Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Mzee Mwanakijiji,
Hiyo itakuwa kinyume na 'people's power' au ni kinyume na demokrasia, pia ni kinyume na jina la chama 'Chama cha Demokrasia na Maendeleo'. Wananchi ndio wameamua na uamuzi huo hueshimiwe, la sivyo 2015 tutawahadhibu Chadema!!
Hiyo itakuwa kinyume na 'people's power' au ni kinyume na demokrasia, pia ni kinyume na jina la chama 'Chama cha Demokrasia na Maendeleo'. Wananchi ndio wameamua na uamuzi huo hueshimiwe, la sivyo 2015 tutawahadhibu Chadema!!