Ushoga unaweza ukawa ugonjwa

Ushoga unaweza ukawa ugonjwa

Wanachoboa watu wa west ni kutaka kuuchomeka kila pahala, kwenye movies saivi uchoko umejaa.

Nilikua sijaicheki series ya El chapo, kuja kucheki kudadeki kuna machoko mule.
Kuna series nyingine niliangalia kama season 2 hivi ya tatu jamaa yangu alieicheki akasema mule ndani wamarekani washaanza yao, basi hata hamu sikua nayo.

Sijui labda huko kwao hii ishu ni normal ila huku kiukweli movie inakata stim uchoko ukitawala sana ushetani umewaingia hatupaswi kuwasilikiliza. Inabd tuungane na m7
 
Pita kwa mangi pata chochoteee nakuja kulipaaa. Hiki.ulicho kisema ndo huwa nasema kila siku,

BISEXUALS ndo tatizo kuu.
Hawana amani wala raha na role yao, wanataka kila role wawe km wao. Woiiiiiiiih
Cocastic hemu funguka usione tabu ,hivi mnakuwa mnapata hisia za utamu?
 
Ukitazama kwa makini kabisa,ushoga unaweza ukawa ni ugonjwa.

Kwa sababu it is extremely abnormal kwa binadamu mzima kabisa kiakili,kimwili,kihisia kuwa attracted kihisia na people of the same sex.

Hii hali isiyo ya kawaida haijawahi kushuhudiwa kwa mnyama yoyote isipokuwa binadamu.

Mungu atulinde kwa kweli
Uganda wale wanaowashawishi normal persons kuwa abnormal persons watauawa. Mashirika yanayofadhili ujinga huu yatafutwa na kupelekwa Mahakamani kwa mujibu wa Sheria za Uganda.
Na ukibainika unashiriki uchafu huu utafungwa kifungo kirefu sana. Ukiwa gerezani utapata matibabu na counciling, gerezani na wataalam wa wa afya wakijiridhisha uko sawa na hautarudia huo uchafu,utaachiwa huru kwa uangalizi maalumu.
Vijana wengi NORMAL wenye tammaa ya mafanikio ya haraka hushawishika kirahisi sana kujiunga na usharika wa ABNORMALITY community
 
Kweli unaweza kujiendekeza kwenye jambo ambalo unajua kabisa jamii au familia itakutenga? Basi hilo jambo litakuwa zito sana.Tafuta maarifa ili ulinfe kizazi chako
Nisha kutana na jamaa smart ana mke na watoto akaniomba nimgonge sasa mtu kama huyo utasema ni ugonjwa au kujiendekeza?
 
Sasa unachukua pesa ya shoga ya nn km hutakiii? Si uombe kwa wanawakee unaowatakaa hao.

Unasema wazi eti nlikua na shida ya pesa, ndo nyie mkipandishiwa dau mnainamaaa, na mko wengi sanaaa uraiani.

Sawa njoo mtaani uniinamishe
 
Ushoga ni ukilema wa akili , ninachodhani ni hitlafu fulani kwenye akili inayo pelekea kutamani jinsia zote au jinsia unayo fanana nayo , mashoga wote hakuna anaye taka kuwa shoga , mashoga hutamani kuwa kama wengine lakini uhalisia w maamanio ya mwili hua magumu sana kushindana nayo, Jiulize wewe straight men, una wezaje kuamua tuu usifanye ngono milele , je unaweza ? ningumu sana

Upo sahihi mkuu, [mention]FaizaFoxy [/mention] Kuna kitu watu wengi hua hawajui kuhusu hawa watu, kwanza tambua wapo kimakundi, kundi la kwanza ni wale waliopitia unyanyaswaji wa kiongono wakiwa bado wadogo, kuna walio kua inspired na mazingira, na kuna walio pitia mazingira yenye maadili mabovu.

Na kama kuna mtu wa kupewa adhabu kwanza basi ni wazazi au walezi wa hao watu, asilimia 99 wao ndo chanzo kwa uzembe wao na kutokua na maalifa yakutosha kuhusu malezi.

