Ushoga unaweza ukawa ugonjwa

Ushoga unaweza ukawa ugonjwa

Ishu ya utajiri ni complexity factor maana utajiri ni matokeo ya jitihada utajiri unakuja auvutwi.
Huwezi lazimisha kuwa tajiri ingekuwa hivyo Kila mtu angekuwa tajiri, kupambana Sio kupata kupata ni wakat
Hii comment iandikwe kwenye kibao cha chuma kisha iwekwe kwenye kila ofisi ya kila wizara
 
Ukitazama kwa makini kabisa,ushoga unaweza ukawa ni ugonjwa.

Kwa sababu it is extremely abnormal kwa binadamu mzima kabisa kiakili,kimwili,kihisia kuwa attracted kihisia na people of the same sex.

Hii hali isiyo ya kawaida haijawahi kushuhudiwa kwa mnyama yoyote isipokuwa binadamu.

Mungu atulinde kwa kweli
Mutation is real 🤣
 
Hii hali isiyo ya kawaida haijawahi kushuhudiwa kwa mnyama yoyote isipokuwa binadamu.
Hapa mkuu nakukatalia. Umewahi kufuga wanyama wa jinsia moja mfano n'gombe au mbuzi?

Nimewahi kukaa sehemu wanafuga ng'ombe za biashara madume matupu zizi zima. Kuna muda unakuta zinapandana zenyewe kwa zenyewe. Mbuzi vilevile walikuwa mchanganyiko ila kuna mabeberu yanawapanda hadi madume wenzao.
 
Hapo haujatibu tatizo,umelitoa tatizo kwenye jamii umelihamishia tatizo magerezani.
Safi sana, huko ndiko wenye matatizo wanapelekwa. Au wajitibu au wajitatulie au wendelee nayo. Simpo. Unataka waache kwenye jamii?
 
Niligundua dogo mmja alinyanduliwa ,nikamkalisha chini kumueleza hyo tabia siyo nzuri ,lakini baada muda karudia Yale Yale ushoga ni sawa na uteja
 
Ni kweli ushoga ni ugonjwa kama magonjwa mengine ya kisaikolojia sisi kama jamii tunapaswa kutafuta namna bora ya kuwasaidia watu walioathirika na hili janga.
Hawapaswi kusaidiwa, wale si wagonjwa wamechagua kuwa mashoga.
Wanapaswa watengwe kwa namna zote zile
 
Ukitazama kwa makini kabisa,ushoga unaweza ukawa ni ugonjwa.

Kwa sababu it is extremely abnormal kwa binadamu mzima kabisa kiakili,kimwili,kihisia kuwa attracted kihisia na people of the same sex.

Hii hali isiyo ya kawaida haijawahi kushuhudiwa kwa mnyama yoyote isipokuwa binadamu.

Mungu atulinde k

Ukitazama kwa makini kabisa,ushoga unaweza ukawa ni ugonjwa.

Kwa sababu it is extremely abnormal kwa binadamu mzima kabisa kiakili,kimwili,kihisia kuwa attracted kihisia na people of the same sex.

Hii hali isiyo ya kawaida haijawahi kushuhudiwa kwa mnyama yoyote isipokuwa binadamu.

Mungu atulinde kwa kwe

Ukitazama kwa makini kabisa,ushoga unaweza ukawa ni ugonjwa.

Kwa sababu it is extremely abnormal kwa binadamu mzima kabisa kiakili,kimwili,kihisia kuwa attracted kihisia na people of the same sex.

Hii hali isiyo ya kawaida haijawahi kushuhudiwa kwa mnyama yoyote isipokuwa binadamu.

Mungu atulinde kwa kweli
Sidhani kama mashoga watakuepo kama hakuna mwanaume wa kuwasumbukia. Kiukweli tatizo hili linakua kutokana na maadili mabovu lkn naona linaanzia mbali. Watu wanasapoti pasipo kujua. Na hata serikali inachangia. Sasa ivi imekua kawaida sana watu wanjinasibu wazi wazi wanaenda kwa mpalange na wasanii pia wanimba. Kuna wimbo mmoja wa singeli madanga ya mke wangu. Ukiusikiliza ni ujinga mtupu lkn unakuta unpigwa kwenye basi yaan ni shda kwenye ule wimbo mstari mmoja unasema nakuruhusu utoe kwa mpalange. Nyimbo ni public. Watu hawazungumzii haya. Lkn shda inaanzia huko kama mwanaume anaenda huko kwa mpalange je atashndwa kumuingilia mwanaume mwenzake. Na je kwa nn jamii na serikali haikemei kampeni chafu izo. Sijui basata ipo wapi. Kuna umuhimu wa kuanza na wasanii. Ni kioo cha jamii lkn wanapromote ujinga. Wakifungiwa wanalalama lkn wakt mwingine ni sahihi kabisa
 
Wanachoboa watu wa west ni kutaka kuuchomeka kila pahala, kwenye movies saivi uchoko umejaa.

Nilikua sijaicheki series ya El chapo, kuja kucheki kudadeki kuna machoko mule.
Kuna series nyingine niliangalia kama season 2 hivi ya tatu jamaa yangu alieicheki akasema mule ndani wamarekani washaanza yao, basi hata hamu sikua nayo.

