Ushauri Wizara ya Elimu: Nyadhifa zitolewe kwa kuzingatia Kiwango cha Elimu, kipaumbele kikiwa kwenye elimu ya juu zaidi

Mtu kuwa na elimu kubwa, inatafsiri wewe ni mtu wa kimataifa; ukishakuwa na hiyo elimu hutakiwi kufikiria mishahara wala posho; we fanya machapisho yenye tija kimataifa, utakuwa unaitwa kwenye presentation huko nje na kupiga hela.

Kusoma huku ukitegemea mshahara au vyeo; unakuwa na elimu ya karatasi lakini kichwani unakuwa hamna kitu.

Unatakiwa u- act kisomi; Dunia ikutambua wewe ni nani; tunategemea siku moja utaitwa pale Harvard au Oxford ukafanye 'presentation'.​
 
Kwa miaka ya sasa ni rahisi sana kuona mwalimu ana Masters/PhD lakini yupo tu anafundisha huko shuleni, ila mabosi wake wote wana Shahada. Huyu mwalimu mwenye Masters/PhD anaambulia kuhujumiwa tu na mabosi hao ili kumkatisha tamaa.

Mfano, anaweza akawa amepata mchongo mahali pengine kutokana na sifa alizonazo akaandika barua, lakini still maboss wake wakagoma kumpitishia barua zake kwa madai Walimu hawatoshi na mengine mengi.

Hivyo basi, tunaomba wizara husika itoe mwongozo ambao utapunguza hujuma za kupata vyeo na nafasi mbalimbali za hawa walimu wenye Masters/PhD.

Hata ikiwezekana wafanyiwe interview kupata hizo nafasi za uongozi ili hujuma zipungue/ziishe kabisa.
Wenye elimu ya chini huwaogopa wenye elimu kubwa kwamba watanyang'anya vyeo vyao hivyo huwafanyia firigisu
 
Mshikaji alienda kusoma apewe madaraka. Imekula kwake ameamua kulalamika.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Wewe ndiye asili ya watanzania tulionao kwa sasa. Akili zako ndipo zilipofikia ,fikiria kama msomi acha uzamani.Wenzetu hata KENYA wasomi ni wengi kwasababu wanadhaminiwa. Kwa akili yako ndogo ulitaka aende kusoma ilikuongeza maarifa kwa ngazi ya uzamili na uzamivu?
 
Kwa miaka ya sasa ni rahisi sana kuona mwalimu ana Masters/PhD lakini yupo tu anafundisha huko shuleni, ila mabosi wake wote wana Shahada. Huyu mwalimu mwenye Masters/PhD anaambulia kuhujumiwa tu na mabosi hao ili kumkatisha tamaa.

Mfano, anaweza akawa amepata mchongo mahali pengine kutokana na sifa alizonazo akaandika barua, lakini still maboss wake wakagoma kumpitishia barua zake kwa madai Walimu hawatoshi😀 na mengine mengi.

Hivyo basi, tunaomba wizara husika itoe mwongozo ambao utapunguza hujuma za kupata vyeo na nafasi mbalimbali za hawa walimu wenye Masters/PhD.

Hata ikiwezekana wafanyiwe interview kupata hizo nafasi za uongozi ili hujuma zipungue/ziishe kabisa.
Unajaribu kumfundisha mbuzi kuandika? Huoni unapoteza muda? Bila CCM kuondoka kwenye madaraka hakuna kitu kitakachobadilika. Sana sana mambo yatazidi kuwa mabaya. Huu muda unaotumia kuipa CCM ushauri unaupoteza bure. Bora uelemishe watu hata wawili umuhimu wa kupigana ili CCM iondoke.
 
Nakuhakikishia inakuwa hivyo kwa sababu ya uongozi tulio nao. Kama rais ni zombi na hataki kuondoka unadhani wasomi watafanya nini?
Nikweli, kwa Sasa Aliye ishia Darasa la tatu B, aliye ishia Darasa la saba, aliye ishia kidato cha nne, aliye ishia Kidato cha sita, Mpaka sijui PhD huko = wote akili zinafanana.

Nina Imani kabisa hata asiye soma, hii Tanganyika anaiongoza vizuri kabisa.
 
Nikweli, kwa Sasa Aliye ishia Darasa la tatu B, aliye ishia Darasa la saba, aliye ishia kidato cha nne, aliye ishia Kidato cha sita, Mpaka sijui PhD huko = wote akili zinafanana.

Nina Imani kabisa hata asiye soma, hii Tanganyika anaiongoza vizuri kabisa.
Hata rais tuliye naye sasa huwezi kumweka kwenye kundi la wasomi. Ana elimu ya kuungaunga tu hivyo hili la kuweza kuongozwa na rais ambaye hajasoma ni kama limeshatokea.
 
Inaonekana kinachoangaliwa ni uchawa siyo sifa ya elimu, wengine wanasema connection na labda ndumba zinatumika pia. Siyo kawaida mtu mwenye PhD kwenye taasisi kuwa chini ya watu wenye bachelor au hata masters kwa kisingizio cha vetting......ndo maana nchi hii maendeleo tutayasikia redioni.​
Upo sahihi kabisa
 
Mtu kuwa na elimu kubwa, inatafsiri wewe ni mtu wa kimataifa; ukishakuwa na hiyo elimu hutakiwi kufikiria mishahara wala posho; we fanya machapisho yenye tija kimataifa, utakuwa unaitwa kwenye presentation huko nje na kupiga hela.