1-UNYANYASWAJI WA KIN’GONO.
Hili kundi sio wengi sana na wamejikuta kwenye hii hali baada ya kupitia mtu au watu, unaweza kua na mtoto wa kiume hapo anakuaga anakwenda tution,mpirani,kucheza kwa jirani, kusoma na wenzake and etc ila uko anakoenda hujui anakutana na nini mpaka anafika na anarudi.

Mfano; Zamani kidogo kulikua na tabia ya mtaani kama kuna nyumba anaishi mwalimu karibu ndo inakua sehemu ya tution ya wanafunzi baada ya masomo ya mchana, kuna mtoto mmoja wakiume tulikuja kujua ye alikua akilawitiwa na mtoto wa mwenye nyumba(Mwalimu) alipokua anasomea tution, na iyo kitu kinaongelewa kisirisiri na hakuna hatua zilizowahi kuchukuliwa kwa uyo mtoto na sijui mpaka leo yupo wapi! Ila sintoshangaa kama uyo mtoto atakuja kua shoga au kufanyia wenzake matendo yakishoga maana hakuwahi kupata msaada wowote wa kisaikolojia maybe uko alikoenda alipata sina hakika.


2-INSPIRED NA MAZINGIRA
Hapa nitagusia sasa mapokeo ya watoto binafsi yao.

kuna tabia ya kuwaacha watoto watazame tv bila uangalizi
kuna tabia ya kuacha watoto wakiume wacheze MICHEZO YA KIKE michezo mnaijua
kuna tabia ya kuacha watoto wakiume wakae mda wote na dada zake.

Zipo nyingi ila ntaongelea izo kwa sasa.
Mzazi jua unaporuhusu mtoto wako wakiume kua karibu sana na vyumba vya dada zake michezo and etc, bas jua kupona kwa uyo mtoto kutoka kwenye ushoga ni swala la mungu nisaidie, mtoto wakike ukimruhusu akae na kaka zake sana kuna tabia za kiume kiume atazibeba mfano atajikuta tuu anajua kupigana, kuendesha baiskeri, kucheza mpira na kadharika na pia ndo ivo ivo wakiume ukiruhusu akae karibu na watoto wakike kuna tabia ataziiba mfano Umbea, kupenda kujiremba, kupenda mapishi usafi sana na kadharika, so muda unapozidi kusogea unakuta anaanza kuona kwake ni raha zaidi ule ufeminist ukiwa parfect ndo apo ataanza kujitenda automatic na watoto wakiume na ataanza kupenda mambo yote ya kike na mwisho atatamani mwenyewe binafsi kupata kidume chake ili awe kama dada zake na awe dominated kama dada zake.


3-MAADILI MABOVU
Hapa sasa nitaongelea general na haswa hawa masingle mother, na wale mamazetu walio kwenye mazingira ya kiswahili (maadili zero streets ), kuna ile tabia unakuta wamama ndo wanasauti kwenye nyumba, wao ndo kila kitu na wengine wanaishi bila waume kwenye nyumba zao, huku ndo kunazalisha hawa mashoga kwa asilimia kubwa.

Unaweza kuta mwanamke anamlea mwanawe kama mtoto wakike tokea akiwa mdogo yani mtoto wakiume anakua kama mkoba wa mama, hapewi chansi ya kuziona changamoto zozote, tokea mdogo anafundishwa kua ukiumia/ukiumizwa lia nitakubembeleza, wakikuonea mimi mamayako nitakupambania so mwisho wasiku wanazani ndo upendo ila wanaipoteza jamii ya kiume na hasa (ALPHA MALES) wanao weza protect na kutawala mazingira, pia ili kundi huafundisha watoto wao kazi za kike(najua hapa nitapigwa vibaya mno) ila trust me kuna kazi inabidi zifanywe hasa na watoto wakiume zaidi na kuna kazi inabidi wafanye watoto wakike zaidi. Mkitaka ufafanuzi ntafafanua ila kwasasa namilizia ivi;

