Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 29,503
- 42,575
Teh teh teh... mtume mwamedi mbona hakupigwa risasi kama hayo ndo mapendekezo yako?Kumbe wewe ni shoga?
@cicastic njoo huku.
Teh teh teh... mtume mwamedi mbona hakupigwa risasi kama hayo ndo mapendekezo yako?Kumbe wewe ni shoga?
@cicastic njoo huku.
Sio mental disorder, waandaji wa DSM V waliikataa na walitumia research. Yaani mpaka sasaivi watu hawajaelewa, mindset inakuwaje twisted. Kwa mwanamke imeonyesha ni rahisi sana kubadilisha hiyo mindset, maana wapo wengi waliobadilika ila kwa wanaume ni mmoja tu na walifanikiwa kwa 80-85% sio full.Ni kweli ushoga ni ugonjwa kama magonjwa mengine ya kisaikolojia sisi kama jamii tunapaswa kutafuta namna bora ya kuwasaidia watu walioathirika na hili janga.
Wapo sehemu zote tofauti tu ni ratio kulingana na idadi ya watu ndio maana dar utawakuta wengi mtwara wachacheWengine wanasema ni ugonjwa wa mijini vijijini kwenye maadili angalabu kusikia hiki kitu
Mbona fresh tu mimi sioni ubaya wowote mtu kutumia kiungo chake mwenyewe wewe kinakuhusu nini kwasababu huguswiUkitazama kwa makini kabisa,ushoga unaweza ukawa ni ugonjwa.
Kwa sababu it is extremely abnormal kwa binadamu mzima kabisa kiakili,kimwili,kihisia kuwa attracted kihisia na people of the same sex.
Hii hali isiyo ya kawaida haijawahi kushuhudiwa kwa mnyama yoyote isipokuwa binadamu.
Mungu atulinde kwa kweli
Hapa naweza kukubali maana sayansi imeshindwa kuelezea. Kwasababu mwanzoni walidhani labda testosterone ni ndogo ila chakushangaza waliowastudy wakamkuta wanavery normal levels za testosterone na wengine zaidi mfano wale wa gym, maana mazoezi hufanya mwili kuzalisha testosterone zaidi na zaidi. Ila chakushangaza na hawajamaa wa gyms pia wamo.Ndio ushoga ni ugonjwa wa kiroho.
Ushoga ni nguvu chafu za kiroho kutoka external forces kwa lengo la kuitumikisha nafsi yako.
Ushoga unatibika kupitia tiba za kiroho.
Wanawake wanafanya hizo mambo Wana mazoezi Yao ya gym anarudi kuwa tight kama vile hajawahi. So hata muathirika wa ushoga anaweza retain the intactness.Karudisha vyote lakini Marinda hayajarudi. Labda kama kashonwa kwenye nukta
Mzee chats za mtu FB unazionaje ume hack account au maana huwezi ingia inbox anyway charting ni private ya mtu Kuna chat za mtu ukizipitia unaweza fikiri vibaya kumbe just normal kwasabu ni sehemu private anaweza jitanua.Kwamba ni inaweza ikawa ni masuala ya homonal imbalance.
Ila mbona kuna watu wanazaliwa normal kabisa,wababadilika ukubwani?
Unajua nimeandika hapa baada ya kukuta chati za rafiki yangu na shoga huko fb wakipeana location.
Sasa nimewaza sana sababu jamaa ni classmate wangu namfahamu fika,..nimeanza kumkwepa
Niliiona baada yeye kulogg in kupitia cm yangu baada ya cm yake kupoteaMzee chats za mtu FB unazionaje ume hack account au maana huwezi ingia inbox anyway charting ni private ya mtu Kuna chat za mtu ukizipitia unaweza fikiri vibaya kumbe just normal kwasabu ni sehemu private anaweza jitanua.
Nassma hivyo kwasabu hata mimi nishawai chat na shoga akanipa moaka location ukisoma chatting unaweza kunidhani vibaya kumbe sio choko alini inbox mwenyewe baada ya kuona nimeposti picha nanyayua chuma akataka nimpige nikakataa siku nikawa nashida ya hela nikamrudia nikasema atanipa shingapi atume akanifosi mpaka niende kajua nataka kumtaperi na AIM yangu ilikuwa hio atume nisitokee maana nimpige tu hela ila Sasa mtu mwengine akiona hizo chat atasema hee jamaa kumbe anakula mashoga
Na ukimfanyia ubaya tajiri kwenye familia yako utazaa mtoto tajiri au inakiwa applicable kwenye mabaya tuOnyo kwa nyie mnaowapanda mashoga kesho utazaa shoga ktk familia yako kwa sababu umeivuta mwenyewe Ile roho ya ushoga kwa kushiriki ushoga kwa kumpanda mtoto wa mwanaume mwenzako.
So akitokea shoga ndani ya uzao wako usistuke tambua unavuna ulichopanda.
Usimfikilie vibaya Happ mwenye makosa wewe kuingia kwenye private ya mtu kuna vitu vingi kwenye INBOX ambavyo akiangalia asiyehusika atafikiri vibaya ila sio ule usiri unatufanya tuwe huru kuandika chochoteNiliiona baada yeye kulogg in kupitia cm yangu baada ya cm yake kupotea
Kuwasaidia nikuwa peleka kwa MuumbaNi kweli ushoga ni ugonjwa kama magonjwa mengine ya kisaikolojia sisi kama jamii tunapaswa kutafuta namna bora ya kuwasaidia watu walioathirika na hili janga.
Labda lakini... Ila historia kwamba hiyo YARD abnormal wide loads ziliingia kwa wingi haitofutikaWanawake wanafanya hizo mambo Wana mazoezi Yao ya gym anarudi kuwa tight kama vile hajawahi. So hata muathirika wa ushoga anaweza retain the intactness.
Machine ndio zinawabadilisha wengi.
Ubatizo wa mbooo ni mbaya sana kuwahi kutokea kwenye uso wa dunia.
Ishu ya utajiri ni complexity factor maana utajiri ni matokeo ya jitihada utajiri unakuja auvutwi.Na ukimfanyia ubaya tajiri kwenye familia yako utazaa mtoto tajiri au inakiwa applicable kwenye mabaya tu