababu hii Rais Samia alipaswa kuwapa pole wananchi waliowapoteza ndugu zao, kueleza mpango wa serikali wa kushughulikia mauti zilizoko mitaani, mochwari na sakafu za hospitali, na kutoa mwelekeo wa kutetea ukweli uliokuwa unapiganiwa na waandamanaji waliopoteza maisha.

Tunafahamu kuwa, mpaka Rais Samia anatoa hotuba yake ya kwanza, tayari mochwani za Temeke, Tumbi, Mlonganzila, Lugalo na Muhimbili zilikuw zimejaa maiti zilizouwawa kwa kupigwa risasi za kichwa, kifua, tumbo, kiuno na miguu, hadi maiti nyingine kutupwa sakafuni.

Hivyo, yeye kama Rais alipaswa kutoa kauli juu ya hatima ya maiti hizi na familia zao. Hakusema lolote.

Pengo la pili kwenye hotuba ya Rais Samia ni kwamba, alikwepa kuonegelea nafasi ya ukuu wa tunu chanya ya ukweli dhidi ya tunu hasi ya uwongo katika mchakato wa kujenga na kulinda umoja wa Taifa kwa njia ya majadiliano ya kistaarabu.

Amepoteza muda mwingi kuongelea tunu za Taifa. Aliwahimiza kuchagua hekimu badala ya ghababu, busara badala ya mihemuko, upendo badala ya chuki, uvumilivu badala ya kinyongo, umoja badala ya migawanyiko, amani badala ya vurugu, unyenyekevu badala ya kiburi, na huruma badala ya hasira.

“Tukumbuke kuwa, Taifa letu ni moja na lenye nguvu kuliko mtu yeyote,” alisisitiza Rais Samia.

Aliongeza kwamba, katika kutafuta majibu ya matatizo ya kijamii tuliyo nayo tunaunganishwa na tunu ya “suluhu.”

Tunu ya “usuluhishi” ni sehemu ya falsafa ya 4R inayobeba tunu nne za “mabadiliko, usuluhishi, ukarabati na uvumilivu,” yaani “Reform, Reconciliation, Rebuild na Resilience.”

“Hatutachoka wala kurudi nyuma katika kuzungumzana na kuelewana,” alifafanua Rais Samia, japo maneno haya hayarandani na matendo ya vyombo vya dola anavyovisimamia.

Alisisitiza kuwa, tunapaswa kushirikiana kudumisha amani na kuheshimu sheria za nchi, na kufafanua kuwa maandamano, vurugu, na uharibifu wa mali havileti manufaa wala faida kwa yeyote yule, kwani husababisha maumivu.

Kwa maoni ya Rais Samia, falsafa ya 4R inatufundisha kuwa “kipimo cha ukomavu wa kidemokrasia sio nani kashinda uchaguzi, bali jinsi gani tunavyoendesha mambo yetu baada ya msimu wa uchaguzi.”

Kisha, Rais Samia akasisitiza kuwa, “sisi kama Taifa, tutakuwa na nguvu pale sauti chanya au sauti hasi zitakaposikilizwa, kuheshimiwa na kuthaminiwa, na tutakapoweza kuponya wenye maumivu.”

Mwishowe, Rais Samia alieleza kuwa, kazi “hii sio kazi ya upande mmoja wa serikali peke yake, bali ni wajibu wa kila jumuiya za wananchi, vyama vya siasa, dini zetu, na kila mwananchi.”

Lakini, maelezo yote haya ni kazi bure endapo, yeye Rais Samia na serikali yake wanayo kasumba ua kuchagua uwongo badala ya ukweli, kwa maneno na kwa matendo yao.

Angalia: Rais Samia ametangazwa msindi wa kiti cha urais kwa 98% wakati wapiga kura waliojitokeza nchi nzima hawazidi 20%, kwa maana kwamba yeye sio Rais halali kwa mujibu wa kura zilizopigwa.

Rais a
napanga kuhutubia bunge jipya hivi karibuni wakati wapiga kura waliojitokeza nchi nzima hawazidi 20%, kwa maana kwamba hakuna mbunge halali kwa mujibu wa kura zilizopigwa.

Rais Samia anasema watu walioandamana sio Watanzania wakati kuna wazazi wanawatafuta watoto wao tangu tarehe 29 Oktoba 2025, siku ya maandamano.

Na Rais Samia anaongelea usuluhishi wakati mwandishi wa habari wa kituo cha luninga chs Aljazira ametekwa, kuuwawa, kutobolewa macho na kukatwa mikono, kwa sababu tu ya kuripoti habari za ukweli kuhusu maandamano na mauaji yaliyokuwa yanaendelea nchini Tanzania.


Kwa sababu hizi zote, ni wazi kwamba, Rais Samia sio mtu sahihi kwa ajili ya kusimamia ajenda ya kujenga na kulinda umoja wa Taifa kwa kuzingatia tunu ya ukweli yenye kupigana kisogo na uwongo.


4. Uwongo katika hotuba


Hotuba ya Rais Samia imebeba kauli za uwongo usioweza kukubalika kwa mwananchi wa kawaida aliyeko mitaani. Nitatoa mifano miwili.

Uwongo wa kwanza unahusu kauli ya Rais Samia kuwa “baadhi ya vijana waliokamatwa kutokana na kadhia hiyo [ya maandamano] wametoka nje ya Tanzani.”

Kauli hii ni ya ajabu kutolewa na Mkuu wan chi anayesimamia vyombo vya ulinzi na Usalama. Vijana hao wamepita mpaka gani? Wanakaa wapi? Wanakula wapi?

Wamewezaje kuja na pikipiki zao hadi kwenye majiji na miji mikuu ya Tanzania bila vyombo vya ulinzi na usalama kuwabaini? Wamekamatwa wangapi.

Ukweli ni kwamba, hakuna vijana kutoka nje ya Tanzania walioshiriki maandamano.

Badala yake kuna “wanajeshi wa kukodi” walioukuwa wanawaua waandamanaji kiholela na baadhi ya hao mamluki wameuwawa kwa msaasa wa JWTZ.

Mamluki hao walikuwa na magari yaliyosajiliwa Tanzania na wakiwa na silaha zilizosajiliwa Tanzania?


Wauaji hawa ni sehemu ya wale “wasaidizi” wanaodaiwa kukodiwa kutoka Uganda na Zambia, kuletwa nchini, na kisha kutambulishwa kwa bwana mkubwa mmoja kwamba “nimeamua kukuongezea nguvu ya kijeshi kutoka nchi jirani?

Kazi yao ilikuwa ni kuua yeyete, popote, na kwa sababu yoyote. Kuna mayaya na watoto wa miaka sita wamepigwa risasi wakiwa wametumwa dukani.

Sera ya hawa “wauaji wa kukodi” ilikuwa ni “random shooting” kila wanapokutana na watu watatu au zaidi, bila kujali kama wanafanya vurugu au hapana.

Tumezoea kuona mauaji ya aina hii katika miji mikuu ya Uganda, yakiwa yanatekelezwa na majeshi ya Museveni.

Kwa upande wa Dar es Salaam, mamluki hawa walikuwa wanatembea na magari ya Noah nyeusi na Alphad ya kijivu, yasiyo na namba.

Kikosi kazi cha JWTZ kimefanya kazi kubwa ya kukabiliana na hawa “wauaji wa kukodi” na kufanikiwa kuwateketeza baadhi kwa risasi, maeneo ya Mbezi.

Kama hivyo ndivyo, swali pasua-kichwa linaibuka: Je, kwa sababu ya mauaji yaliyofanywa na “vijana waliokodiwa” na Ikulu kutoka nchi jirani, sasa waliohusika na kuwakodi wauaji hao wako tayari kuwajibika kwa sababu ya mauaji holela yaliyofanywa na vijana hawa? Rais Samia anapaswa kujibu swali hili.

Uwongo wa pili unahusu kauli ya Rais Samia kwamba "uchaguzi umewkisha" wakati hakuna uchaguzi uliofanyika.

Kwa sababu ya mtazamo wake huu, Rais Samia aliwashukuru Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kwa “kusimamia uchaguzi kwa ufanisi usiotiliwa shaka.”

Tume hii ilitangaza kuwa Rais Samia ameshinda kwa 97.6%, sawa na kupata kura milioni 31 za wapiga kura, siku ya tarehe 29 Oktoba 2025.

Lakini, ukweli ni kwamba, Tume haikusimamia uchaguzi “kwa ufanisi usiotiliwa shaka,” maana hakuna uchaguzi uliofanyika.

Ushahidi ulioko mitaani, nchi nzima, unaonyesha kuwa, wapiga kura waliojitokeza tarehe 29 Oktoba 2025, hawakuzidi asilimia 20.

Asubuhi walijitokeza wachache sana. Katika kila kituo wasimamiwi wakiwa wengi kuliko wapiga kura, maana kasi ya kufika kwa wapiga kura ilikuwa ni mtu mmoja kila baada ya dakika tano.

Ilipofika saa nne, taarifa za maandamano zilipoanza kusambaa, wasimamizi wa vituo na mapolisi wao walibadilisha nguo, na kutokomea kusikojulikana, wakiacha masanduki, kura na vitendea kazi vituoni.

Mpaka sasa hawajalipwa maana malipo yangefanyika kama wangekabidhi taarifa za upigaji kura.

Hatimaye, vifaa vya Tume vilisombwa kesho yake na kesho kutwa yake kwa msaada wa Tume kusindikizwa na Jeshi la Polisi.

Kwa mfano, katika Jimbo la Ubungo, Kata ya Kimara, Mtaa wa Mwembeni, Kituo cha Kura Kiitwacho “Liberty Nursery and Primary School” vitu vya Tume vilichukuliwa kutoka kituoni tarehe 31 Oktoba 2025. Gari la Tume lilisindikizwa na gari la polisi.

MIfano kama hii imeonekana kwenye vituo vya Magomeni Kagera, Azania, Feri KIgamboni, Kibada, Kigamboni Kisiwani, Kigamboni Mwasonga.

Na matukio ya sehemu baki za Tanzania yanafanana na matukio ya sehemu hizi mkoani Dar es Salaam.

Kwa hiyo, matokeo ya uchaguzi yaliyotangazwa na Tume ni matokeo yaliyotengenezwa na Tume kwa kutumia utaratibu maalum, maana hayaakisi matakwa halisi ya Watanzania wengi.

Kuna njia tazu zinazoweza kuwa zimetumiwa na Tume. Ama wametumia mbinu ya “upigaji wa kura kupitia kwa mwakilishi aliye na kibali cha wazi kutoka kwa mpiga kura asiyeweza kufika kituoni” (actual proxy consent to vote via another voter).

Mfumo huu unaruhusiwa kisheria katika nchi tisa tu duniani, lakini Tanzania sio miongoni mwake.

Katika nchi hizo, mwakilishi anapaswa kuleta barua ya utambulishio kutoka kwa mtu aliye mtuma. Na anaweza kuwapigia kura watu wawili pekee, na baada ya kuwapigia kura anakabidhi kadi zao kwa maofisa ili wasipigiwe kura na wawakilishi wengine.

Au Tume wametumia mfumo wa “upigaji wa kura kupitia kwa mwakilishi aliye na kibali cha kufikirika kutoka kwa mpiga kura asiyeweza kufika kituoni” (hypothetical proxy consent to vote via another voter). Mfumo huu hauruhusiwi kisheria katika nchi yoyote duniani.

Au Tume wametumia mfumo wa “upigaji wa kura kupitia kwa Ofisa wa Tume aliye na kibali cha ridhaa ya kufikirika kutoka kwa mpiga kura aliyeshindwa kufika kituoni” (hypothetical proxy consent to vote via an election officer).

Mfumo huu pia hauruhusiwi kisheria katika nchi yoyote duniani. Hata hivyo, inaonekana ndio umetumiwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Tanzania inayoongozwa na Jaji Mwambegele.

Wazo la kibali cha ridhaa ya kufikirika kwa ajili ya kumruhusu mtu baki akupigie kura (hypothetical proxy consent to vote through another person) sio gumu kueleweka.

Kinyume chake ni kibali cha ridhaa halisi kwa ajili ya kumruhusu mtu baki akupigie kura (actual proxy consent to vote through another person).


Mkurugenzi ambaye ni mjumbe wa Mkutano Mkuu anaweza kutoa kibali cha ridhaa kwa makamu wake akamwakilishe kwenye mkutano na kupiga kura kwa niaba yake, kama ambavyo angefanya kama angehudhuria.

Ni vivyo hivyo kwa wapiga kura katiba baadhi ya nchi ambako sheria inaruhusu hambo hili. Lakini jambo hili haliruhusiwi na sheria za uchaguzi nchini Tanzania.

Aidha, Mkurugenzi ambaye ni mjumbe wa Mkutano Mkuu, lakini ambaye ni mgonjwa mahututi, anaweza kuchukuliwa ametoa kibali cha ridhaa kwa makamu wake akamwakilishe kwenye mkutano na kupiga kura kwa niaba yake, kama ambavyo angefanya kama angehudhuria mwenyewe.

Hitimisho hili linachukuliwa kwa sababu ya imani kwamba, kama Mkurugenzi asingekuwa mahututi angemtuma makamu wake amwakilishe, kama ambavyo amekuwa akifanya katika siku za nyuma.

Ni vivyo hivyo kwa wapiga kura katika baadhi ya nchi ambako sheria inaruhusu jambo hili. Lakini jambo hili haliruhusiwi na sheria za uchaguzi nchini Tanzania.


Na kwa sababu hizi, ni sahihi kuhitimisha kuwa, hakuna mgombea yeyote aliyetangazwa kihalali na Tume ya Taifa ua uchaguzi.

