USHAURI: Tubadili mfumo wa viti maalum, vifutwe!

Kwa miaka 60 ya Taifa hili umuhimu wa Mbunge Viti Maalum ni mzigo:
1. Hana eneo analowakilisha( No area of jurisdiction)

2. Analipwa sawa na Mbunge mwenye jimbo ambapo yeye hana wananchi wanaomtegemea.

3. Ubunge wa Viti maalum huzalisha wanawake wanaojipendekeza kwa viongozi wa Chama zaidi kuliko Wananchi.

4. Wabunge hawa hawawajibiki kwa Wananchi. Hasara na mzigo

Mapendekezo:
Mabadiliko ya Katiba kufuta Wabunge wa Michongo, wengi wao ni Wake ama wapenzi wa Viongozi na Wanasiasa na baadhi yao ni nyumba ndogo. Katiba iweke mazingira sawa kwa jinsia zote kugombea na kupata ubunge wa majimbo.

Fedha wanazolipwa zingeweza kununua vifaa tiba kwenye vituo vya afya au hata kuajiri vijana walio mitaani kwa kutumia mamilioni ya bure wanaochukua Wabunge wa viti maalum wasio na majimbo.
Yaani ukisikia inchi inayoongoza kwa vitu vya kipumbavu ni Tanzania, wanashindwa hata kuiga kwa Kenya
 
Kwa miaka 60 ya Taifa hili umuhimu wa Mbunge Viti Maalum ni mzigo:
1. Hana eneo analowakilisha( No area of jurisdiction)

2. Analipwa sawa na Mbunge mwenye jimbo ambapo yeye hana wananchi wanaomtegemea.

3. Ubunge wa Viti maalum huzalisha wanawake wanaojipendekeza kwa viongozi wa Chama zaidi kuliko Wananchi.

4. Wabunge hawa hawawajibiki kwa Wananchi. Hasara na mzigo

Mapendekezo:
Mabadiliko ya Katiba kufuta Wabunge wa Michongo, wengi wao ni Wake ama wapenzi wa Viongozi na Wanasiasa na baadhi yao ni nyumba ndogo. Katiba iweke mazingira sawa kwa jinsia zote kugombea na kupata ubunge wa majimbo.

Fedha wanazolipwa zingeweza kununua vifaa tiba kwenye vituo vya afya au hata kuajiri vijana walio mitaani kwa kutumia mamilioni ya bure wanaochukua Wabunge wa viti maalum wasio na majimbo.
UBUNGE VITI NAALUMU NI SAWA NA WAFANYAKAZI HEWA SERIKALI IICHE SIASA KULIPA WABUNGE WASIO NA TIJA KM WABUNGE 19 WALIOFUKUZWA NA CHADEMA wana MANAFAA GANI KWA SERIKALI CHAMA NA WANANCHI?
 
Kwa miaka 60 ya Taifa hili umuhimu wa Mbunge Viti Maalum ni mzigo:
1. Hana eneo analowakilisha( No area of jurisdiction)

2. Analipwa sawa na Mbunge mwenye jimbo ambapo yeye hana wananchi wanaomtegemea.

3. Ubunge wa Viti maalum huzalisha wanawake wanaojipendekeza kwa viongozi wa Chama zaidi kuliko Wananchi.

4. Wabunge hawa hawawajibiki kwa Wananchi. Hasara na mzigo

Mapendekezo:
Mabadiliko ya Katiba kufuta Wabunge wa Michongo, wengi wao ni Wake ama wapenzi wa Viongozi na Wanasiasa na baadhi yao ni nyumba ndogo. Katiba iweke mazingira sawa kwa jinsia zote kugombea na kupata ubunge wa majimbo.

