Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 13,740
- 27,104
hawa viumbe ni wakuteketeza mapema sana,njia pekee ya kumaliza hili tatizoHiyo ndiyo njia pekee, ushoga unaenea kama moto wa makumbi.
hawa viumbe ni wakuteketeza mapema sana,njia pekee ya kumaliza hili tatizoHiyo ndiyo njia pekee, ushoga unaenea kama moto wa makumbi.
Ulijilia unyumba nini mkuuUsiongee hivyo nyie ndo mkija kugundua watoto wenu wanahiyo michezo mnakufa kabisa na pressure.Mimi kuna mtu namfahamu kabisa ni shoga ila sidhani hata wazazi wake wanajua.
Haukumfuturu kweli mkuu?
Wa kutinduliwa au?Huoni kwamba mnawalaumu bure wakati ni watu wanaohitaj msaada
Ulijilia unyumba nini mkuu
Wa kutinduliwa au?
unadhani wanapaswa kusaidiwa kwa njia gani mkuu?Hapana ila watu wasiongee juu juu hilo jambo ni zito sana.Kuna watu ukiambiwa ni michezo yao utaogopa hadi kesho
Huu nao ni kama uraibu?Msaada wa kuacha maana they are fighting a battle ambayo wengine wanashindwa na kujikatia tamaa sasa,kwa sababu they tired to fake na msaada wanakosa
Kuna yule Simba dume alifumaniwa analiwa kiboga na dume mwenzie umesahau?haijawahi kushuhudiwa kwa mnyama yoyote
Kama ungekua uraibu basi kungesha kuw ana dawa yake ya kuuondoaHuu nao ni kama uraibu?
Tenannikimuona au nikijuwa, nimi bdiyo nampeleka Uganda kwa Museveni.Usiongee hivyo nyie ndo mkija kugundua watoto wenu wanahiyo michezo mnakufa kabisa na pressure.Mimi kuna mtu namfahamu kabisa ni shoga ila sidhani hata wazazi wake wanajua.
Mi nahisi ni suala la hormones japo sina hakika pia.Kama ungekua uraibu basi kungesha kuw ana dawa yake ya kuuondoa
Hao unao sema wame badilika ukubwani ni kwamba ulikua hujui maisha yao, Mashoga wengi ni wanajua kuficha hiyo hali , una weza kaa naye na usijue siku ambapo anataka amzingira salama ndio utaweza jua na kushangaa ukasema ame kuja kuw ukubwani, Mashoga wengi wana jitambua toka utoto. Sikiliza mashoga wenyewe wakiongea na sio kumsikiliza asiye shoga akijaribu vaa viatu vya shoga.Kwamba ni inaweza ikawa ni masuala ya homonal imbalance.
Ila mbona kuna watu wanazaliwa normal kabisa,wababadilika ukubwani?
Unajua nimeandika hapa baada ya kukuta chati za rafiki yangu na shoga huko fb wakipeana location.
Sasa nimewaza sana sababu jamaa ni classmate wangu namfahamu fika,..nimeanza kumkwepa
Huu nao ni kama uraibu?
Wabishi na akali unaweza kuta ndio mashoga wakubwa kisiri unajuaHao ni wakufungiwa mpaka waozee jela. WAKAWE WAKE WA WAFUNGWA WENZAO.
Tenannikimuona au nikijuwa, nimi bdiyo nampeleka Uganda kwa Museveni.
Namwambia kwa utaratibu, twende Uganda tukatembee, tukifika huko namripuwa nageuza narudi.
Maisha yanaendelea.
Ni heri uumie roho mara moja kuliko maisha yako yote, unakaa na toto shoga.
Mtafuteni ant Asu siku ni mtumishi wa Mungu ameielezea vizur sana dhana ya ushoga kwa sababu ameishi ushoga kwa miaka 26 akiolewa Mara mbili,akipitia maisha ya kubakwa,kujiuza sehemu zote maarufu nchini ikiwemo kwa macheni amekuwa MWENYEKIT wa mashoga nchini.
Leo ameoa mke mzuri tu ana watoto wawili wa kiume hamu yule mdudu wa kuwashwa kutamani kuingiliwa hayupo Tena,nguvu zake za kiume zimerudi uanaume wake umerudi kaamua kuishi maisha ya kumtumikia Mungu ana hubiri injili,anatoa elimu na mafunzo jinsi ya kuacha ushoga.
Unaweza mpata YouTube kwa majadiliano binafsi.




kwahiyo Reference ya ushoga ni Aunt Assu?? Kumbe chanzo chake cha Ushoga alibakwa?? Na baada ya hapo akaamua kuwa mdangajiii? Basi sawa.Sio kweli , kungekuw ana treatment yaku balance hizo hormon, sexuality ni kitu kikubwa na hakiamuliwa na hormone, jiulize kama wew eni straight je una weza sex na same sex? kama ni straight utataka kutapika , jiulze kwanini wengine hawatapiki?Mi nahisi ni suala la hormones japo sina hakika pia.
Aisee.. so kwa upande fulani unasupport hii kitu? Sababu ukitetea jambo ni sawa na kuunga mkonoNi undefined mkuu…..Mimi hao mashoga ambao wapo sababu ya malezi na changamoto nyingine nitawatetea popote ila hao ambao ni tamaa zao tu i have notbing to defend them