Kwa hiyo, tunaweza kusema kuwa tumepata mfumo mpya wa upigaji kura, ambao unapaswa kubatizwa jina la “Mwambegeleism.”

Yaani, Mwambegeleism ni mfumo wa “upigaji wa kura kupitia kwa Ofisa wa Tume aliye na kibali cha ridhaa ya kufikirika kutoka kwa mpiga kura aliyeshindwa kufika kituoni” (hypothetical proxy consent to vote via an election officer).

Kwa hiyo, pongezi za Rais Samia kwa wagombea wote walioshinda kwa nafasi za ubunge na udiwani hazina uhalali wowote.

5. Ubatili na uharamu wa Urais wa Samia

Rais Samia ametoa hotuba baada ya kula kiapa. Lakini, kiapo hii ni sawa na kiapo hewa.

Maana ya kula kiapo cha Urais ni kutoa tamko la kukubali kasma ya madaraka inayotoka kwa wapiga kra wengi kwenda kwa mpigiwa kura.

Ni ahadi ya kukubali majukumu ambayo kama ikivunjwa basi uvunjwaji huo unapaswa kufuatiwa na mashitaka pamoja na adhabu kwa mtu aliyevunja kiapo.

Lakini sasa, kuna chnagamoto kadhaa kuhusu uhalali wa kiapo cha Rais Samia na maana yake kisheria. Nitaeleza.

Mpaka leo mambo matano yako wazi kuhusu mchakato wa uchaguzi mkuu wa Tanzania wa mwaka 2025 na matokeo yake.

Mosi, baadhi ya Watanzania waliposema kuwa "Bila Mabadiliko Hakuna Uchaguzi Kufanyika" walimaanisha kuzuia uchaguzi kwa kutumia "maandamano ya kufa na kupona."

Pili, baadhi ya Watanzania waliposema kuwa "Hata Bila Mabadiliko Oktoba Tunatiki" walimaanisha kuzuia "maandamano ya kufa na kupona" kwa kutumia mtutu wa bunduki na risasi za moto.

Tatu, "maandamano ya kufa na kupona" yamefanikiwa kuzuia uchaguzi kama ilivyopangwa, kwa maana kwamba, mtutu wa bunduki umeshindwa kuyazuia "maandamano ya kufa na kupona."

Nne, ufanisi wa "maandamano ya kufa na kupona" katika kuzuia uchaguzi umeambatana na hasara ya "upootevu wa maisha" ya Watanzania wapatao 2000 kutokana na kuuliwa na vyombo vya dola vilivyokuwa vinawapiga waandamanaji risasi za moto.

Na tano, Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ya Tanzania imekuwa na ujasiri wa kubuni takwimu hewa za matokeo ya uchaguzi uliozuiliwa na waandamani, na kisha kutangaza washindi katika nafasi za Urais, Ubunge na Udiwani.

Hivyo, hakuna kasma halisi ya madaraka iliyotolewa na wapiga kura kwenda kwa Rais Samia. Yaani Tume imetangaza ushindi hewa.

Yaani, hakuna uhalali wa matokeo yaliyotangazwa na Tume (substantive legitimacy).

Vivyo hivyo, kwa kuwa kura hazikupigwa, hakuna uhalali wa kimchakato katika hatua ya upigaji kura (voting procedural legitimacy).

Uhalali pekee uliopo ni ule unaotokana na mchakato wa kutangaza matokeo na kula kiapo.

Katiba ya nchi yetu inasema kuwa matokeo ya Rais yakishatangazwa na Tume hayawezi kuhojiwa mahakamani, na kwamba Rais hawezi kushitakiwi kwa kosa lolote baada ya kula kiapo.

Lakini, uhalali wa kisiasa usiotiliwa shaka lazima uwe na sifa zote mbili. Yaani, uhalali kamili wa kimchakato na uhalali kamili wa matokeo. Kwa mantiki hii, Rais Samia sio Rais halali.

Hata hiyo, japo kiapo cha urais nchini Tanzania hakiwezi kujadiliwa wala kutenguliwa mahakama yoyote, bado tunaweza kukitumia kumshitaki Rais kwenye Mahakama ya KImataifa ya ICC kwa makosa ya uhalifu dhidi ya ubinadamu.

Kuhusu mauaji ya waandamanaji yaliyotokea tangu tarehe 29 Oktoba 2025, kiapo cha Rais Samia alichokila 17 Machi 2021 kinahusika.

6. Mazuri katika hotuba

Maana ya uchaguzi wa kidemokrasia:
Rais Samia alitumia sehemu ya hotuba yake kueleza kwamba, uchaguzi wa kidemokrasia ni fursa kwa wananchi kueleza matakwa yao juu ya aina ya viongozi wanaowataka.

Kisha, Rais Samia akafafanua kuwa mgombea anayechaguliwa na wapiga kura wengi ndiye huwa kiongozi wa watu wote, wakiwepo watu waliopiga kura kwa wagombea ambao kura zao hazikutosha na watu ambao hawakupiga kura kabisa.

Kukiukwa kwa Kanuni ya Utanzania: Katika hotuba yake, Rais Samia alilieleza Taifa kwamba watu “wote tunaoitakia mema nchi hii tumesikitishwa na kuhuzunishwa na matukio ya uvunjivu wa amani, upotevu wa maisha, uharibifu wa mali za umma, na mali za watu binafsi kwenye baadhi ya maeneo hapa nchini, hasa kwenye majiji na miji.”

Rais Samia alifafanua kuwa, “kilichotokea hakiendani na taswira na sifa za kitanzania, na sio Utanzania.”

7. Hitimisho na mapendekezo

Walimu na wanafunzi wa masuala ya kusukuma gurudumu la ujenzi wa Taifa la kidemokrasia husema kwamba kiongozi wa kisiasa mwenye uhalali usiotiliwa shaka yoyote anapaswa kupata uhalali wa aina mbili.

Kwanza, kuna uhalali wa mchakato wa kisheria (procedural legitimacy) unaotokana na karatasi zinayoandaliwa na kusainiwa maofisa wa Tume ya Taifa ya uchaguzi wakati wa mchakato wa uchaguzi.

Na pili, kuna uhalali wa matokeo ya kisiasa (substantive legitimacy) unaotokana kibali cha dhamiri za wapiga kura wengi zaidi ya nusu kinachojidhihirisha kupitia kura za ndio katika sanduku la uchaguzi.

Hata hivyo, pamoja na kwamba aina zote mbili za uhalali zimekosekana katika urais wa Samia Suluhu Hassan, tayari ameapishwa kwa msaada wa vyombo vya dola na kuwa Rais wa Tanzania kwa mujibu wa kiapo kisichoweza kutenguliwa na mahakama yoyote.


Kwa ufupi, Tume ya Taifa Uchaguzi iliendesha mchakato wa uchaguzi kwa kuuvuruga tangu siku ya kwanza.

Jaji Mwambegele ametangaza matokeo ya kubumba bila kujali kwamba wananchi tunaujua ukweli.

Kuna watanzania wengi wamekufa kutokana na risasi zilizopigwa na “vijana wa kukodi” kutoka nchi za nje na JWTZ wanajua ukweli huu.

Na yote haya ni mambo yanayokiuka misingi ya utawala wa kikatiba na kisheria.

Kila aliyetenda kosa anapaswa kupata adhabu kulingana na uzito wa kosa lake.

Tujadiliane, tuchukue hatua za muda mfupi na muda mrefu.

Lakini, wakati mjadala unaendelea, natoa wito kwamba, sisi kama Taifa, tuchukue hatua za mpito zifuatazo:

  1. Rais Samia ajiuzulu kwa sababu ya uhalifu dhidi ya ubindamu alioagiza ufanywe dhidi ya raia wa Tanzania waliokufa katika maandamano, na Makamu wa Rais Dk. Nchimbi ale kiapo na kushika usukani wa kuendesha nchi mara moja.
  2. Dkt. Nchimbi atoe tamko la kusitisha mauaji holela yanayoendelea nchini kote hadi sasa, yakiwa yanatekelezwa na watu wa;iovalia kiraia na kuendesha magari ya kiraia, wakilenga watu wasio katika hali ya vurugu.
  3. Dkt. Nchimbi afute kauli yake kwamba maandamano yaliyotokea tangu tarehe 29 Oktoba yalipangwa na kutekelezwa na vijana kutoka nje.
  4. Dkt. Nchimbi atangaze siku 3 za maombolezo ya kitaifa, kwa heshima ya watu waliopoteza maisha kwa kuuwawa na vyombo vya dola.
  5. Dkt. Nchimbi atangaze kugharamia mazishi ya watu wote waliouwawa na vyombo vya dola kwa kuagiza mamlaka za wilaya husika kusimamia mazishi.
  6. Dkt. Nchimbi atangaze mpango wa kuwafidia kwa kiasi fulani watu waliopoteza mali zao.
  7. Dkt. Nchimbi akiri hadharani na kuomba msamaha kwa makosa yaliyofanywa na vyombo vya dola na kuomba muafaka na wananchi.
  8. Dkt. Nchimbi atangaze Tume yenye mchanganyiko wa wadau wote kuchunguza na kuja na majibu ya utekwaji na upotezwaji wa watu.
  9. Dkt. Nchimbi atangaze kuachiwa kwa wapinzani wote waliofungwa kinyemela.
  10. Dkt. Nchimbi aunde kikosi kazi cha kukutana na wadau wote wayajenge kuhusu amani ya kweli na kujadili somo tulilojufunza kutokana na maandamano na mauaji haya yaliyotokea.
  11. Na Rais Samia afunguliwe mashtaka kwenye Mahakama ya KImataifa utokana na makosa ya uhalifu dhidi ya ubinadamu yanayoendelea kutokea nchini tangu 29 Oktoba 2025.
Kama Rais Samia atasita kuyakubali mapendekezo haya natoa wito kwa JWTZ kuchukua hatua stahiki za kulinda usalama wa Taifa letu.

VIAMBATANISHO MUHIMU



Death01.png



Death03.png



Death04.png


 

Attachments


Tahakiki ya hotuba ya Rais Samia, 03 Novemba 2025: Muhtsari, Mazuri, Mabaya, Mapengo, Uwongo na Ubatili

1. Muhtasari wa hotuba


Leo tarehe 03 Novemba 2025, akiwa Jijini Dodoma, katika uwanja wa Jeshi wa Nishani, Rais Samia ameapishwa kama Rais mpya, na kisha kutoa hotuba yenye urefu wa dakika 16.

Rais Samia alisoma hotuba akiwa na uso wa upole, utulivu, mashaka na huzuni. Hakuwa na bashasha yoyote.

Rais Samia ametaja dhamira yake yake kuu mwishoni mwa hotuba, pale alibainisha kuwa, ametoa hotuba hii kwa ajili ya “kushukuru na kupongezana kwa kumaliza uchaguzi, kuulinda umoja na mshikamano wa kitaifa, na kusisitiza kwamba Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kama Taifa, ni muhimu zaidi kuliko matakwa binafsi ya mtu yeyote.”

Hapa chini najadili mazuri, mabaya, mapengo, ukweli, uwongo na ubatili katika hotuba hii.


2. Mazuri katika hotuba

Pongezi na shukrani kwa watu tofauti: Awali ya yote, Rais Samia alitoa shukrani kwa Mungu kwa kuturuzuku uhai.

Kisha akawapongeza wote walioshinda kwa nafasi za ubunge, baraza la wawakilishi na udiwani.

Hatimaye aliwashukuru wapiga kura walioonyesha imani kwa kuwachagua wagombea wa chama cha mapinduzi.

Aidha, Rais Samia aliwapongeza makampena wa CCM kwa kuendesha kampeni kwa ufundi mkubwa.

Kadhalika, Rais Samia aliishukuru Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kwa “kusimamia uchaguzi kwa ufanisi usiotiliwa shaka.”

Hatimaye akawashukuru wagombea 17 wa Urais, kupitia vyama tofauti, kwa kuefanya kampeni za kistaarabu zenye kuonyesha kuwa “siasa sio vita.”

Maana ya uchaguzi wa kidemokrasia: Rais Samia alitumia sehemu ya hotuba yake kueleza kwamba, uchaguzi wa kidemokrasia ni fursa kwa wananchi kueleza matakwa yao juu ya aina ya viongozi wanaowataka.

Kisha, Rais Samia akafafanua kuwa mgombea anayechaguliwa na wapiga kura wengi ndiye huwa kiongozi wa watu wote, wakiwepo watu waliopiga kura kwa wagombea ambao kura zao hazikutosha na watu ambao hawakupiga kura kabisa.

Ahadi ya kulitumikia Taifa: Baada ya kula kiapo, Rais Samia alittumia sehemu ya hotuba yake kutoa ahadi ya “kulitumukia Taifa kwa nguvu, vipawa na maarifa yake yote.”

Aliwataka wananchi kumpa ushirikiano katika kazi ya kujenga nchi kwa ajili ya “kuitafuta kesho iliyo bora kuliko jana.” Kwa ajili hii akatoa wito wa kudumisha itikadi ya umoja na mshikamano.

Kudorora kwa usalama wa Taifa: Katika hotuba yake, Rais Samia alilieleza Taifa kwamba watu “wote tunaoitakia mema nchi hii tumesikitishwa na kuhuzunishwa na matukio ya uvunjivu wa amani, upotevu wa maisha, uharibifu wa mali za umma, na mali za watu binafsi kwenye baadhi ya maeneo hapa nchini, hasa kwenye majiji na miji.”

Rais Samia alifafanua kuwa, “kilichotokea hakiendani na taswira na sifa za kitanzania , na sio Utanzania.”

“Haikutushangaza kuona kuwa baadhi ya vijana waliokamatwa kutokana na kadhia hiyo wametoka nje ya Tanzani,” alieleza Rais Samia.