Kusoma huku ukitegemea mshahara au vyeo; unakuwa na elimu ya karatasi lakini kichwani unakuwa hamna kitu.

Unatakiwa u- act kisomi; Dunia ikutambua wewe ni nani; tunategemea siku moja utaitwa pale Harvard au Oxford ukafanye 'presentation'.​
Ila na wewe bwana...mbona unamawazo takataka hvi kwahyo kufanya presentation Harvard au Oxford ndo unakuwa mtu wa kimataifa 🤣
 
Inategemea na idara ila kama ni idara ya elimu hakuna kitu,,wengi huku chini wanapata madaraka wakiwa na uwezo mdogo ,,mfumo upo very corrupt mpaka chupi zinawapa watu madaraka,,,
Kama mtu unajitambua lazima tu utaingia mgogoro na watawala kisa tu wanapenda kutumia nguvu nyingi kuliko maarifa,,

Kuna mwaka nilikuwa naomba uhamisho niliingia mgogoro na
,afisa elimu,,afisa utumishi mpaka mkurugenzi,,lakini kwa vile nilikuwa najiamini nilienda nao mpaka nikahama,,

Yaani watu wananyanyasika mno kutokana na viongozi wasiokuwa na weledi.
N.B watumishi tujitahidi kujisomea sheria za utumishi,,standing order na kanuni mbalimbali zinaweza zikatusaidia,,mimi kilichonisaidia ni ufahmu mdogo wa vikanuni ikawa kila nikienda kufuatilia barua narefer kwenye vikanuni ,,,walinijengea uhasama ila mwisho wa siku nikaondoka.

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
Nina mchepuko huko Mkuranga ni mwalimu mkuu,yaani mpaka aibu naona mimi jinsi asivyo na uwezo wala uelewa wa nini anatakiwa kufanya kwenye kutimiza majukumu yake.
Na huyu ni wa diploma ya kujiendeleza.

Anavyopiga madongo wenzake wenye shahada moja ama mbili sasa, ni hatari tupu.
 
Nyie watu nyie, magufuli alikuwa na PhD maksema hana akili sasa hao wenye PhD waende wapi tena nanyi mliisha sema PhD siyo maarifa?
 
We Kama wataka cheo kaloge tu
Manake yale maziro ndo yanapewa kwa vyupi na kujikombakomba
Au hamia kwenye mashirika wanakothamini elimu,uwezo na weledi
Hao walimu hata fomufoo felia anaweza kuamrisha na elimu yako kisa anampa uvungu DED 🤣🤣
Mimi nataka hiyo ya kugawa uvungu, unagawaje gawaje jamani🤣🤣🤣 Nimechoka Yani kuchukiwa bila sababu kisa Kibachelor uchwara🤣, wangejua Kibachelor chenyewe nimekipata Kwa tabu bodi wananikausha damu🤣
 
Ni vizuri ila kuna wakati mwingine hao wenye elimu kubwa wanaweza kuwa na uwezo mdogo kiutendaji. Kwa nchi yetu ninavyoona kadri mtu anavyozidi kuwa na elimu kubwa ndivyo ufanisi wake kazini unapungua au anakuwa anafanya maamuzi ambayo hata mlioko chini mnashanga.
 
Kwa miaka ya sasa ni rahisi sana kuona mwalimu ana Masters/PhD lakini yupo tu anafundisha huko shuleni, ila mabosi wake wote wana Shahada. Huyu mwalimu mwenye Masters/PhD anaambulia kuhujumiwa tu na mabosi hao ili kumkatisha tamaa.

Mfano, anaweza akawa amepata mchongo mahali pengine kutokana na sifa alizonazo akaandika barua, lakini still maboss wake wakagoma kumpitishia barua zake kwa madai Walimu hawatoshi na mengine mengi.

Hivyo basi, tunaomba wizara husika itoe mwongozo ambao utapunguza hujuma za kupata vyeo na nafasi mbalimbali za hawa walimu wenye Masters/PhD.

Hata ikiwezekana wafanyiwe interview kupata hizo nafasi za uongozi ili hujuma zipungue/ziishe kabisa.
huu ujinga wa kwenda kusoma ukiwa unapigia mahesabu vyeo ni ujinga. hiyo hela ya kusoma masters au PhD ungefuga mbuzi tuu mwalimu ungekuwa mbali sana. acha umbulula.
 
Kwa miaka ya sasa ni rahisi sana kuona mwalimu ana Masters/PhD lakini yupo tu anafundisha huko shuleni, ila mabosi wake wote wana Shahada. Huyu mwalimu mwenye Masters/PhD anaambulia kuhujumiwa tu na mabosi hao ili kumkatisha tamaa.

Mfano, anaweza akawa amepata mchongo mahali pengine kutokana na sifa alizonazo akaandika barua, lakini still maboss wake wakagoma kumpitishia barua zake kwa madai Walimu hawatoshi😀 na mengine mengi.

Hivyo basi, tunaomba wizara husika itoe mwongozo ambao utapunguza hujuma za kupata vyeo na nafasi mbalimbali za hawa walimu wenye Masters/PhD.

Hata ikiwezekana wafanyiwe interview kupata hizo nafasi za uongozi ili hujuma zipungue/ziishe kabisa.
Wewee...
Watu wanaendesha boda.
 
Back
Top Bottom