Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,738
- 11,644
Hapo si ndio kuwapa wanachotaka, au jela hakupaswi kuwa na maadili mema?Hao ni wakufungiwa mpaka waozee jela. WAKAWE WAKE WA WAFUNGWA WENZAO.
Hapo si ndio kuwapa wanachotaka, au jela hakupaswi kuwa na maadili mema?Hao ni wakufungiwa mpaka waozee jela. WAKAWE WAKE WA WAFUNGWA WENZAO.
Wakafie huko, wasituharibie jamii, hapo tena ni wote wanapelekwa mfanyaji na mfanywaji. Maana huwezi kufanyia wenzako kama mwenyewe hufanywi.Hapo si ndio kuwapa wanachotaka, au jela hakupaswi kuwa na maadili mema?
Safi sana, huko ndiko wenye matatizo wanapelekwa. Au wajitibu au wajitatulie au wendelee nayo. Simpo. Unataka waache kwenye jamii?
Wanachoboa watu wa west ni kutaka kuuchomeka kila pahala, kwenye movies saivi uchoko umejaa.
Nilikua sijaicheki series ya El chapo, kuja kucheki kudadeki kuna machoko mule.
Kuna series nyingine niliangalia kama season 2 hivi ya tatu jamaa yangu alieicheki akasema mule ndani wamarekani washaanza yao, basi hata hamu sikua nayo.
Sijui labda huko kwao hii ishu ni normal ila huku kiukweli movie inakata stim uchoko ukitawala sana aisee.
Western countries haziwalazimishi au kuwaforce watu kuwa mashoga bali wanachiongelea ni kwamba hao mashoga waliopo huku africa wasubaguliwe kisa wao wanafanya mapenzi ya jinsia moja sio kweli wanataka waafrica wawe mashoga.
Mashoga huku africa pia tunawatengeneza wenyewe ila hatutaki kuadmit,unakuta mtu huku analaumu mashoga ila yeye pia ni chanzo kwa kuwa ni irresponsible father kampatia mwanamke mimba halafu huyo mwanamke kajifungua mtoto wa kiume ila kwa namna moja au nyingine hashiriki katika malezi ya huyo mtoto wa kiume,kinachotokea yule mama anamlea huyo mtoto yeye anavyoona anafaa kumbe kuna characters nyingine za kike anampa sasa anapokuja kukukua anakuta anamiss uanaume na kuutafuta kwa wenzake which is atakuwa answafanya au anafanywa.
Pili ni malezi ya kindezi ambayo mnawalea watoto wenu wa kiume,yaani kupata viti kirahisi bila kutaka kuangaika mwisho wa siku wanakuwa wanawashobokea wanaume wenzao na baadhu ya hao wanaume either wanataka wawakomoe au ukute nao wanatafuta attractiveness ya kiume hapo ndo shida inakuja.Unakuta mtito wa kiume hawezi kuvumilia shida au kujua kama huku duniani kuna kupata na kukosa.
Tatu siku hizi kufanya mapenzu kinyume cha maumbile imekuwa kama fashion mjini,huyo aliyezoea kufanya hiyo michezo kwa mtu wake mwisho wa siku kunakuwa hakubani kama mwanzo so hasikii raha sasa ndo kutafuta wenye waliobana iki apate raha,hapo sasa ndo inakuja kukutana na vijana ambao wanapenda mteremko ndo hivyo tena anaona kwani bei gani kuachia nyuma?
Nne watu wanapenda kujaribu vitu kutokana na kuangalia hizo porn mwisho wa siku anataka kujaribu kama mfanyaji ila kuna muda utaenda atataka kujarubu kufanywa ndo hivyo anapotea.
Kabla ya kuwanyooshea vidoke wazungu tujikague wenyewe,tutashindwa kuusaidia jamii yetu kwa kushindwa kudili na chanzo
Kuwa na msimamoWatakuja wanao hitajiii![]()
kumbe mnakuwa mnapata utamuSasa km hawapati ndo wangekua wanafanyaa jamanii?
Wanaofanya ndo wanajua, nimekujibu kulingana na swali lako.kumbe mnakuwa mnapata utamu





Kheeeh unataka kuinamishwaa? Serious?sema nikuletee basha, nipe locs tyuuh, una ibukiwa chap kwa haraka.Kuwa na msimamo






Miaka ya 1970 kurudi nyuma Marekani ilikuwa inautambua ushoga kama ni ugonjwa wa akili. UN pia walikuwa na position hiyo. Na kwa US ilikuwa kabla ya kuwa promoted au appointed kwenye ngazi za juu, unapimwa kwanza kama ni shoga ama la. Ukibainika, basi cheo hicho hukipati.
ohh samahani dear nilizani na wewe ni katika waoWanaofanya ndo wanajua, nimekujibu kulingana na swali lako.
![]()
Msaidie awaone psychologists wamsaidie ataambukiza watu wengi sana kwenye jamii yetuNo hii issue bhna Mimi naisi ni upungufu wa hormone fulani juzi Kati kuna dogo kanisimulia njinsi anavyopata shida kutamani wanaume anasema kazaliwa hivyo yeye Hana feeling kabisa na wanawake
kama nini mskume kutuNo hii issue bhna Mimi naisi ni upungufu wa hormone fulani juzi Kati kuna dogo kanisimulia njinsi anavyopata shida kutamani wanaume anasema kazaliwa hivyo yeye Hana feeling kabisa na wanawake
Hiyo imbalance unayozungumzia haimfanyi mtu kuingiliwa never. Tumekaa na tumesoma na watu wa hivyo wengi. Kuingiliwa ni kitu kingine na hizo imbalance ni kitu kingine. Hilo tatizo ni mapepo au nguvu za giza moja kwa moja. Na shetani humuingia mtu kutamani kufanya hivyo kwa njia mbalimbali.Kwamba ni inaweza ikawa ni masuala ya homonal imbalance.
Ila mbona kuna watu wanazaliwa normal kabisa,wababadilika ukubwani?
Unajua nimeandika hapa baada ya kukuta chati za rafiki yangu na shoga huko fb wakipeana location.
Sasa nimewaza sana sababu jamaa ni classmate wangu namfahamu fika,..nimeanza kumkwepa
AyaKheeeh unataka kuinamishwaa? Serious?sema nikuletee basha, nipe locs tyuuh, una ibukiwa chap kwa haraka.
![]()
Kwaiyo tayari anajihusisha na hizo mambo.No hii issue bhna Mimi naisi ni upungufu wa hormone fulani juzi Kati kuna dogo kanisimulia njinsi anavyopata shida kutamani wanaume anasema kazaliwa hivyo yeye Hana feeling kabisa na wanawake