Kisha, Rais Samia akaongeza kuwa, “vyombo vya ulinzi na usalama vinaendelea kufuatilia na kuchunguza kwa undani zaidi kilichotokea na kuirudisha nchi kwenye hali tuliyoizoea kwa haraka.”

“Kamati ya Ulinzi ya Kitaifa, Kamati za Ulinzi za Mikoa na Wilaya nawataka mhakikishe kuwa kuanzia leo maisha ya wananchi yanarejea mara moja” katika hali yake ya kawaida, aliagiza Rais Samia.

Kisha akatoa onyo kama mama, kwa wale wote waliochochea uvunifu wa amani.

“Nawataka watambue kuwa vurugu na uvunjifu wa amani huishia kupimana nguvu na uwezo wa kujihami, ila mazungumzo huzaa mshikamano. Hivyo, sasa tuchague lenye manufaa kwetu, kwani usalama wa Taifa lolote hulindwa na wote kwa nguvu zote na gharama zozote,” alisema Rais Samia.

Kuhusu maoni ya waangalizi wa uchaguzi: Rais Samia aliwashukuru waangalizi wa uchaguzi kutoka AU, ICTLR, SADC, na EAC walioshirikia kama waangalizi wa kimataifa.

“Yale ambayo wamesema hayakwenda sawa hata sisi tumeyaona kama wao,” alisema Rais Samia.

Kisha akaongeza kusema kuwa, “waliposifia tumepokea sifa, walipokosoa tumesikia ukosoaji wao, waliposhauri tumeupokea ushauri wao na tutauzingatia katika siku za usoni, na maagizo yao tumeyakataa.”

Jukumu la kuenzi tunu za kitaifa: Rais Samia alitumia sehemu kubwa ya hotiba yake kuwasihi watanzania kuzienzi tunu chanya za kitaifa bila kuchoka.

Aliwahimiza kuchagua hekimu badala ya ghababu, busara badala ya mihemuko, upendo badala ya chuki, uvumilivu badala ya kinyongo, umoja badala ya migawanyiko, amani badala ya vurugu, unyenyekevu badala ya kiburi, na huruma badala ya hasira.

“Tukumbuke kuwa, Taifa letu ni moja na lenye nguvu kuliko mtu yeyote,” alisisitiza Rais Samia.

Aliongeza kwamba, katika kutafuta majibu ya matatizo ya kijamii tuliyo nayo tunaunganishwa na tunu ya “suluhu.”

Tunu ya “suluhu” ni sehemu ya falsafa ya 4R inayobeba tunu nne za “mabadiliko, suluhu, ukarabati na uvumilivu,” yaani “Reform, Reconciliation, Rebuild na Resilience.”

“Hatutachoka wala kurudi nyuma katika kuzungumzana na kuelewana,” alifafanua Rais Samia.

Alisisitiza kuwa, tunapaswa kushirikiana kudumisha amani na kuheshimu sheria za nchi, na kufafanua kuwa maandamano, vurugu, na uharibifu wa mali havileti manufaa wala faida kwa yeyote yule, kwani husababisha maumivu.

Kwa maoni ya Rais Samia, falsafa ya 4R inatufundisha kuwa “kipimo cha ukomavu wa kidemokrasia sio nani kashinda uchaguzi, bali jinsi gani tunavyoendesha mambo yetu baada ya msimu wa uchaguzi.”

Kisha, Rais Samia akasisitiza kuwa, “sisi kama Taifa, tutakuwa na nguvu pale sauti chanya au sauti hasi zitakaposikilizwa, kuheshimiwa na kuthaminiwa, na tutakapoweza kuponya wenye maumivu.”

Hata hivyo, Rais Samia alieleza kuwa, “hii sio kazi ya upande mmoja wa serikali peke yake, bali ni wajibu wa kila jumuiya za wananchi, vyama vya siasa, dini zetu, na kila mwananchi.”

Mwelekeo wa kazi za serikali mpya: Hatimaye, Rais Samia akatamka kwamba, “Uchaguzi umekwisha,” kabla ya kueleza kuwa atafafanua mwelekeo wa kazi za serikali mpya katika hotuba yake ya kufungua bunge jipya.

3. Mabaya katika hotuba


Rais Samia ametoa hotuba akiwa anawahutubia watu waliokuwa katika uwanja wa Nishani.

Lakini uwanja huu ulijaa viongozi wa serikali na wageni waalikwa pasipokuwepo wananchi ambao ndio chimbuko la mamlaka ya serikali.

Hii ni mara ya kwanza kwa jambo hili kutokea katika historia ya kuapishwa kwa marais wa Tanzania.

4. Mapengo katika hotuba


Rais Samia amefanua vema kueleza masikitiko yake kuhusu “matukio ya uvunjivu wa amani, upotevu wa maisha, uharibifu wa mali za umma, na mali za watu binafsi.”

Lakini amesahau kuwapa pole wananchi waliowapoteza ndugu zao. Mpaka anatoa hotuba hii, tayari mochwani za Temeke, Tumbi, Mlonganzila, Lugalo na Muhimbili zimejaa mamia ya vijana waliuwawa kwa kupigwa risasi za kichwa, kifua na kadhalika.

Haya ni mauti yaliyotokea katika nchi ambako yeye alikuwa bado ni Rais halali kwa mujibu wa katiba.

Yeye kama Rais aliyekula kiapo cha kulinda uhai wa watu alipaswa kutoa kauli juu ya hatima ya maiti hizi na familia zao.

5. Uwongo katika hotuba


Hotuba ya Rais Samia imebeba kauli za uwongo usioweza kukubalika kwa mwananchi wa kawaida aliyeko mitaani. Nitatoa mifano miwili.

Uwongo wa kwanza unahusu kauli ya Rais Samia kuwa “baadhi ya vijana waliokamatwa kutokana na kadhia hiyo [ya maandamano] wametoka nje ya Tanzani.”

Kauli hii ni ya ajabu kutolewa na Mkuu wan chi anayesimamia vyombo vya ulinzi na Usalama. Vijana hao wamepita mpaka gani? Wanakaa wapi? Wanakula wapi?

Wamewezaje kuja na pikipiki zao hadi kwenye majiji na miji mikuu ya Tanzania bila vyombo vya ulinzi na usalama kuwabaini? Wamekamatwa wangapi?

Mbona baadhi ya “vijana” hawa waliouwawa kwa msaasa wa JWTZ walikuwa na magari yaliyosajiliwa Tanzania na wakiwa na silaha zilizosajiliwa Tanzania?

Ukweli ni kwamba, hawa vijana hawana tofauti yoyote na wale “wasaidizi” wanaodaiwa kukodiwa kutoka Uganda na Zambia, kuletwa nchini, na kisha kutambulishwa kwa bwana mkubwa mmoja kwamba “nimeamua kukuongezea nguvu ya kijeshi kutoka nchi jirani?

Kazi yao ilikuwa ni kuua yeyete, popote, na kwa sababu yoyote. Kuna mayaya na watoto wa miaka sita wamepigwa risasi wakiwa wametumwa dukani.

Sera ya hawa “wauaji wa kukodi” ilikuwa ni “random shooting” kila wanapokutana na watu watatu au zaidi, bila kujali kama wanafanya vurugu au hapana.

Tumezoea kuona mauaji ya aina hii katika miji mikuu ya Uganda, yakiwa yanatekelezwa na majeshi ya Museveni.

Kwa upande wa Dar es Salaam, walikuwa wanatembea na magari ya Noah nyeusi na Alphad ya kijivu, yasiyo na namba.

Kikosi kazi cha JWTZ kimefanya kazi kubwa ya kukabiliana na hawa “wauaji wa kukodi” na kufanikiwa kuwateketeza baadhi kwa risasi, maeneo ya Mbezi.

Kama hivyo ndivyo, swali pasua-kichwa linaibuka: Je, kwa sababu ya mauaji yaliyofanywa na “vijana waliokodiwa” na Ikulu kutoka nchi jirani, sasa waliohusika na kuwakodi wauaji hao wako tayari kuwajibika kwa sababu ya mauaji holela yaliyofanywa na vijana hawa?

Uwongo wa pili unahusu kauli ya Rais Samia kuwashukuru Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kwa “kusimamia uchaguzi kwa ufanisi usiotiliwa shaka.”

Ukweli ni kwamba, Tume haikusimamia uchaguzi “kwa ufanisi usiotiliwa shaka.” Ushahidi ulioko mitaani, nchi nzima, unaonyesha kuwa, wapiga kura waliojitokeza tarehe 29 Oktoba 2025, hawakuzidi asilimia 20.

Asubuhi walijitokeza wachache sana. Katika kila kituo wasimamiwi wakiwa wengi kuliko wapiga kura, maana kasi ya kufika kwa wapiga kura ilikuwa ni mtu mmoja kila baada ya dakika tano.

Ilipofika saa nne, taarifa za maandamano zilipoanza kusambaa, wasimamizi wa vituo na mapolisi wao walibadilisha nguo, na kutokomea kusikojulikana, wakiacha masanduki, kura na vitendea kazi vituoni.

Mpaka sasa hawajalipwa maana malipo yangefanyika kama wangekabidhi taarifa za upigaji kura.

Hatimaye, vitu vya Tume vilisombwa kesho yake na kesho kutwa yake kwa msaada wa Tume kusindikizwa na Jeshi la Polisi.

Kwa mfano, katika Jimbo la Ubungo, Kata ya Kimara, Mtaa wa Mwembeni, Kituo cha Kura Kiitwacho “Liberty Nursery and Primary School” vitu vya Tume vilichukuliwa kutoka kituoni tarehe 31 Oktoba 2025. Gari la Tume lilisindikizwa na gari la polisi.

Kwa hiyo, matokeo ya uchaguzi yaliyotangazwa na Tume ni matokeo yaliyotengenezwa na Tume kwa kutumia kompyuta. Hayaakisi matakwa halisi ya Watanzania. Na kwa sababu hii hakuna mgombea yeyote aliyetangazwa kihalali na Jaji Mwambegele.

Kwa hiyo, tunaweza kusema kuwa tumepata msamiati mpya wa kisiasa, yaani “Mwambegeleism.” Huu ni ujasiri na ufundi wa kutengeneza matokeo ya kura ya kubumba kwa kutumia kompyuta, na kasha kuyatangaza kwa umma bila hofu.

Kwa hiyo, pongezi za Rais Samioa kwa wagombea “wote walioshinda kwa nafasi za ubunge, baraza la wawakilishi na udiwani” hazina uhalali.

6. Ubatili kabla ya hotuba


Rais Samia ametoa hotuba baada ya kula kiapa. Lakini, kiapo hii ni sawa na kiapo hewa. Maana ya kiapo ni ahadi ambayo ikivunjwa basi uvunjwaji huo unafuatiwa na mashitaka pamoja na adhabu. Lakini sasa, katiba yetu inasema kuwa matokeo ya Rais hayahojiwi mahakamani, na kwamba Rais hawezi kushitakiwi kwa kosa lolote. Kwa hiyo, hakuna haja ya kiapo cha urais nchini Tanzania.

7. Hitimisho na mapendekezo


Kwa ufupi, Jaji Mwambegele ametangaza matokeo ya kubumba; kuna watanzania wamekufa kutokana na “vijana wa kukodi” kutoka nchi za nje na JWTZ wanajua ukweli huu; na yote haya ni mambo yanayokiuka misingi ya utawala wa kikatiba na kisheria. Kila aliyetenda kosa anapaswa kupata adhabu kulingana na uzito wa kosa lake. Tujadiliane, tuchukue hatua.
You are sick to the core, muuaji awe na mazuri? You are a congenital retard
 

Tahakiki ya hotuba ya Rais Samia, 03 Novemba 2025: Muhtsari, Mazuri, Mabaya, Mapengo, Uwongo na Ubatili

1. Muhtasari wa hotuba


Leo tarehe 03 Novemba 2025, akiwa Jijini Dodoma, katika uwanja wa Jeshi wa Nishani, Rais Samia ameapishwa kama Rais mpya, na kisha kutoa hotuba yenye urefu wa dakika 16.

Rais Samia alisoma hotuba akiwa na uso wa upole, utulivu, mashaka na huzuni. Hakuwa na bashasha yoyote.

Rais Samia ametaja dhamira yake yake kuu mwishoni mwa hotuba, pale alibainisha kuwa, ametoa hotuba hii kwa ajili ya “kushukuru na kupongezana kwa kumaliza uchaguzi, kuulinda umoja na mshikamano wa kitaifa, na kusisitiza kwamba Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kama Taifa, ni muhimu zaidi kuliko matakwa binafsi ya mtu yeyote.”

Hapa chini najadili mazuri, mabaya, mapengo, ukweli, uwongo na ubatili katika hotuba hii.


2. Mazuri katika hotuba

Pongezi na shukrani kwa watu tofauti: Awali ya yote, Rais Samia alitoa shukrani kwa Mungu kwa kuturuzuku uhai.

Kisha akawapongeza wote walioshinda kwa nafasi za ubunge, baraza la wawakilishi na udiwani.

Hatimaye aliwashukuru wapiga kura walioonyesha imani kwa kuwachagua wagombea wa chama cha mapinduzi.

Aidha, Rais Samia aliwapongeza makampena wa CCM kwa kuendesha kampeni kwa ufundi mkubwa.

Kadhalika, Rais Samia aliishukuru Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kwa “kusimamia uchaguzi kwa ufanisi usiotiliwa shaka.”

Hatimaye akawashukuru wagombea 17 wa Urais, kupitia vyama tofauti, kwa kuefanya kampeni za kistaarabu zenye kuonyesha kuwa “siasa sio vita.”