Tazama jamii zinazo enzi mila na tamaduni zao hususan watoto wakiume, mfano wamang’ati, wamasai, wakurya and etc pia chunguza korea ya Kiduku na uchina sizani kama watakua na good number za ushoga kama jamii ambazo western calture imeenea zaidi, kama uku Africa zamani wakina chief Mkwawa walivyokua wanalea jamii ya watoto wakiume kwa jicho kali sidhani kama aya mambo tungeyasikia. Tumeacha tamaduni zetu leo hii watoto wakiume wangekua wanalelewa na wanaume wenzao hasa wazee wa kaya na kuwaweka responsible 24 hrs usingekaa ukasikia huu utoporo.

Nb, nisamehewe huandishi wangu sio mzuri.
 
Nisha kutana na jamaa smart ana mke na watoto akaniomba nimgonge sasa mtu kama huyo utasema ni ugonjwa au kujiendekeza?
Mtu kama huyu ni bisexual yani ana matamanio ya kingono kwa mwanaume na mwanamke , mtu kama huyo wako wengi , inasmekana karibu binadamu walio asilimia kubwa ni wako hivyo ila kinacho fanya wengi wasijitokeze kwnye kufanya na jinsia yake au kujificha na kufanya kwa siri ni sababu tuu ya imani ya dini au utamaduniw a sehemu husika . Watu kama hao ndio wengi huwa wana tukana na kukemea mashoga sababu wao wana uwezo wa kuamua kuacha au kuto jihusisha na mapenzi ya jinsia moja na kupunguza ukali wa hamua ya mapenzi kwa mtu wa jinzia nyingine,Sasa watu kama hao wanapo ona kuna watu wana fanya mapenzi ya jinsia moja , huwa akali kwa sababu wanaona wezao wako huru , pili kama yeye kaweza acha kwanini na mwingine asiweze acha, wengi wana kua jhawajitambui kwamba wao ni bisexual hivyo nirahisi kwa wao kujizuia , ila yule aliye gay hawezi jizuia sababu hana uwezo wa kuchagua.
 
Upo sahihi mkuu, [mention]FaizaFoxy [/mention] Kuna kitu watu wengi hua hawajui kuhusu hawa watu, kwanza tambua wapo kimakundi, kundi la kwanza ni wale waliopitia unyanyaswaji wa kiongono wakiwa bado wadogo, kuna walio kua inspired na mazingira, na kuna walio pitia mazingira yenye maadili mabovu.

Na kama kuna mtu wa kupewa adhabu kwanza basi ni wazazi au walezi wa hao watu, asilimia 99 wao ndo chanzo kwa uzembe wao na kutokua na maalifa yakutosha kuhusu malezi.

1-UNYANYASWAJI WA KIN’GONO.
Hili kundi sio wengi sana na wamejikuta kwenye hii hali baada ya kupitia mtu au watu, unaweza kua na mtoto wa kiume hapo anakuaga anakwenda tution,mpirani,kucheza kwa jirani, kusoma na wenzake and etc ila uko anakoenda hujui anakutana na nini mpaka anafika na anarudi.

Mfano; Zamani kidogo kulikua na tabia ya mtaani kama kuna nyumba anaishi mwalimu karibu ndo inakua sehemu ya tution ya wanafunzi baada ya masomo ya mchana, kuna mtoto mmoja wakiume tulikuja kujua ye alikua akilawitiwa na mtoto wa mwenye nyumba(Mwalimu) alipokua anasomea tution, na iyo kitu kinaongelewa kisirisiri na hakuna hatua zilizowahi kuchukuliwa kwa uyo mtoto na sijui mpaka leo yupo wapi! Ila sintoshangaa kama uyo mtoto atakuja kua shoga au kufanyia wenzake matendo yakishoga maana hakuwahi kupata msaada wowote wa kisaikolojia maybe uko alikoenda alipata sina hakika.