Sijui labda huko kwao hii ishu ni normal ila huku kiukweli movie inakata stim uchoko ukitawala sana aisee.
 
Ukitazama kwa makini kabisa,ushoga unaweza ukawa ni ugonjwa.

Kwa sababu it is extremely abnormal kwa binadamu mzima kabisa kiakili,kimwili,kihisia kuwa attracted kihisia na people of the same sex.

Hii hali isiyo ya kawaida haijawahi kushuhudiwa kwa mnyama yoyote isipokuwa binadamu.

Mungu atulinde kwa kweli
Wanaita mental illness.
 
Wanachoboa watu wa west ni kutaka kuuchomeka kila pahala, kwenye movies saivi uchoko umejaa.

Nilikua sijaicheki series ya El chapo, kuja kucheki kudadeki kuna machoko mule.
Kuna series nyingine niliangalia kama season 2 hivi ya tatu jamaa yangu alieicheki akasema mule ndani wamarekani washaanza yao, basi hata hamu sikua nayo.

Sijui labda huko kwao hii ishu ni normal ila huku kiukweli movie inakata stim uchoko ukitawala sana aisee.

Western countries haziwalazimishi au kuwaforce watu kuwa mashoga bali wanachiongelea ni kwamba hao mashoga waliopo huku africa wasubaguliwe kisa wao wanafanya mapenzi ya jinsia moja sio kweli wanataka waafrica wawe mashoga.
Mashoga huku africa pia tunawatengeneza wenyewe ila hatutaki kuadmit,unakuta mtu huku analaumu mashoga ila yeye pia ni chanzo kwa kuwa ni irresponsible father kampatia mwanamke mimba halafu huyo mwanamke kajifungua mtoto wa kiume ila kwa namna moja au nyingine hashiriki katika malezi ya huyo mtoto wa kiume,kinachotokea yule mama anamlea huyo mtoto yeye anavyoona anafaa kumbe kuna characters nyingine za kike anampa sasa anapokuja kukukua anakuta anamiss uanaume na kuutafuta kwa wenzake which is atakuwa answafanya au anafanywa.
Pili ni malezi ya kindezi ambayo mnawalea watoto wenu wa kiume,yaani kupata viti kirahisi bila kutaka kuangaika mwisho wa siku wanakuwa wanawashobokea wanaume wenzao na baadhu ya hao wanaume either wanataka wawakomoe au ukute nao wanatafuta attractiveness ya kiume hapo ndo shida inakuja.Unakuta mtito wa kiume hawezi kuvumilia shida au kujua kama huku duniani kuna kupata na kukosa.
Tatu siku hizi kufanya mapenzu kinyume cha maumbile imekuwa kama fashion mjini,huyo aliyezoea kufanya hiyo michezo kwa mtu wake mwisho wa siku kunakuwa hakubani kama mwanzo so hasikii raha sasa ndo kutafuta wenye waliobana iki apate raha,hapo sasa ndo inakuja kukutana na vijana ambao wanapenda mteremko ndo hivyo tena anaona kwani bei gani kuachia nyuma?
Nne watu wanapenda kujaribu vitu kutokana na kuangalia hizo porn mwisho wa siku anataka kujaribu kama mfanyaji ila kuna muda utaenda atataka kujarubu kufanywa ndo hivyo anapotea.

Kabla ya kuwanyooshea vidoke wazungu tujikague wenyewe,tutashindwa kuusaidia jamii yetu kwa kushindwa kudili na chanzo
 
Hawapaswi kusaidiwa, wale si wagonjwa wamechagua kuwa mashoga.
Wanapaswa watengwe kwa namna zote zile
Hapana wanapaswa kusaidiwa kwani hawana tofauti na ambao wako addicted na madawa ya kulevya. Kama ambavyo tumejikita kuwasaidia waraibu wa madawa ya kulevya bila kuzingatia maamuzi hayo ya kutumia madawa nani alifanya basi haina budi kuwasaidia hata wao(mashoga)

Bila kusahau juhudi zetu zote tuzipeleke kupambana na mtu,watu au taasisi inayosababisha au kuendelea kuwepo ungezeko la hawa watu(waathirika) katika jamii zetu .

Jamii pia isisite kuonyesha hasira kwa haya mashirika ya haki za binadamu yanayotetea ushoga. Ushoga si haki ya binadamu kwa maana ushoga unaenda kinyume na matumizi asili ya viungo vya binadamu husika. Haki ya binadamu kwa mashoga ni kusaidiwa kutoka kwenye janga aliloingia na si kutetewa ili aendelee kuathirika.
 
Hawapaswi kusaidiwa, wale si wagonjwa wamechagua kuwa mashoga.
Wanapaswa watengwe kwa namna zote zile

Usiongee hivyo nyie ndo mkija kugundua watoto wenu wanahiyo michezo mnakufa kabisa na pressure.Mimi kuna mtu namfahamu kabisa ni shoga ila sidhani hata wazazi wake wanajua.
 
Back
Top Bottom