Maana ya uchaguzi wa kidemokrasia: Rais Samia alitumia sehemu ya hotuba yake kueleza kwamba, uchaguzi wa kidemokrasia ni fursa kwa wananchi kueleza matakwa yao juu ya aina ya viongozi wanaowataka.

Kisha, Rais Samia akafafanua kuwa mgombea anayechaguliwa na wapiga kura wengi ndiye huwa kiongozi wa watu wote, wakiwepo watu waliopiga kura kwa wagombea ambao kura zao hazikutosha na watu ambao hawakupiga kura kabisa.

Ahadi ya kulitumikia Taifa: Baada ya kula kiapo, Rais Samia alittumia sehemu ya hotuba yake kutoa ahadi ya “kulitumukia Taifa kwa nguvu, vipawa na maarifa yake yote.”

Aliwataka wananchi kumpa ushirikiano katika kazi ya kujenga nchi kwa ajili ya “kuitafuta kesho iliyo bora kuliko jana.” Kwa ajili hii akatoa wito wa kudumisha itikadi ya umoja na mshikamano.

Kudorora kwa usalama wa Taifa: Katika hotuba yake, Rais Samia alilieleza Taifa kwamba watu “wote tunaoitakia mema nchi hii tumesikitishwa na kuhuzunishwa na matukio ya uvunjivu wa amani, upotevu wa maisha, uharibifu wa mali za umma, na mali za watu binafsi kwenye baadhi ya maeneo hapa nchini, hasa kwenye majiji na miji.”

Rais Samia alifafanua kuwa, “kilichotokea hakiendani na taswira na sifa za kitanzania , na sio Utanzania.”

“Haikutushangaza kuona kuwa baadhi ya vijana waliokamatwa kutokana na kadhia hiyo wametoka nje ya Tanzani,” alieleza Rais Samia.

Kisha, Rais Samia akaongeza kuwa, “vyombo vya ulinzi na usalama vinaendelea kufuatilia na kuchunguza kwa undani zaidi kilichotokea na kuirudisha nchi kwenye hali tuliyoizoea kwa haraka.”

“Kamati ya Ulinzi ya Kitaifa, Kamati za Ulinzi za Mikoa na Wilaya nawataka mhakikishe kuwa kuanzia leo maisha ya wananchi yanarejea mara moja” katika hali yake ya kawaida, aliagiza Rais Samia.

Kisha akatoa onyo kama mama, kwa wale wote waliochochea uvunifu wa amani.

“Nawataka watambue kuwa vurugu na uvunjifu wa amani huishia kupimana nguvu na uwezo wa kujihami, ila mazungumzo huzaa mshikamano. Hivyo, sasa tuchague lenye manufaa kwetu, kwani usalama wa Taifa lolote hulindwa na wote kwa nguvu zote na gharama zozote,” alisema Rais Samia.

Kuhusu maoni ya waangalizi wa uchaguzi: Rais Samia aliwashukuru waangalizi wa uchaguzi kutoka AU, ICTLR, SADC, na EAC walioshirikia kama waangalizi wa kimataifa.

“Yale ambayo wamesema hayakwenda sawa hata sisi tumeyaona kama wao,” alisema Rais Samia.

Kisha akaongeza kusema kuwa, “waliposifia tumepokea sifa, walipokosoa tumesikia ukosoaji wao, waliposhauri tumeupokea ushauri wao na tutauzingatia katika siku za usoni, na maagizo yao tumeyakataa.”

Jukumu la kuenzi tunu za kitaifa: Rais Samia alitumia sehemu kubwa ya hotiba yake kuwasihi watanzania kuzienzi tunu chanya za kitaifa bila kuchoka.

Aliwahimiza kuchagua hekimu badala ya ghababu, busara badala ya mihemuko, upendo badala ya chuki, uvumilivu badala ya kinyongo, umoja badala ya migawanyiko, amani badala ya vurugu, unyenyekevu badala ya kiburi, na huruma badala ya hasira.

“Tukumbuke kuwa, Taifa letu ni moja na lenye nguvu kuliko mtu yeyote,” alisisitiza Rais Samia.

Aliongeza kwamba, katika kutafuta majibu ya matatizo ya kijamii tuliyo nayo tunaunganishwa na tunu ya “suluhu.”

Tunu ya “suluhu” ni sehemu ya falsafa ya 4R inayobeba tunu nne za “mabadiliko, suluhu, ukarabati na uvumilivu,” yaani “Reform, Reconciliation, Rebuild na Resilience.”

“Hatutachoka wala kurudi nyuma katika kuzungumzana na kuelewana,” alifafanua Rais Samia.

Alisisitiza kuwa, tunapaswa kushirikiana kudumisha amani na kuheshimu sheria za nchi, na kufafanua kuwa maandamano, vurugu, na uharibifu wa mali havileti manufaa wala faida kwa yeyote yule, kwani husababisha maumivu.

Kwa maoni ya Rais Samia, falsafa ya 4R inatufundisha kuwa “kipimo cha ukomavu wa kidemokrasia sio nani kashinda uchaguzi, bali jinsi gani tunavyoendesha mambo yetu baada ya msimu wa uchaguzi.”

Kisha, Rais Samia akasisitiza kuwa, “sisi kama Taifa, tutakuwa na nguvu pale sauti chanya au sauti hasi zitakaposikilizwa, kuheshimiwa na kuthaminiwa, na tutakapoweza kuponya wenye maumivu.”

Hata hivyo, Rais Samia alieleza kuwa, “hii sio kazi ya upande mmoja wa serikali peke yake, bali ni wajibu wa kila jumuiya za wananchi, vyama vya siasa, dini zetu, na kila mwananchi.”

Mwelekeo wa kazi za serikali mpya: Hatimaye, Rais Samia akatamka kwamba, “Uchaguzi umekwisha,” kabla ya kueleza kuwa atafafanua mwelekeo wa kazi za serikali mpya katika hotuba yake ya kufungua bunge jipya.

3. Mabaya katika hotuba


Rais Samia ametoa hotuba akiwa anawahutubia watu waliokuwa katika uwanja wa Nishani.

Lakini uwanja huu ulijaa viongozi wa serikali na wageni waalikwa pasipokuwepo wananchi ambao ndio chimbuko la mamlaka ya serikali.

Hii ni mara ya kwanza kwa jambo hili kutokea katika historia ya kuapishwa kwa marais wa Tanzania.

4. Mapengo katika hotuba


Rais Samia amefanua vema kueleza masikitiko yake kuhusu “matukio ya uvunjivu wa amani, upotevu wa maisha, uharibifu wa mali za umma, na mali za watu binafsi.”

Lakini amesahau kuwapa pole wananchi waliowapoteza ndugu zao. Mpaka anatoa hotuba hii, tayari mochwani za Temeke, Tumbi, Mlonganzila, Lugalo na Muhimbili zimejaa mamia ya vijana waliuwawa kwa kupigwa risasi za kichwa, kifua na kadhalika.

Haya ni mauti yaliyotokea katika nchi ambako yeye alikuwa bado ni Rais halali kwa mujibu wa katiba.

Yeye kama Rais aliyekula kiapo cha kulinda uhai wa watu alipaswa kutoa kauli juu ya hatima ya maiti hizi na familia zao.

5. Uwongo katika hotuba


Hotuba ya Rais Samia imebeba kauli za uwongo usioweza kukubalika kwa mwananchi wa kawaida aliyeko mitaani. Nitatoa mifano miwili.

Uwongo wa kwanza unahusu kauli ya Rais Samia kuwa “baadhi ya vijana waliokamatwa kutokana na kadhia hiyo [ya maandamano] wametoka nje ya Tanzani.”

Kauli hii ni ya ajabu kutolewa na Mkuu wan chi anayesimamia vyombo vya ulinzi na Usalama. Vijana hao wamepita mpaka gani? Wanakaa wapi? Wanakula wapi?

Wamewezaje kuja na pikipiki zao hadi kwenye majiji na miji mikuu ya Tanzania bila vyombo vya ulinzi na usalama kuwabaini? Wamekamatwa wangapi?

Mbona baadhi ya “vijana” hawa waliouwawa kwa msaasa wa JWTZ walikuwa na magari yaliyosajiliwa Tanzania na wakiwa na silaha zilizosajiliwa Tanzania?

Ukweli ni kwamba, hawa vijana hawana tofauti yoyote na wale “wasaidizi” wanaodaiwa kukodiwa kutoka Uganda na Zambia, kuletwa nchini, na kisha kutambulishwa kwa bwana mkubwa mmoja kwamba “nimeamua kukuongezea nguvu ya kijeshi kutoka nchi jirani?

Kazi yao ilikuwa ni kuua yeyete, popote, na kwa sababu yoyote. Kuna mayaya na watoto wa miaka sita wamepigwa risasi wakiwa wametumwa dukani.

Sera ya hawa “wauaji wa kukodi” ilikuwa ni “random shooting” kila wanapokutana na watu watatu au zaidi, bila kujali kama wanafanya vurugu au hapana.

Tumezoea kuona mauaji ya aina hii katika miji mikuu ya Uganda, yakiwa yanatekelezwa na majeshi ya Museveni.

Kwa upande wa Dar es Salaam, walikuwa wanatembea na magari ya Noah nyeusi na Alphad ya kijivu, yasiyo na namba.

Kikosi kazi cha JWTZ kimefanya kazi kubwa ya kukabiliana na hawa “wauaji wa kukodi” na kufanikiwa kuwateketeza baadhi kwa risasi, maeneo ya Mbezi.

Kama hivyo ndivyo, swali pasua-kichwa linaibuka: Je, kwa sababu ya mauaji yaliyofanywa na “vijana waliokodiwa” na Ikulu kutoka nchi jirani, sasa waliohusika na kuwakodi wauaji hao wako tayari kuwajibika kwa sababu ya mauaji holela yaliyofanywa na vijana hawa?

Uwongo wa pili unahusu kauli ya Rais Samia kuwashukuru Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kwa “kusimamia uchaguzi kwa ufanisi usiotiliwa shaka.”

Ukweli ni kwamba, Tume haikusimamia uchaguzi “kwa ufanisi usiotiliwa shaka.” Ushahidi ulioko mitaani, nchi nzima, unaonyesha kuwa, wapiga kura waliojitokeza tarehe 29 Oktoba 2025, hawakuzidi asilimia 20.

Asubuhi walijitokeza wachache sana. Katika kila kituo wasimamiwi wakiwa wengi kuliko wapiga kura, maana kasi ya kufika kwa wapiga kura ilikuwa ni mtu mmoja kila baada ya dakika tano.

Ilipofika saa nne, taarifa za maandamano zilipoanza kusambaa, wasimamizi wa vituo na mapolisi wao walibadilisha nguo, na kutokomea kusikojulikana, wakiacha masanduki, kura na vitendea kazi vituoni.

Mpaka sasa hawajalipwa maana malipo yangefanyika kama wangekabidhi taarifa za upigaji kura.

Hatimaye, vitu vya Tume vilisombwa kesho yake na kesho kutwa yake kwa msaada wa Tume kusindikizwa na Jeshi la Polisi.

Kwa mfano, katika Jimbo la Ubungo, Kata ya Kimara, Mtaa wa Mwembeni, Kituo cha Kura Kiitwacho “Liberty Nursery and Primary School” vitu vya Tume vilichukuliwa kutoka kituoni tarehe 31 Oktoba 2025. Gari la Tume lilisindikizwa na gari la polisi.

Kwa hiyo, matokeo ya uchaguzi yaliyotangazwa na Tume ni matokeo yaliyotengenezwa na Tume kwa kutumia kompyuta. Hayaakisi matakwa halisi ya Watanzania. Na kwa sababu hii hakuna mgombea yeyote aliyetangazwa kihalali na Jaji Mwambegele.

Kwa hiyo, tunaweza kusema kuwa tumepata msamiati mpya wa kisiasa, yaani “Mwambegeleism.” Huu ni ujasiri na ufundi wa kutengeneza matokeo ya kura ya kubumba kwa kutumia kompyuta, na kasha kuyatangaza kwa umma bila hofu.

Kwa hiyo, pongezi za Rais Samioa kwa wagombea “wote walioshinda kwa nafasi za ubunge, baraza la wawakilishi na udiwani” hazina uhalali.

6. Ubatili kabla ya hotuba


Rais Samia ametoa hotuba baada ya kula kiapa. Lakini, kiapo hii ni sawa na kiapo hewa. Maana ya kiapo ni ahadi ambayo ikivunjwa basi uvunjwaji huo unafuatiwa na mashitaka pamoja na adhabu. Lakini sasa, katiba yetu inasema kuwa matokeo ya Rais hayahojiwi mahakamani, na kwamba Rais hawezi kushitakiwi kwa kosa lolote. Kwa hiyo, hakuna haja ya kiapo cha urais nchini Tanzania.

7. Hitimisho na mapendekezo


Kwa ufupi, Jaji Mwambegele ametangaza matokeo ya kubumba; kuna watanzania wamekufa kutokana na “vijana wa kukodi” kutoka nchi za nje na JWTZ wanajua ukweli huu; na yote haya ni mambo yanayokiuka misingi ya utawala wa kikatiba na kisheria. Kila aliyetenda kosa anapaswa kupata adhabu kulingana na uzito wa kosa lake. Tujadiliane, tuchukue hatua.
These people are wicked as hell. Hakuna mtu wa kawaida anayeweza kufanya mambo waliyofanya.

Gadhabu ya Mwenyezi Mungu na iwe kwao!
 