2-INSPIRED NA MAZINGIRA
Hapa nitagusia sasa mapokeo ya watoto binafsi yao.

kuna tabia ya kuwaacha watoto watazame tv bila uangalizi
kuna tabia ya kuacha watoto wakiume wacheze MICHEZO YA KIKE michezo mnaijua
kuna tabia ya kuacha watoto wakiume wakae mda wote na dada zake.

Zipo nyingi ila ntaongelea izo kwa sasa.
Mzazi jua unaporuhusu mtoto wako wakiume kua karibu sana na vyumba vya dada zake michezo and etc, bas jua kupona kwa uyo mtoto kutoka kwenye ushoga ni swala la mungu nisaidie, mtoto wakike ukimruhusu akae na kaka zake sana kuna tabia za kiume kiume atazibeba mfano atajikuta tuu anajua kupigana, kuendesha baiskeri, kucheza mpira na kadharika na pia ndo ivo ivo wakiume ukiruhusu akae karibu na watoto wakike kuna tabia ataziiba mfano Umbea, kupenda kujiremba, kupenda mapishi usafi sana na kadharika, so muda unapozidi kusogea unakuta anaanza kuona kwake ni raha zaidi ule ufeminist ukiwa parfect ndo apo ataanza kujitenda automatic na watoto wakiume na ataanza kupenda mambo yote ya kike na mwisho atatamani mwenyewe binafsi kupata kidume chake ili awe kama dada zake na awe dominated kama dada zake.


3-MAADILI MABOVU
Hapa sasa nitaongelea general na haswa hawa masingle mother, na wale mamazetu walio kwenye mazingira ya kiswahili (maadili zero streets ), kuna ile tabia unakuta wamama ndo wanasauti kwenye nyumba, wao ndo kila kitu na wengine wanaishi bila waume kwenye nyumba zao, huku ndo kunazalisha hawa mashoga kwa asilimia kubwa.

Unaweza kuta mwanamke anamlea mwanawe kama mtoto wakike tokea akiwa mdogo yani mtoto wakiume anakua kama mkoba wa mama, hapewi chansi ya kuziona changamoto zozote, tokea mdogo anafundishwa kua ukiumia/ukiumizwa lia nitakubembeleza, wakikuonea mimi mamayako nitakupambania so mwisho wasiku wanazani ndo upendo ila wanaipoteza jamii ya kiume na hasa (ALPHA MALES) wanao weza protect na kutawala mazingira, pia ili kundi huafundisha watoto wao kazi za kike(najua hapa nitapigwa vibaya mno) ila trust me kuna kazi inabidi zifanywe hasa na watoto wakiume zaidi na kuna kazi inabidi wafanye watoto wakike zaidi. Mkitaka ufafanuzi ntafafanua ila kwasasa namilizia ivi;

Tazama jamii zinazo enzi mila na tamaduni zao hususan watoto wakiume, mfano wamang’ati, wamasai, wakurya and etc pia chunguza korea ya Kiduku na uchina sizani kama watakua na good number za ushoga kama jamii ambazo western calture imeenea zaidi, kama uku Africa zamani wakina chief Mkwawa walivyokua wanalea jamii ya watoto wakiume kwa jicho kali sidhani kama aya mambo tungeyasikia. Tumeacha tamaduni zetu leo hii watoto wakiume wangekua wanalelewa na wanaume wenzao hasa wazee wa kaya na kuwaweka responsible 24 hrs usingekaa ukasikia huu utoporo.

Nb, nisamehewe huandishi wangu sio mzuri.
Ukweli umesema hapo .
 
