Aliesema kalazimishwa ni nani??Nenda kaangalie bongo movies hujalazimishwa kucheki muvie za west,
Mkuu dogo anasema yy wala hajutii Yuko proudMsaidie awaone psychologists wamsaidie ataambukiza watu wengi sana kwenye jamii yetu
Ana jihusisha Kabisa hila sasa yy ajalegea kivile anasema kwao hakuna aliyemgunduaKwaiyo tayari anajihusisha na hizo mambo.
Daaah ila kuzaliwa na hizo feelings ni adhabu,hakuna tofauti na mlemavu,
Ukitazama kwa makini kabisa,ushoga unaweza ukawa ni ugonjwa.
Kwa sababu it is extremely abnormal kwa binadamu mzima kabisa kiakili,kimwili,kihisia kuwa attracted kihisia na people of the same sex.
Hii hali isiyo ya kawaida haijawahi kushuhudiwa kwa mnyama yoyote isipokuwa binadamu.
Mungu atulinde kwa kweli
Ukitazama kwa makini kabisa,ushoga unaweza ukawa ni ugonjwa.
Kwa sababu it is extremely abnormal kwa binadamu mzima kabisa kiakili,kimwili,kihisia kuwa attracted kihisia na people of the same sex.
Hii hali isiyo ya kawaida haijawahi kushuhudiwa kwa mnyama yoyote isipokuwa binadamu.
Mungu atulinde kwa kweli
Kwamba ni inaweza ikawa ni masuala ya homonal imbalance.
Ila mbona kuna watu wanazaliwa normal kabisa,wababadilika ukubwani?
Unajua nimeandika hapa baada ya kukuta chati za rafiki yangu na shoga huko fb wakipeana location.
Sasa nimewaza sana sababu jamaa ni classmate wangu namfahamu fika,..nimeanza kumkwepa
Amna hii issue mtu akianza haachi alaf suala la kuanza au kutokuanza ni mazingira na watu ambao mtu anakutana nao, so hamna haja ya kumkwepa jamaa yako as long as mnafanya maisha mengine
Ndo ugonjwa wenyewe wa akili huoHakuna cha ugonjwa ni ukosefu wa maafdili na wanazoweshwa watu wasio na maadili waliokwisha wahi kufanyiwa hivyo.
Muulizeni cocastic