Tunataka hotuba kama ya yule Rais wa Zambia..Heavy words, intelligent words, focused, reconcilliatory tone, kujishusha.Kwangu hiyo ndo ilikua hotuba bora kabisa.
On the other hand, sishangai sana na hotuba ya Samia, wanaomwandikia akili zao ndo hizihizi za wazima mitandao, hotuba imekaa kibabe, kuonesha serikali iko sahihi, hakuna reconcilliatory tone, hakuna kuonesha kagushwa seriously na mauaji yaliyotokea zaidi ya kujustfy kwa kusema kuna vijana wa nje, hakuna sehemu yoyote anaonesha yuko tayari kwa mazungumzo ya kweli zaidi ya kusubiri kutumia dola...
Rais Samia amekua na majigambo, kiburi cha chini kwa chini na wazi, hata haya matatizo yaliyotokea alijua kitambo lkn akawa anachochea moto kwa vijimaneno vya shombo.matokea yake watu wamekufa, mali zimeharibiwa.
Kwa bahati mbaya hata vyombo vyetu vya ulinzi wanacopy na kupaste ya top boss, wanaenda hivyo hivyo..probably ya IQ..
I wish Rais..
1.Angetangaza kesho siku ya maombolezo ya kitaifa, kwa heshima ya waliopoteza maisha, sababu wengi wameuwawa na vyombo vyake..
2.Angetangaza kugharamia mazishi ya wote kupitia mamlaka za wilaya husika
3.Angetangaza kuwafidia kwa kiasi fulani waliopoteza mali zao.
4.Angekiri hadharani na kuomba msamaha kwa makosa yaliyofanywa na serikali..na kuomba muafaka na wananchi
5.Angetangaza tume yenye mchanganyiko wa wadau wote kuchunguza na kuja na majibu ya UTEKAJI NA UPOTEAJI WA WATU.
6.Aachie wapinzani wote waliofungwa...
7.Aunde kikosi kazi cha kukutana na wadau wote wayajenge kuhusu amani ya kweli na somo tulilojufunza kwa haya yaliyotokea.
8.Angeahidi mchakato wa katiba mpya kuanzia 2027 -ili anapoondoka rais ajaye aanze na katiba mpya.

But kwa ile EGO iliyowazi + washauri tutaendelea kulia na kusaga meno.

Watu wameshinda kwa asimilia 98 but mtaani kumejaa huzuni.
Mungu atusaidie
 

Tahakiki ya hotuba ya Rais Samia, 03 Novemba 2025: Muhtsari, Mazuri, Mabaya, Mapengo, Uwongo na Ubatili

1. Muhtasari wa hotuba


Leo tarehe 03 Novemba 2025, akiwa Jijini Dodoma, katika uwanja wa Jeshi wa Nishani, Rais Samia ameapishwa kama Rais mpya, na kisha kutoa hotuba yenye urefu wa dakika 16.

Rais Samia alisoma hotuba akiwa na uso wa upole, utulivu, mashaka, huzuni na wasiwasi. Hakuwa na bashasha yoyote.

Rais Samia ametaja dhamira yake yake kuu mwishoni mwa hotuba, pale alibainisha kuwa, ametoa hotuba hii kwa ajili ya “kushukuru na kupongezana kwa kumaliza uchaguzi, kuulinda umoja na mshikamano wa kitaifa, na kusisitiza kwamba Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kama Taifa, ni muhimu zaidi kuliko matakwa binafsi ya mtu yeyote.”

Hapa chini najadili mazuri, mabaya, mapengo, ukweli, uwongo na ubatili katika hotuba hii.


2. Mabaya katika hotuba

Baya la kwanza
ni kwamba, Rais Samia ametoa kauli inayohalalisha mauaji ya Raia kama mbinu ya kulinda usalama wa Taifa, wakati huo huo akidai kusikitishwa na upotevu wa maisha. Hiki ni kitendawili.

"Hivyo, sasa tuchague lenye manufaa kwetu, kwani usalama wa Taifa lolote hulindwa na wote kwa nguvu zote na gharama zozote,” alisema Rais Samia.

Kauli hii ni ushahidi kwamba Rais Samia anahusika katika kubariki matumizi ya "nguvu zote na gharama zozote” katika kukabiliana na waandamanaji. Hivyo, hawezi kujitenga na hatia ya mauaji holela yanayofanywa mitaani hadi sasa.

Ukweli ni kwamba usalama wa Taifa la Tanzania unapaswa kulindwa kwa kutumia mbinu halali zinazokubaliana na Kanuni ya Utanzania.

Baya la pili ni kuwa,
Rais Samia ametoa hotuba akiwa anawahutubia watu waliokuwa katika uwanja wa Nishani.

Lakini uwanja huu ulijaa viongozi wa serikali na wageni waalikwa pasipokuwepo wananchi ambao ndio chimbuko la mamlaka ya serikali.

Hii ni mara ya kwanza kwa jambo hili kutokea katika historia ya kuapishwa kwa marais wa Tanzania.

3. Mapengo katika hotuba


Rais Samia amefanua vema kueleza masikitiko yake kuhusu “matukio ya uvunjivu wa amani, upotevu wa maisha, uharibifu wa mali za umma, na mali za watu binafsi.”

Lakini amesahau kuwapa pole wananchi waliowapoteza ndugu zao. Mpaka anatoa hotuba hii, tayari mochwani za Temeke, Tumbi, Mlonganzila, Lugalo na Muhimbili zimejaa mamia ya vijana waliuwawa kwa kupigwa risasi za kichwa, kifua na kadhalika.

Haya ni mauti yaliyotokea katika nchi ambako yeye alikuwa bado ni Rais halali kwa mujibu wa katiba.

Yeye kama Rais aliyekula kiapo cha kulinda uhai wa watu alipaswa kutoa kauli juu ya hatima ya maiti hizi na familia zao.

4. Uwongo katika hotuba


Hotuba ya Rais Samia imebeba kauli za uwongo usioweza kukubalika kwa mwananchi wa kawaida aliyeko mitaani. Nitatoa mifano miwili.

Uwongo wa kwanza unahusu kauli ya Rais Samia kuwa “baadhi ya vijana waliokamatwa kutokana na kadhia hiyo [ya maandamano] wametoka nje ya Tanzani.”

Kauli hii ni ya ajabu kutolewa na Mkuu wan chi anayesimamia vyombo vya ulinzi na Usalama. Vijana hao wamepita mpaka gani? Wanakaa wapi? Wanakula wapi?

Wamewezaje kuja na pikipiki zao hadi kwenye majiji na miji mikuu ya Tanzania bila vyombo vya ulinzi na usalama kuwabaini? Wamekamatwa wangapi.

Mbona baadhi ya “vijana” hawa waliouwawa kwa msaasa wa JWTZ walikuwa na magari yaliyosajiliwa Tanzania na wakiwa na silaha zilizosajiliwa Tanzania?

Ukweli ni kwamba, hawa vijana hawana tofauti yoyote na wale “wasaidizi” wanaodaiwa kukodiwa kutoka Uganda na Zambia, kuletwa nchini, na kisha kutambulishwa kwa bwana mkubwa mmoja kwamba “nimeamua kukuongezea nguvu ya kijeshi kutoka nchi jirani?

Kazi yao ilikuwa ni kuua yeyete, popote, na kwa sababu yoyote. Kuna mayaya na watoto wa miaka sita wamepigwa risasi wakiwa wametumwa dukani.

Sera ya hawa “wauaji wa kukodi” ilikuwa ni “random shooting” kila wanapokutana na watu watatu au zaidi, bila kujali kama wanafanya vurugu au hapana.

Tumezoea kuona mauaji ya aina hii katika miji mikuu ya Uganda, yakiwa yanatekelezwa na majeshi ya Museveni.

Kwa upande wa Dar es Salaam, walikuwa wanatembea na magari ya Noah nyeusi na Alphad ya kijivu, yasiyo na namba.

Kikosi kazi cha JWTZ kimefanya kazi kubwa ya kukabiliana na hawa “wauaji wa kukodi” na kufanikiwa kuwateketeza baadhi kwa risasi, maeneo ya Mbezi.

Kama hivyo ndivyo, swali pasua-kichwa linaibuka: Je, kwa sababu ya mauaji yaliyofanywa na “vijana waliokodiwa” na Ikulu kutoka nchi jirani, sasa waliohusika na kuwakodi wauaji hao wako tayari kuwajibika kwa sababu ya mauaji holela yaliyofanywa na vijana hawa?

Uwongo wa pili unahusu kauli ya Rais Samia kuwashukuru Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kwa “kusimamia uchaguzi kwa ufanisi usiotiliwa shaka.”

Tume hii ilitangaza kuwa Rais Samia ameshinda kwa 97.6%, sawa na kupata kura milioni 31 za wapiga kura, siku ya tarehe 29 Oktoba 2025.

Lakinim ukweli ni kwamba, Tume haikusimamia uchaguzi “kwa ufanisi usiotiliwa shaka.” Ushahidi ulioko mitaani, nchi nzima, unaonyesha kuwa, wapiga kura waliojitokeza tarehe 29 Oktoba 2025, hawakuzidi asilimia 20.

Asubuhi walijitokeza wachache sana. Katika kila kituo wasimamiwi wakiwa wengi kuliko wapiga kura, maana kasi ya kufika kwa wapiga kura ilikuwa ni mtu mmoja kila baada ya dakika tano.

Ilipofika saa nne, taarifa za maandamano zilipoanza kusambaa, wasimamizi wa vituo na mapolisi wao walibadilisha nguo, na kutokomea kusikojulikana, wakiacha masanduki, kura na vitendea kazi vituoni.

Mpaka sasa hawajalipwa maana malipo yangefanyika kama wangekabidhi taarifa za upigaji kura.

Hatimaye, vitu vya Tume vilisombwa kesho yake na kesho kutwa yake kwa msaada wa Tume kusindikizwa na Jeshi la Polisi.

Kwa mfano, katika Jimbo la Ubungo, Kata ya Kimara, Mtaa wa Mwembeni, Kituo cha Kura Kiitwacho “Liberty Nursery and Primary School” vitu vya Tume vilichukuliwa kutoka kituoni tarehe 31 Oktoba 2025. Gari la Tume lilisindikizwa na gari la polisi.

Kwa hiyo, matokeo ya uchaguzi yaliyotangazwa na Tume ni matokeo yaliyotengenezwa na Tume kwa kutumia kompyuta. Hayaakisi matakwa halisi ya Watanzania. Na kwa sababu hii hakuna mgombea yeyote aliyetangazwa kihalali na Jaji Mwambegele.

Kwa hiyo, tunaweza kusema kuwa tumepata msamiati mpya wa kisiasa, yaani “Mwambegeleism.” Huu ni ujasiri na ufundi wa kutengeneza matokeo ya kura ya kubumba kwa kutumia kompyuta, na kasha kuyatangaza kwa umma bila hofu.

Kwa hiyo, pongezi za Rais Samioa kwa wagombea “wote walioshinda kwa nafasi za ubunge, baraza la wawakilishi na udiwani” hazina uhalali.

5. Ubatili kabla ya hotuba


Rais Samia ametoa hotuba baada ya kula kiapa. Lakini, kiapo hii ni sawa na kiapo hewa. Maana ya kiapo ni ahadi ambayo ikivunjwa basi uvunjwaji huo unafuatiwa na mashitaka pamoja na adhabu.

Lakini sasa, katiba yetu inasema kuwa matokeo ya Rais hayahojiwi mahakamani, na kwamba Rais hawezi kushitakiwi kwa kosa lolote. Kwa hiyo, hakuna haja ya kiapo cha urais nchini Tanzania.

6. Mazuri katika hotuba


Pongezi na shukrani kwa watu tofauti: Awali ya yote, Rais Samia alitoa shukrani kwa Mungu kwa kuturuzuku uhai.

Kisha akawapongeza wote walioshinda kwa nafasi za ubunge, baraza la wawakilishi na udiwani.

Hatimaye aliwashukuru wapiga kura walioonyesha imani kwa kuwachagua wagombea wa chama cha mapinduzi.

Aidha, Rais Samia aliwapongeza makampena wa CCM kwa kuendesha kampeni kwa ufundi mkubwa.

Kadhalika, Rais Samia aliishukuru Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kwa “kusimamia uchaguzi kwa ufanisi usiotiliwa shaka.”

Hatimaye akawashukuru wagombea 17 wa Urais, kupitia vyama tofauti, kwa kuefanya kampeni za kistaarabu zenye kuonyesha kuwa “siasa sio vita.”

Maana ya uchaguzi wa kidemokrasia: Rais Samia alitumia sehemu ya hotuba yake kueleza kwamba, uchaguzi wa kidemokrasia ni fursa kwa wananchi kueleza matakwa yao juu ya aina ya viongozi wanaowataka.

Kisha, Rais Samia akafafanua kuwa mgombea anayechaguliwa na wapiga kura wengi ndiye huwa kiongozi wa watu wote, wakiwepo watu waliopiga kura kwa wagombea ambao kura zao hazikutosha na watu ambao hawakupiga kura kabisa.

Ahadi ya kulitumikia Taifa: Baada ya kula kiapo, Rais Samia alittumia sehemu ya hotuba yake kutoa ahadi ya “kulitumukia Taifa kwa nguvu, vipawa na maarifa yake yote.”

Aliwataka wananchi kumpa ushirikiano katika kazi ya kujenga nchi kwa ajili ya “kuitafuta kesho iliyo bora kuliko jana.” Kwa ajili hii akatoa wito wa kudumisha itikadi ya umoja na mshikamano.

Kudorora kwa usalama wa Taifa: Katika hotuba yake, Rais Samia alilieleza Taifa kwamba watu “wote tunaoitakia mema nchi hii tumesikitishwa na kuhuzunishwa na matukio ya uvunjivu wa amani, upotevu wa maisha, uharibifu wa mali za umma, na mali za watu binafsi kwenye baadhi ya maeneo hapa nchini, hasa kwenye majiji na miji.”