Mtu kama huyu ni bisexual yani ana matamanio ya kingono kwa mwanaume na mwanamke , mtu kama huyo wako wengi , inasmekana karibu binadamu walio asilimia kubwa ni wako hivyo ila kinacho fanya wengi wasijitokeze kwnye kufanya na jinsia yake au kujificha na kufanya kwa siri ni sababu tuu ya imani ya dini au utamaduni wa sehemu husika . Watu kama hao ndio wengi huwa wana tukana na kukemea mashoga sababu wao wana uwezo wa kuamua kuacha au kuto jihusisha na mapenzi ya jinsia moja na kupunguza ukali wa hamua ya mapenzi kwa mtu wa jinzia nyingine,Sasa watu kama hao wanapo ona kuna watu wana fanya mapenzi ya jinsia moja , huwa akali kwa sababu wanaona wezao wako huru , pili kama yeye kaweza acha kwanini na mwingine asiweze acha, wengi wana kua jhawajitambui kwamba wao ni bisexual hivyo nirahisi kwa wao kujizuia , ila yule aliye gay hawezi jizuia sababu hana uwezo wa kuchagua.
 
Hua kuna kitu ambacho huwa sikubaliani nacho, ninacho amini ni kwamba , ukisha kuwa na sexuality fulani uliyo zaliwa nayo huwa haiwezi badilika. Kuna mambo mengi sana kwnye makuzi tunaweza sema watoto waharibika, lakini ni uhalisia wa mtu, utakuta mtoto ana cheza michezo ya kike, na wazazi wakalaumiwa kwamba wamewaacha watoto wchezi, hiyo simini kama ni kosa la kuwaacha ila ni uhalizia wa huyo mtoto toka mtoto kwamba , ana ji identify na uwanamke zaidi na ndio hawa transgenders.Pili mtoto kubakwa na kuwa shoga, hilo huwa na dhani ni utetezi tuu, kinacho tokea ni kwamba , yule mtoto akisha fanyiwa kitendo hicho , huwa habari haziwi siri tena hujulikana na kama tunavyo jua mabasha wako wengi hivyo walio mzunguka humwinda huyo mtoto na kumshawishi iwe kwa pesa au vitu vizuri na yule mtoto kwa kua amesha fanya na haoni ajabu , haiwi shida sana kwake kukubali kufanya hiyo michezo na anapo gunduliaka huja na sababu ya kwamba nime kuwa shoga sababu ya kubakwa , ukweli ni kwamba huyo anafanya vitendo vya kishoga ila sio Shoga, lada ndio hao kina Aunty Assu , hao ndio unaweza kukuta wakatangaza kaacha ushoga na kuoa , kwasababu ndani yake sio shoga ila ana fanya ushoga kwa sababu alianzishiwa na kuona ni njia rahisi ya kupata vitu anavyo taka.
Hakuna mwanaume anaye taka kulawitiwa aiswe shoga, lazima kuw ana aina flani ya ubisexuality ndani yake.
 
Halafu kwnye hizo tamaduni ni kwamba kinacho walind ani kwamba tamaduni zao zinakua ngumu kuona na kujua kuna kitu homosexuality, wengi hawajui hiyo kitu, ila feelings huwa wanazo kwa wanaume wezao, ila hawajui hizo feelings zina maana gani. utakuta mchungaji akimwangalia mwanaume mwenzake anaoga ana simamisha, ila hajaelewa ina maanisha nini na utakuta ndio mana hukokwnye hayo makabila kuna madaw amengiya nguvu za kiume , sababu , wako huko mashoga ila utamaduni unawlainda hawawezi kufanya, napale anapo shindwa simamisha sababu ya hana matamanio na mke wake aliye ozeshwa naye , ndio dawa za kuongeza uume usimame hutumika na kumbuka makabila hayo sex kwao ni raha ya dakika mbili tuu , hivyo ni rahisi kw akijana kutumia dawa na kumfnya mkewe na kupata watoto ,lakini hawez kujakuwa shoga sababu hajui ushoga ni nini .
 
Mashoga wengi haswa wale wanao vaa au kufanya vitendo vya kike ukiwauliza, hawakuambii hata siku moja ni sababu ya maelzi ya mama, wengiwatakuambia walikua wanajisikia kupenda vitu vya kike toka utotoni , kucheza na dolls au kucheza na watoto wa kike , ndio ile dhana ya kusema Born in the wrong body, huwa naamini ni hitilafu ya kwnye brain.
 
Hizi thread za hawa watu zimerudi tena.🤨
 
Back
Top Bottom