Fedha wanazolipwa zingeweza kununua vifaa tiba kwenye vituo vya afya au hata kuajiri vijana walio mitaani kwa kutumia mamilioni ya bure wanaochukua Wabunge wa viti maalum wasio na majimbo.
UBUNGE VITI NAALUMU NI SAWA NA WAFANYAKAZI HEWA SERIKALI IICHE SIASA KULIPA WABUNGE WASIO NA TIJA KM WABUNGE 19 WALIOFUKUZWA NA CHADEMA wana MANAFAA GANI KWA SERIKALI CHAMA NA WANANCHI ZAIDI YA KULIPWA MISHAHARA NA POSHO huku Kukiwa na Ukiukwaji Wa KATIBA ya kuwa na Wabunge wasio na CHAMA
 
Kwa miaka 60 ya Taifa hili umuhimu wa Mbunge Viti Maalum ni mzigo:
1. Hana eneo analowakilisha( No area of jurisdiction)

2. Analipwa sawa na Mbunge mwenye jimbo ambapo yeye hana wananchi wanaomtegemea.

3. Ubunge wa Viti maalum huzalisha wanawake wanaojipendekeza kwa viongozi wa Chama zaidi kuliko Wananchi.

4. Wabunge hawa hawawajibiki kwa Wananchi. Hasara na mzigo

Mapendekezo:
Mabadiliko ya Katiba kufuta Wabunge wa Michongo, wengi wao ni Wake ama wapenzi wa Viongozi na Wanasiasa na baadhi yao ni nyumba ndogo. Katiba iweke mazingira sawa kwa jinsia zote kugombea na kupata ubunge wa majimbo.

Fedha wanazolipwa zingeweza kununua vifaa tiba kwenye vituo vya afya au hata kuajiri vijana walio mitaani kwa kutumia mamilioni ya bure wanaochukua Wabunge wa viti maalum wasio na majimbo.
Ilikuwa ni mbinu tu ya kupata warembo, binafsi sioni wanachofanya huko
 
Umechanganya vitu 2 tofauti, kuna Wabunge wa Viti Maalum kila Mkoa wasiopungua 2, kwahyo kwa Mikoa 26 ya Tanzania Bara unazungumzia Wabunge zaidi ya 52 wasio na Majimbo, na wote hawa ni Wanawake ambao kwa uchache kabisa kila mmoja kila mwezi anakunja si chini ya 20mill,.
Wa pili ni Wabunge 10 wa Kuteuliwa na Rais, na wao wanakunja huo mshiko..ukijumlisha na kuzidisha kwa miaka 5 unakuta ni mabilioni ya hela wamelipwa watu bila kazi.

Hawa watu ni mzigo wa Zege kwa Taifa,
Rasimu ya Warioba irudi mezani
 
Kwa miaka 60 ya Taifa hili umuhimu wa Mbunge Viti Maalum ni mzigo:
1. Hana eneo analowakilisha( No area of jurisdiction)

2. Analipwa sawa na Mbunge mwenye jimbo ambapo yeye hana wananchi wanaomtegemea.

3. Ubunge wa Viti maalum huzalisha wanawake wanaojipendekeza kwa viongozi wa Chama zaidi kuliko Wananchi.

4. Wabunge hawa hawawajibiki kwa Wananchi. Hasara na mzigo

Mapendekezo:
Mabadiliko ya Katiba kufuta Wabunge wa Michongo, wengi wao ni Wake ama wapenzi wa Viongozi na Wanasiasa na baadhi yao ni nyumba ndogo. Katiba iweke mazingira sawa kwa jinsia zote kugombea na kupata ubunge wa majimbo.

Fedha wanazolipwa zingeweza kununua vifaa tiba kwenye vituo vya afya au hata kuajiri vijana walio mitaani kwa kutumia mamilioni ya bure wanaochukua Wabunge wa viti maalum wasio na majimbo.
5. Wengi wao ni wanawake km ushawahi kuona Mbunge viti maalum mwanaume naomba Jina lake

Wanasema wanataka 50 kwa 50, sasa ifike wakati hawa viti maalum waingie kupambania kombe jimboni sio kupewa tonge mdomoni maana sioni michango yao bungeni inabidi wapambanie nafasi za majimbo, alieleta suala la viti maalum sijui alilenga niini kuna watu wanakosa wa kuwasemea bungeni mfano watu wenye walemavu, wakina mama, watoto, vijana, wazee na watu wenye mahitaji maalum Ila sioni mimi wakitatua kero za hawa watu au wakiwapambania bungeni,

Sana sana nasikia tu wanaomba pesa bunge linatoa kisha wanazila wenyewe, juzi kuna mbunge alikua analiongelea hili bungeni sikunakiri jina lake, yaan bunge linatoa pesa kwa ajili ya wajisiriamali mfano jamaa wanazichukua kisha wanaunda vikundi bubu na kuzila wenyewe bila kurudisha na kuiingizia serikali hasara
 
Back
Top Bottom