Rais Samia alifafanua kuwa, “kilichotokea hakiendani na taswira na sifa za kitanzania, na sio Utanzania.”

“Haikutushangaza kuona kuwa baadhi ya vijana waliokamatwa kutokana na kadhia hiyo wametoka nje ya Tanzani,” alieleza Rais Samia.

Kisha, Rais Samia akaongeza kuwa, “vyombo vya ulinzi na usalama vinaendelea kufuatilia na kuchunguza kwa undani zaidi kilichotokea na kuirudisha nchi kwenye hali tuliyoizoea kwa haraka.”

“Kamati ya Ulinzi ya Kitaifa, Kamati za Ulinzi za Mikoa na Wilaya nawataka mhakikishe kuwa kuanzia leo maisha ya wananchi yanarejea mara moja” katika hali yake ya kawaida, aliagiza Rais Samia.

Kisha akatoa onyo kama mama, kwa wale wote waliochochea uvunifu wa amani.

“Nawataka watambue kuwa vurugu na uvunjifu wa amani huishia kupimana nguvu na uwezo wa kujihami, ila mazungumzo huzaa mshikamano. Hivyo, sasa tuchague lenye manufaa kwetu, kwani usalama wa Taifa lolote hulindwa na wote kwa nguvu zote na gharama zozote,” alisema Rais Samia.

Kuhusu maoni ya waangalizi wa uchaguzi: Rais Samia aliwashukuru waangalizi wa uchaguzi kutoka AU, ICTLR, SADC, na EAC walioshirikia kama waangalizi wa kimataifa.

“Yale ambayo wamesema hayakwenda sawa hata sisi tumeyaona kama wao,” alisema Rais Samia.

Kisha akaongeza kusema kuwa, “waliposifia tumepokea sifa, walipokosoa tumesikia ukosoaji wao, waliposhauri tumeupokea ushauri wao na tutauzingatia katika siku za usoni, na maagizo yao tumeyakataa.”

Jukumu la kuenzi tunu za kitaifa: Rais Samia alitumia sehemu kubwa ya hotiba yake kuwasihi watanzania kuzienzi tunu chanya za kitaifa bila kuchoka.

Aliwahimiza kuchagua hekimu badala ya ghababu, busara badala ya mihemuko, upendo badala ya chuki, uvumilivu badala ya kinyongo, umoja badala ya migawanyiko, amani badala ya vurugu, unyenyekevu badala ya kiburi, na huruma badala ya hasira.

“Tukumbuke kuwa, Taifa letu ni moja na lenye nguvu kuliko mtu yeyote,” alisisitiza Rais Samia.

Aliongeza kwamba, katika kutafuta majibu ya matatizo ya kijamii tuliyo nayo tunaunganishwa na tunu ya “suluhu.”

Tunu ya “suluhu” ni sehemu ya falsafa ya 4R inayobeba tunu nne za “mabadiliko, suluhu, ukarabati na uvumilivu,” yaani “Reform, Reconciliation, Rebuild na Resilience.”

“Hatutachoka wala kurudi nyuma katika kuzungumzana na kuelewana,” alifafanua Rais Samia.

Alisisitiza kuwa, tunapaswa kushirikiana kudumisha amani na kuheshimu sheria za nchi, na kufafanua kuwa maandamano, vurugu, na uharibifu wa mali havileti manufaa wala faida kwa yeyote yule, kwani husababisha maumivu.

Kwa maoni ya Rais Samia, falsafa ya 4R inatufundisha kuwa “kipimo cha ukomavu wa kidemokrasia sio nani kashinda uchaguzi, bali jinsi gani tunavyoendesha mambo yetu baada ya msimu wa uchaguzi.”

Kisha, Rais Samia akasisitiza kuwa, “sisi kama Taifa, tutakuwa na nguvu pale sauti chanya au sauti hasi zitakaposikilizwa, kuheshimiwa na kuthaminiwa, na tutakapoweza kuponya wenye maumivu.”

Hata hivyo, Rais Samia alieleza kuwa, “hii sio kazi ya upande mmoja wa serikali peke yake, bali ni wajibu wa kila jumuiya za wananchi, vyama vya siasa, dini zetu, na kila mwananchi.”

Mwelekeo wa kazi za serikali mpya: Hatimaye, Rais Samia akatamka kwamba, “Uchaguzi umekwisha,” kabla ya kueleza kuwa atafafanua mwelekeo wa kazi za serikali mpya katika hotuba yake ya kufungua bunge jipya.

7. Hitimisho na mapendekezo


Kwa ufupi, Jaji Mwambegele ametangaza matokeo ya kubumba bila kujali kwamba wananchi tunaujua ukweli..

Kuna watanzania wamekufa kutokana na “vijana wa kukodi” kutoka nchi za nje na JWTZ wanajua ukweli huu.

Na yote haya ni mambo yanayokiuka misingi ya utawala wa kikatiba na kisheria. Kila aliyetenda kosa anapaswa kupata adhabu kulingana na uzito wa kosa lake. Tujadiliane, tuchukue hatua.

Lakini, wakati mjadala unaendelea, natoa wito kwa Rais Samia kutoa tamko la kusitisha mauaji holela yanayoendelea nchini.

Kama Rais Samia atasita kufanya hivyo natoa wito kwa CDF kualiagiza JWTZ kuingia mitaani mara moja kuzuia mauaji ya holela ya raia.
Hali hii inahitaji mtu mwenye akili inayochemka na siyo kibwengoo tena kilazaa kama hiki.
 
You are sick to the core, muuaji awe na mazuri? You are a congenital retard

Nadhani kimuundo hoja yako iko hivi:
  1. Kila muuaji, akiwemo SSH, huwa hana mazuri yoyote.
  2. Uchambuzi huu unamaanisha kuwa kwenye hotuba ya SSH kuna mazuri yaliyosemwa na SSH.
  3. Thus, the author of this thred is "sick to the core and a congenital retard".
Sikubaliani na hoja yako.
Dokezo la kwanza ni potofu, maana halitofautishi kati ya kauli na mtoa kauli.
Kwa hiyo, hoja yako haina msaada katika mjadala niliouanzisha.
 
Kuna ukweli wowote juu ya wauaji wa kukodiwa? Au ni propaganda ili kuviexenorate vyombo vya ndani?
Unaish wapi kwanza, kulikuwa na randomly shooting and kill binafsi nimekoswa na risas tar 30 Ni Mungu tu siku ile ,walikuwa ktk magari private wanamwaga risas ovyo kwenye sehem watu wamekaa nina picha za matundu ya risas ktk geti la nyumban
 
Tunataka hotuba kama ya yule Rais wa Zambia..Heavy words, intelligent words, focused, reconcilliatory tone, kujishusha.Kwangu hiyo ndo ilikua hotuba bora kabisa.
On the other hand, sishangai sana na hotuba ya Samia, wanaomwandikia akili zao ndo hizihizi za wazima mitandao, hotuba imekaa kibabe, kuonesha serikali iko sahihi, hakuna reconcilliatory tone, hakuna kuonesha kagushwa seriously na mauaji yaliyotokea zaidi ya kujustfy kwa kusema kuna vijana wa nje, hakuna sehemu yoyote anaonesha yuko tayari kwa mazungumzo ya kweli zaidi ya kusubiri kutumia dola...
Rais Samia amekua na majigambo, kiburi cha chini kwa chini na wazi, hata haya matatizo yaliyotokea alijua kitambo lkn akawa anachochea moto kwa vijimaneno vya shombo.matokea yake watu wamekufa, mali zimeharibiwa.
Kwa bahati mbaya hata vyombo vyetu vya ulinzi wanacopy na kupaste ya top boss, wanaenda hivyo hivyo..probably ya IQ..
I wish Rais..
1.Angetangaza kesho siku ya maombolezo ya kitaifa, kwa heshima ya waliopoteza maisha, sababu wengi wameuwawa na vyombo vyake..
2.Angetangaza kugharamia mazishi ya wote kupitia mamlaka za wilaya husika
3.Angetangaza kuwafidia kwa kiasi fulani waliopoteza mali zao.
4.Angekiri hadharani na kuomba msamaha kwa makosa yaliyofanywa na serikali..na kuomba muafaka na wananchi
5.Angetangaza tume yenye mchanganyiko wa wadau wote kuchunguza na kuja na majibu ya UTEKAJI NA UPOTEAJI WA WATU.
6.Aachie wapinzani wote waliofungwa...
7.Aunde kikosi kazi cha kukutana na wadau wote wayajenge kuhusu amani ya kweli na somo tulilojufunza kwa haya yaliyotokea.
8.Angeahidi mchakato wa katiba mpya kuanzia 2027 -ili anapoondoka rais ajaye aanze na katiba mpya.

But kwa ile EGO iliyowazi + washauri tutaendelea kulia na kusaga meno.

Watu wameshinda kwa asimilia 98 but mtaani kumejaa huzuni.
Mungu atusaidie
Hata Mimi, Hotuba ya Hichilema , tena na yeye ali pata adha ya kuwa mpinzani, lakini hawa wakwetu mpaka sasa hawataki kukubali na kuangalia picha kubwa ya Tanzania na mahitaji yake. Wao wanaangalia maslahi ya familia zao. Hawa wa kwetu sijui ni akili ndogo au ndio kuzima data. Na wakiendelea hivi hawafiki mbali. Inasikitisha Sana. Samaki huoza kuanzia kichwani.
 


4. Uwongo katika hotuba

Hotuba ya Rais Samia imebeba kauli za uwongo usioweza kukubalika kwa mwananchi wa kawaida aliyeko mitaani. Nitatoa mifano miwili.

Uwongo wa kwanza unahusu kauli ya Rais Samia kuwa “baadhi ya vijana waliokamatwa kutokana na kadhia hiyo [ya maandamano] wametoka nje ya Tanzani.”

Kauli hii ni ya ajabu kutolewa na Mkuu wan chi anayesimamia vyombo vya ulinzi na Usalama. Vijana hao wamepita mpaka gani? Wanakaa wapi? Wanakula wapi?

Wamewezaje kuja na pikipiki zao hadi kwenye majiji na miji mikuu ya Tanzania bila vyombo vya ulinzi na usalama kuwabaini? Wamekamatwa wangapi.

Mbona baadhi ya “vijana” hawa waliouwawa kwa msaasa wa JWTZ walikuwa na magari yaliyosajiliwa Tanzania na wakiwa na silaha zilizosajiliwa Tanzania?

Ukweli ni kwamba, hawa vijana hawana tofauti yoyote na wale “wasaidizi” wanaodaiwa kukodiwa kutoka Uganda na Zambia, kuletwa nchini, na kisha kutambulishwa kwa bwana mkubwa mmoja kwamba “nimeamua kukuongezea nguvu ya kijeshi kutoka nchi jirani?

Kazi yao ilikuwa ni kuua yeyete, popote, na kwa sababu yoyote. Kuna mayaya na watoto wa miaka sita wamepigwa risasi wakiwa wametumwa dukani.

Sera ya hawa “wauaji wa kukodi” ilikuwa ni “random shooting” kila wanapokutana na watu watatu au zaidi, bila kujali kama wanafanya vurugu au hapana.

Tumezoea kuona mauaji ya aina hii katika miji mikuu ya Uganda, yakiwa yanatekelezwa na majeshi ya Museveni.

Kwa upande wa Dar es Salaam, walikuwa wanatembea na magari ya Noah nyeusi na Alphad ya kijivu, yasiyo na namba.

Kikosi kazi cha JWTZ kimefanya kazi kubwa ya kukabiliana na hawa “wauaji wa kukodi” na kufanikiwa kuwateketeza baadhi kwa risasi, maeneo ya Mbezi.

Kama hivyo ndivyo, swali pasua-kichwa linaibuka: Je, kwa sababu ya mauaji yaliyofanywa na “vijana waliokodiwa” na Ikulu kutoka nchi jirani, sasa waliohusika na kuwakodi wauaji hao wako tayari kuwajibika kwa sababu ya mauaji holela yaliyofanywa na vijana hawa?

Uwongo wa pili unahusu kauli ya Rais Samia kuwashukuru Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kwa “kusimamia uchaguzi kwa ufanisi usiotiliwa shaka.”

Tume hii ilitangaza kuwa Rais Samia ameshinda kwa 97.6%, sawa na kupata kura milioni 31 za wapiga kura, siku ya tarehe 29 Oktoba 2025.

Lakinim ukweli ni kwamba, Tume haikusimamia uchaguzi “kwa ufanisi usiotiliwa shaka.” Ushahidi ulioko mitaani, nchi nzima, unaonyesha kuwa, wapiga kura waliojitokeza tarehe 29 Oktoba 2025, hawakuzidi asilimia 20.

Asubuhi walijitokeza wachache sana. Katika kila kituo wasimamiwi wakiwa wengi kuliko wapiga kura, maana kasi ya kufika kwa wapiga kura ilikuwa ni mtu mmoja kila baada ya dakika tano.

Ilipofika saa nne, taarifa za maandamano zilipoanza kusambaa, wasimamizi wa vituo na mapolisi wao walibadilisha nguo, na kutokomea kusikojulikana, wakiacha masanduki, kura na vitendea kazi vituoni.

Mpaka sasa hawajalipwa maana malipo yangefanyika kama wangekabidhi taarifa za upigaji kura.

Hatimaye, vitu vya Tume vilisombwa kesho yake na kesho kutwa yake kwa msaada wa Tume kusindikizwa na Jeshi la Polisi.

Kwa mfano, katika Jimbo la Ubungo, Kata ya Kimara, Mtaa wa Mwembeni, Kituo cha Kura Kiitwacho “Liberty Nursery and Primary School” vitu vya Tume vilichukuliwa kutoka kituoni tarehe 31 Oktoba 2025. Gari la Tume lilisindikizwa na gari la polisi.

Kwa hiyo, matokeo ya uchaguzi yaliyotangazwa na Tume ni matokeo yaliyotengenezwa na Tume kwa kutumia kompyuta. Hayaakisi matakwa halisi ya Watanzania. Na kwa sababu hii hakuna mgombea yeyote aliyetangazwa kihalali na Jaji Mwambegele.

Kwa hiyo, tunaweza kusema kuwa tumepata msamiati mpya wa kisiasa, yaani “Mwambegeleism.” Huu ni ujasiri na ufundi wa kutengeneza matokeo ya kura ya kubumba kwa kutumia kompyuta, na kasha kuyatangaza kwa umma bila hofu.

Kwa hiyo, pongezi za Rais Samioa kwa wagombea “wote walioshinda kwa nafasi za ubunge, baraza la wawakilishi na udiwani” hazina uhalali.
NI KWELI NA HAKIKA:

Kwa hili nakubaliana nawe 100%

Na kwa uongo wao huu, mimi Doctor Mama Amon ni shahidi wa kila kitu na niko tayari kuthibitisha uongo huu wa tume ya uchaguzi wa kubumba matokeo popote wakati wowote nitakapohitajika kufanya hivyo provided that usalama wangu umehakikiwa.

Ni shahidi kwa kuwa mimi nilikuwa mmoja wa wasimamizi wa kituo cha kupigia kura hapa Sninyanga Manispaa nikiwa ni wasaidizi wenzangu watatu na askari mgambo mmoja (kituo cha kupigia kura kwa sababu za kiusalama naomba nisikiweke wazi ktk hatua hii)

Lakini kwa kifupi sana ni kuwa;

1. Kituo changu kilikuwa na jumla ya wapiga kura walio kwenye daftari 389

2. Waliofika kupiga kura mpaka kufikia saa 10:00 jioni tarehe 29/10/2025 walikuwa 44 sawa na 11.31

KILICHOTOKEA BAADA YA KUFUNGA KITUO ILI TUANZE KUHESABU KURA:

√ Alianza kufika RPC wa Shinyanga akiwa na timu yake mapema dakika kama 20 hivi kabla ya kufunga kituo. Alitukuta tuko nje tukipiga soga tu. Akaniuliza vipi hapa? Nikamjibu, ni shwari ila hakuna wapiga kura kwani mpaka sasa ni 44 tu kati ya 389 ndio wamekuja kupiga kura. Alicheka sana na baadae akaondoka

√ Baada ya kufunga kituo na muda kidogo kabla ya kuanza kuhesabu kura, alikuja Assistant Returning Officer (ARO) ambaye ni mtendaji wa kata wa kata ya Ngokolo akiwa na matokeo mengine ktk fomu nyingine na kutuamuru tujaze hayo ambayo yalisomeka kuwa wapiga kura waliopiga kura ni 380 na Samia kapata 365 na 15 zilizosalia tukazigawa kwa wagombea wengine.

√ Hatukuwa na hata haja ya kuhesabu zile kura 44 halali zilizopigwa. Laiti tungehesabu, pengine Samia angeambulia 10 ktk hizo 44!!

√ Tuliogopa kufa maana vitisho vilikuwa vikubwa mno. Tulijaza hayo hayo huku mioyo ikituuma huku nafsi na dhamiri zetu zikiumia na kutusuta vibaya sana. Lakini tufanyeje tulikula kiapo?

√ Utaratibu ulikuwa huohuo kwa kura za mbunge na diwani. Baadaye tulipeleka taarifa na masanduku yetu jimboni kwenye majumuisho

√ Yeyote anayetaka kuthibitisha uongo wa uchaguzi huu ni kwenda kupitia masanduku ya kura na kura ambazo ziko zimejifadhiwa kwenye maghala ya halmshauri zetu. Zilizoko huko sio kura bali ni uchafu mtupu. Hakuna kumbukumbu ya kura inayooana na takwimu za kila kituo, kila kata na kila jimbo. Ni namba tu zilizobumbwa bumbwa hovyo ili mradi mtu aonekane ameshinda!!

MPANGO TANGU AWALI ULIKUWA HIVI:

1. Sio kwamba ni computer imefanya hivyo, bali ni mpango na mkakati maalumu uliopangwa tangu awali. Na hii ndio siri aliyoitoa Humphrey Polepole

2. Mpango wenyewe ni kuwa, kila kituo cha kupigia kura, kila kata na kila jimbo lilikuwa na target ya idadi maalumu ya kura anazopaswa kupata Rais Samia bila kujali wapiga kura watajitokeza kwenda kupiga kura au la.

3. Ndo kusema kuwa, kwa kuwa mimi nilikuwa msimamizi wa kituo cha kupigia kura Y, basi target ya kituo hicho ilikuwa ni kura za uongo 365 kwa Rais Samia 🤔🤔🤔 na ndivyo tulivyojaza. Just try to think. Waliopiga kura ni 44 tu. Hizi kura 365 zimetoka wapi?

Loooh, najuta mie kushiriki uongo huu!!

Eeeh Mungu muumba wa mbingu na nchi na vyote vilivyomo, nisamehe na unirehemu mimi Uzima wa milele kwa maana nimeshiriki kuitenda dhambi hii kubwa dhidi ya Watanzania wenzangu kwa kuwa wameuwawa na wanaendelea kuuwawa kwa mikono ya Samia kwa kuwa ni maagizo na amri zake zinatekelezwa. Ni kwa kuwa tu Watanzania hawa wanadai haki yao ya kuchagua viongozi wawatakao. Lakini Samia Suluhu Hassani na genge lake la kihuni wamejiweka madarakani kwa matokeo ya kura za ulaghai na uongo. Natambua na kuelewa kuwa, ni wewe umeliruhusu hili litokee na liwe hivi ili upate kuudhihirisha ukuu na utukufu wako kama ulivyojidhihirisha kwa wana wa Israeli dhidi ya serikali na utawala katili wa mfalme Farao wa Misri ya kale. Wewe Mungu wa mbinguni ni Mungu mkuu, ni Mungu wa HAKI na Hukumu zako daima huwa ni za HAKI. Baba tuokoe watu wako. Mwanadamu hawezi na hajawahi kukushinda sasa na hata milele, Amina🙏🏻🙏🏻🙏🏻!!


4. Msimamizi wa kata naye alikuwa na target yake, vivyo hivyo yule wa jimbo alikuwa na target yake bila kujali wangapi wamepiga kura!

NOTE:
A: Uongo na ulaghai wa mwaka ulipangiliwa very systematically. Matokeo ya kura za Rais kwa uchaguzi huu jimbo kwa jimbo, yatachapishwa kwenye tovuti ya tume na kwenye Gazeti la Serikali ili Tundu Lissu na wengine wasiweze kutoa ukosoaji kama ilivyokuwa uchaguzi wa 2020 ambapo matokeo ya kura za uRais jimbo kwa jimbo hayapo mpaka leo!!

B: Uongo wa hawa wa mwaka huu utakuwa kwenye maeneo mengine. Mfano, watu waliandamana kupinga uchaguzi badala ya kwenda kupiga kura, Samia Suluhu Hassani mgombea Urais wa CCM akiwa na mamlaka na madaraka ya Urais kwa wakati mmoja kuteka, kuwapoteza, kuwaua na kuwafunga jela wapinnzani wake nk ni ushahidi tosha kuubatilisha uchaguzi huu na matokeo yake.!
 

Tahakiki ya hotuba ya Rais Samia, 03 Novemba 2025: Muhtsari, Mazuri, Mabaya, Mapengo, Uwongo na Ubatili

1. Muhtasari wa hotuba


Leo tarehe 03 Novemba 2025, akiwa Jijini Dodoma, katika uwanja wa Jeshi wa Nishani, Rais Samia ameapishwa kama Rais mpya, na kisha kutoa hotuba yenye urefu wa dakika 16.

Rais Samia alisoma hotuba akiwa na uso wa upole, utulivu, mashaka, huzuni na wasiwasi. Hakuwa na bashasha yoyote.

Rais Samia ametaja dhamira yake yake kuu mwishoni mwa hotuba, pale alibainisha kuwa, ametoa hotuba hii kwa ajili ya “kushukuru na kupongezana kwa kumaliza uchaguzi, kuulinda umoja na mshikamano wa kitaifa, na kusisitiza kwamba Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kama Taifa, ni muhimu zaidi kuliko matakwa binafsi ya mtu yeyote.”

Hapa chini najadili mazuri, mabaya, mapengo, ukweli, uwongo na ubatili katika hotuba hii.


2. Mabaya katika hotuba

Baya la kwanza
ni kwamba, Rais Samia ametoa kauli inayohalalisha mauaji ya Raia kama mbinu ya kulinda usalama wa Taifa, wakati huo huo akidai kusikitishwa na upotevu wa maisha. Hiki ni kitendawili.

"Hivyo, sasa tuchague lenye manufaa kwetu, kwani usalama wa Taifa lolote hulindwa na wote kwa nguvu zote na gharama zozote,” alisema Rais Samia.

Kauli hii ni ushahidi kwamba Rais Samia anahusika katika kubariki matumizi ya "nguvu zote na gharama zozote” katika kukabiliana na waandamanaji. Hivyo, hawezi kujitenga na hatia ya mauaji holela yanayofanywa mitaani hadi sasa.

Ukweli ni kwamba usalama wa Taifa la Tanzania unapaswa kulindwa kwa kutumia mbinu halali zinazokubaliana na Kanuni ya Utanzania.

Baya la pili ni kuwa, kauli ya Rais Samia kwamba “kipimo cha ukomavu wa kidemokrasia sio nani kashinda uchaguzi, bali jinsi gani tunavyoendesha mambo yetu baada ya msimu wa uchaguzi” haikubaliki.

Ukweli ni kwamba, “kipimo cha ukomavu wa kidemokrasia ni nani kashinda uchaguzi, na jinsi gani aliyeshinda anavyoendesha mambo yake baada ya msimu wa uchaguzi”

Mtu aliyeshindwa hapaswi kukanyaga ofisini, maana mamlaka yanatoka kwa wanananchi kupitia mchakato wa kidemokrasia unaoongozwa na kanuni ya wengi wape. Kuchaguliwa kwa Rais Samia kumekiuka kanuni hii kama nitakavyoonyesha pounde.


Na baya la tatu ni kuwa,
Rais Samia ametoa hotuba akiwa anawahutubia watu waliokuwa katika uwanja wa Nishani.

Lakini uwanja huu ulijaa viongozi wa serikali na wageni waalikwa pasipokuwepo wananchi ambao ndio chimbuko la mamlaka ya serikali.

Hii ni mara ya kwanza kwa jambo hili kutokea katika historia ya kuapishwa kwa marais wa Tanzania.

3. Mapengo katika hotuba


Rais Samia amefanua vema kueleza masikitiko yake kuhusu “matukio ya uvunjivu wa amani, upotevu wa maisha, uharibifu wa mali za umma, na mali za watu binafsi.”

Lakini amesahau kuwapa pole wananchi waliowapoteza ndugu zao. Mpaka anatoa hotuba hii, tayari mochwani za Temeke, Tumbi, Mlonganzila, Lugalo na Muhimbili zimejaa mamia ya vijana waliuwawa kwa kupigwa risasi za kichwa, kifua na kadhalika.

Haya ni mauti yaliyotokea katika nchi ambako yeye alikuwa bado ni Rais halali kwa mujibu wa katiba.

Yeye kama Rais aliyekula kiapo cha kulinda uhai wa watu alipaswa kutoa kauli juu ya hatima ya maiti hizi na familia zao.

4. Uwongo katika hotuba


Hotuba ya Rais Samia imebeba kauli za uwongo usioweza kukubalika kwa mwananchi wa kawaida aliyeko mitaani. Nitatoa mifano miwili.

Uwongo wa kwanza unahusu kauli ya Rais Samia kuwa “baadhi ya vijana waliokamatwa kutokana na kadhia hiyo [ya maandamano] wametoka nje ya Tanzani.”

Kauli hii ni ya ajabu kutolewa na Mkuu wan chi anayesimamia vyombo vya ulinzi na Usalama. Vijana hao wamepita mpaka gani? Wanakaa wapi? Wanakula wapi?

Wamewezaje kuja na pikipiki zao hadi kwenye majiji na miji mikuu ya Tanzania bila vyombo vya ulinzi na usalama kuwabaini? Wamekamatwa wangapi.

Ukweli ni kwamba, hakuna vijana kutoka nje ya Tanzania walioshiriki maandamano.

Badala yake kuna “wanajeshi wa kukodi” walioukuwa wanawaua waandamanaji kiholela na baadhi ya hao mamluki wameuwawa kwa msaasa wa JWTZ.

Mamluki hao walikuwa na magari yaliyosajiliwa Tanzania na wakiwa na silaha zilizosajiliwa Tanzania?


Wauaji hawa ni sehemu ya wale “wasaidizi” wanaodaiwa kukodiwa kutoka Uganda na Zambia, kuletwa nchini, na kisha kutambulishwa kwa bwana mkubwa mmoja kwamba “nimeamua kukuongezea nguvu ya kijeshi kutoka nchi jirani?

Kazi yao ilikuwa ni kuua yeyete, popote, na kwa sababu yoyote. Kuna mayaya na watoto wa miaka sita wamepigwa risasi wakiwa wametumwa dukani.

Sera ya hawa “wauaji wa kukodi” ilikuwa ni “random shooting” kila wanapokutana na watu watatu au zaidi, bila kujali kama wanafanya vurugu au hapana.

Tumezoea kuona mauaji ya aina hii katika miji mikuu ya Uganda, yakiwa yanatekelezwa na majeshi ya Museveni.

Kwa upande wa Dar es Salaam, mamluki hawa walikuwa wanatembea na magari ya Noah nyeusi na Alphad ya kijivu, yasiyo na namba.

Kikosi kazi cha JWTZ kimefanya kazi kubwa ya kukabiliana na hawa “wauaji wa kukodi” na kufanikiwa kuwateketeza baadhi kwa risasi, maeneo ya Mbezi.

Kama hivyo ndivyo, swali pasua-kichwa linaibuka: Je, kwa sababu ya mauaji yaliyofanywa na “vijana waliokodiwa” na Ikulu kutoka nchi jirani, sasa waliohusika na kuwakodi wauaji hao wako tayari kuwajibika kwa sababu ya mauaji holela yaliyofanywa na vijana hawa? Rais Samia anapaswa kujibu swali hili.

Uwongo wa pili unahusu kauli ya Rais Samia kuwashukuru Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kwa “kusimamia uchaguzi kwa ufanisi usiotiliwa shaka.”

Tume hii ilitangaza kuwa Rais Samia ameshinda kwa 97.6%, sawa na kupata kura milioni 31 za wapiga kura, siku ya tarehe 29 Oktoba 2025.

Lakinim ukweli ni kwamba, Tume haikusimamia uchaguzi “kwa ufanisi usiotiliwa shaka.” Ushahidi ulioko mitaani, nchi nzima, unaonyesha kuwa, wapiga kura waliojitokeza tarehe 29 Oktoba 2025, hawakuzidi asilimia 20.

Asubuhi walijitokeza wachache sana. Katika kila kituo wasimamiwi wakiwa wengi kuliko wapiga kura, maana kasi ya kufika kwa wapiga kura ilikuwa ni mtu mmoja kila baada ya dakika tano.

Ilipofika saa nne, taarifa za maandamano zilipoanza kusambaa, wasimamizi wa vituo na mapolisi wao walibadilisha nguo, na kutokomea kusikojulikana, wakiacha masanduki, kura na vitendea kazi vituoni.

Mpaka sasa hawajalipwa maana malipo yangefanyika kama wangekabidhi taarifa za upigaji kura.

Hatimaye, vitu vya Tume vilisombwa kesho yake na kesho kutwa yake kwa msaada wa Tume kusindikizwa na Jeshi la Polisi.

Kwa mfano, katika Jimbo la Ubungo, Kata ya Kimara, Mtaa wa Mwembeni, Kituo cha Kura Kiitwacho “Liberty Nursery and Primary School” vitu vya Tume vilichukuliwa kutoka kituoni tarehe 31 Oktoba 2025. Gari la Tume lilisindikizwa na gari la polisi.

Kwa hiyo, matokeo ya uchaguzi yaliyotangazwa na Tume ni matokeo yaliyotengenezwa na Tume kwa kutumia kompyuta. Hayaakisi matakwa halisi ya Watanzania. Na kwa sababu hii hakuna mgombea yeyote aliyetangazwa kihalali na Jaji Mwambegele.

Kwa hiyo, tunaweza kusema kuwa tumepata msamiati mpya wa kisiasa, yaani “Mwambegeleism.” Huu ni ujasiri na ufundi wa kutengeneza matokeo ya kura ya kubumba kwa kutumia kompyuta, na kasha kuyatangaza kwa umma bila hofu.

Kwa hiyo, pongezi za Rais Samioa kwa wagombea “wote walioshinda kwa nafasi za ubunge, baraza la wawakilishi na udiwani” hazina uhalali.

5. Ubatili kabla ya hotuba


Rais Samia ametoa hotuba baada ya kula kiapa. Lakini, kiapo hii ni sawa na kiapo hewa. Maana ya kiapo ni ahadi ambayo ikivunjwa basi uvunjwaji huo unafuatiwa na mashitaka pamoja na adhabu.

Lakini sasa, katiba yetu inasema kuwa matokeo ya Rais hayahojiwi mahakamani, na kwamba Rais hawezi kushitakiwi kwa kosa lolote. Kwa hiyo, hakuna haja ya kiapo cha urais nchini Tanzania.

6. Mazuri katika hotuba


Pongezi na shukrani kwa watu tofauti: Awali ya yote, Rais Samia alitoa shukrani kwa Mungu kwa kuturuzuku uhai.

Kisha akawapongeza wote walioshinda kwa nafasi za ubunge, baraza la wawakilishi na udiwani.

Hatimaye aliwashukuru wapiga kura walioonyesha imani kwa kuwachagua wagombea wa chama cha mapinduzi.

Aidha, Rais Samia aliwapongeza makampena wa CCM kwa kuendesha kampeni kwa ufundi mkubwa.

Kadhalika, Rais Samia aliishukuru Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kwa “kusimamia uchaguzi kwa ufanisi usiotiliwa shaka.”

Hatimaye akawashukuru wagombea 17 wa Urais, kupitia vyama tofauti, kwa kuefanya kampeni za kistaarabu zenye kuonyesha kuwa “siasa sio vita.”

Maana ya uchaguzi wa kidemokrasia: Rais Samia alitumia sehemu ya hotuba yake kueleza kwamba, uchaguzi wa kidemokrasia ni fursa kwa wananchi kueleza matakwa yao juu ya aina ya viongozi wanaowataka.

Kisha, Rais Samia akafafanua kuwa mgombea anayechaguliwa na wapiga kura wengi ndiye huwa kiongozi wa watu wote, wakiwepo watu waliopiga kura kwa wagombea ambao kura zao hazikutosha na watu ambao hawakupiga kura kabisa.

Ahadi ya kulitumikia Taifa: Baada ya kula kiapo, Rais Samia alittumia sehemu ya hotuba yake kutoa ahadi ya “kulitumukia Taifa kwa nguvu, vipawa na maarifa yake yote.”

Aliwataka wananchi kumpa ushirikiano katika kazi ya kujenga nchi kwa ajili ya “kuitafuta kesho iliyo bora kuliko jana.” Kwa ajili hii akatoa wito wa kudumisha itikadi ya umoja na mshikamano.

Kudorora kwa usalama wa Taifa: Katika hotuba yake, Rais Samia alilieleza Taifa kwamba watu “wote tunaoitakia mema nchi hii tumesikitishwa na kuhuzunishwa na matukio ya uvunjivu wa amani, upotevu wa maisha, uharibifu wa mali za umma, na mali za watu binafsi kwenye baadhi ya maeneo hapa nchini, hasa kwenye majiji na miji.”

Rais Samia alifafanua kuwa, “kilichotokea hakiendani na taswira na sifa za kitanzania, na sio Utanzania.”

“Haikutushangaza kuona kuwa baadhi ya vijana waliokamatwa kutokana na kadhia hiyo wametoka nje ya Tanzani,” alieleza Rais Samia.

Kisha, Rais Samia akaongeza kuwa, “vyombo vya ulinzi na usalama vinaendelea kufuatilia na kuchunguza kwa undani zaidi kilichotokea na kuirudisha nchi kwenye hali tuliyoizoea kwa haraka.”

“Kamati ya Ulinzi ya Kitaifa, Kamati za Ulinzi za Mikoa na Wilaya nawataka mhakikishe kuwa kuanzia leo maisha ya wananchi yanarejea mara moja” katika hali yake ya kawaida, aliagiza Rais Samia.

Kisha akatoa onyo kama mama, kwa wale wote waliochochea uvunifu wa amani.

“Nawataka watambue kuwa vurugu na uvunjifu wa amani huishia kupimana nguvu na uwezo wa kujihami, ila mazungumzo huzaa mshikamano. Hivyo, sasa tuchague lenye manufaa kwetu, kwani usalama wa Taifa lolote hulindwa na wote kwa nguvu zote na gharama zozote,” alisema Rais Samia.

Kuhusu maoni ya waangalizi wa uchaguzi: Rais Samia aliwashukuru waangalizi wa uchaguzi kutoka AU, ICTLR, SADC, na EAC walioshirikia kama waangalizi wa kimataifa.

“Yale ambayo wamesema hayakwenda sawa hata sisi tumeyaona kama wao,” alisema Rais Samia.

Kisha akaongeza kusema kuwa, “waliposifia tumepokea sifa, walipokosoa tumesikia ukosoaji wao, waliposhauri tumeupokea ushauri wao na tutauzingatia katika siku za usoni, na maagizo yao tumeyakataa.”

Taarifa ya awali ya waangalizi wa SADC inasema kuwa uchaguzi haukuwa wazi, huru wala wa haki.

Jukumu la kuenzi tunu za kitaifa: Rais Samia alitumia sehemu kubwa ya hotiba yake kuwasihi watanzania kuzienzi tunu chanya za kitaifa bila kuchoka.

Aliwahimiza kuchagua hekimu badala ya ghababu, busara badala ya mihemuko, upendo badala ya chuki, uvumilivu badala ya kinyongo, umoja badala ya migawanyiko, amani badala ya vurugu, unyenyekevu badala ya kiburi, na huruma badala ya hasira.

“Tukumbuke kuwa, Taifa letu ni moja na lenye nguvu kuliko mtu yeyote,” alisisitiza Rais Samia.

Aliongeza kwamba, katika kutafuta majibu ya matatizo ya kijamii tuliyo nayo tunaunganishwa na tunu ya “suluhu.”

Tunu ya “suluhu” ni sehemu ya falsafa ya 4R inayobeba tunu nne za “mabadiliko, suluhu, ukarabati na uvumilivu,” yaani “Reform, Reconciliation, Rebuild na Resilience.”

“Hatutachoka wala kurudi nyuma katika kuzungumzana na kuelewana,” alifafanua Rais Samia.

Alisisitiza kuwa, tunapaswa kushirikiana kudumisha amani na kuheshimu sheria za nchi, na kufafanua kuwa maandamano, vurugu, na uharibifu wa mali havileti manufaa wala faida kwa yeyote yule, kwani husababisha maumivu.

Kwa maoni ya Rais Samia, falsafa ya 4R inatufundisha kuwa “kipimo cha ukomavu wa kidemokrasia sio nani kashinda uchaguzi, bali jinsi gani tunavyoendesha mambo yetu baada ya msimu wa uchaguzi.”

Kisha, Rais Samia akasisitiza kuwa, “sisi kama Taifa, tutakuwa na nguvu pale sauti chanya au sauti hasi zitakaposikilizwa, kuheshimiwa na kuthaminiwa, na tutakapoweza kuponya wenye maumivu.”

Hata hivyo, Rais Samia alieleza kuwa, “hii sio kazi ya upande mmoja wa serikali peke yake, bali ni wajibu wa kila jumuiya za wananchi, vyama vya siasa, dini zetu, na kila mwananchi.”

Mwelekeo wa kazi za serikali mpya: Hatimaye, Rais Samia akatamka kwamba, “Uchaguzi umekwisha,” kabla ya kueleza kuwa atafafanua mwelekeo wa kazi za serikali mpya katika hotuba yake ya kufungua bunge jipya.

7. Hitimisho na mapendekezo


Kwa ufupi, Jaji Mwambegele ametangaza matokeo ya kubumba bila kujali kwamba wananchi tunaujua ukweli.

Yaani, kwa mujibu wa kura zilizopigwa, Samia Suluhu Hassan sio Rais halali wa Tanzania.

Kuna watanzania wengi wamekufa kutokana na risasi zilizopigwa na “vijana wa kukodi” kutoka nchi za nje na JWTZ wanajua ukweli huu.

Na yote haya ni mambo yanayokiuka misingi ya utawala wa kikatiba na kisheria. Kila aliyetenda kosa anapaswa kupata adhabu kulingana na uzito wa kosa lake. Tujadiliane, tuchukue hatua.

Lakini, wakati mjadala unaendelea, natoa wito kwa Rais Samia kuchukua hatua za mpito zifuatazo:

  1. Rais Samia atoe tamko la kusitisha mauaji holela yanayoendelea nchini kote hadi sasa, yakiwa yanatekelezwa na watu wa;iovalia kiraia na kuendesha magari ya kiraia, wakilenga watu wasio katika hali ya vurugu.
  2. Rais Samia afute kauli yake kwamba maandamano yaliyotokea tangu tarehe 29 Oktoba yalipangwa na kutekelezwa na vijana kutoka nje.
  3. Rais Samia angetangaza siku 3 za maombolezo ya kitaifa, kwa heshima ya watu waliopoteza maisha kwa kuuwawa na vyombo vya dola.
  4. Rais Samia atangaze kugharamia mazishi ya watu wote waliouwawa na vyombo vya dola kwa kuagiza mamlaka za wilaya husika kusimamia mazishi.
  5. Rais Samia atangaze mpango wa kuwafidia kwa kiasi fulani watu waliopoteza mali zao.
  6. Rais Samia akiri hadharani na kuomba msamaha kwa makosa yaliyofanywa na vyombo vya dola na kuomba muafaka na wananchi.
  7. Rais Samia atangaze Tume yenye mchanganyiko wa wadau wote kuchunguza na kuja na majibu ya utekwaji na upotezwaji wa watu.
  8. Rais Samia atangaze kuachiwa kwa wapinzani wote waliofungwa kinyemela.
  9. Rais Samia aunde kikosi kazi cha kukutana na wadau wote wayajenge kuhusu amani ya kweli na kujadili somo tulilojufunza kutokana na maandamano na mauaji haya yaliyotokea.
Kama Rais Samia atasita kufanya haya natoa wito kwa JWTZ kuchukua hatua stahiki za kulinda usalama wa Taifa letu.

VIAMBATANISHO MUHIMU



View attachment 3496768



View attachment 3496775


View attachment 3496776

View attachment 3496772
Sa100 must go to ICC
 
Back
Top Bottom