USHAURI: Tubadili mfumo wa viti maalum, vifutwe!

Jamani CCM wameshindwa vibaya sana hivi wanamatumaini ya kuiba kura ili waendelee ku-cling into power. Hapo hatutakuwa tunawatendea haki wale waliopiga kura ambao waliamini kabisa kwamba watakaloamua na liwe hiyo ndio democracy sasa Chadeama siyo kazi yao ku-negotiate wao ni kutekeleza yale ambayo wametumwa na walipa kodi please don't try to joke voters. Kazi ya Chadema ni kuhakikisha matakwa ya wapiga kura yanatimizwa tena pasipo ucheleweshaji.


Hebu fikiria CCM wangekuwa kwenye hali waliyonayo Chadema wangewaalika kunywa chai?
 
Hili ni swala gumu lakini rahisi...Dk Slaa hakuingia kwenye kampeni ili kupata wabunge wa Chadema...aliingia ili kuomba ridhaa ya wananchi kuwa Rais wa nchi hii..wabunge na madiwani ndo wasaidizi wake

Kinachotokea in reality ni kwamba katika ngazi ya majimbo players ni wengi na stakes individually ni kubwa ndo tukisikia hizi 'kelele' zote lakini kimsingi, maadamu form ya matokeo kituo kwa kituo zinaonyesha pia kura za urais, Chadema hawapaswi kulifumbia macho hili....ikiwezekana wakusanye fomu zote zamatokeo wajumlishe wenyewe....
 
mwanakijiji justice delayed justice denied, hizi fujo zinazooneshwa StarTV zinadhihirisha kuwa kuna hitaji la kutangaza matokeo haraka sana!

hivi hawa waangalizi kazi yao ni nini? I thot wangeweza kuapply japo kapresha ka mshangao au ndo wataandika kwenye ripoti?
 
Unasemaje? hebu rudia tena? Mtu aliingia kwenye kinyang'anyiro ili mwisho wa siku aachie haki yake na ya wafuasi wake na kumpatia mtu mwingine/mshindani wake? Dr. Slaa aliingia kwenye kinyang'anyiro ili awe rais siyo kwa lengo la kupata wabunge wengi TU. Kumbe sidhani kama ni sawa kuachia nafasi hiyo kama ni stahili yake (yaani kashinda). Ccm wanapaswa kukubali kushindwa. Wao hawana hatimiliki ya kuitawala tanzania milele.
 
hizo za ubunge kwenyewe wanabadilisha kama hawana akili nzuri.

Chadema inabidi watoe tamko mapema sana kuhusu muelekeo wa huu uchaguzi
 
hizo za ubunge kwenyewe wanabadilisha kama hawana akili nzuri.

Chadema inabidi watoe tamko mapema sana kuhusu muelekeo wa huu uchaguzi


Natamani niwe sniper niwe karibu na tume ya uchanguzi ofisi zao zilipo! Hawa jamaa wanaharibu kila kitu
 
ushauri wangu kwa Dr.Slaa, akiona mambo hayaendi vizuri asibweteke, kuna 2015. Kama alivyofanya mkwere 1995 akubali kiushikaji lakini atoe kombora then akirudi 2015, wimbo ni mmoja tumekuja kukamilisha kura zilizopungua last time. Tanzania, Tanzania nakupenda kwa moyo wote lakini tu basi
 
Hakuna kukubali kitu mpaka kieleweke

Mi nadhani Dr Slaa ana busara namna ya kuliendea jambo hili na sijui kwanini hajajitokeza kulisemea! hatuna sababu ya kukaa kimya na kusubiri uchakachuaji wa ccm! ndo maana tuna waheshimiwa walokuja kuangalia uchaguzi pia..kura zilipigwa vema, iweje kujumlihs matokeo na hasa ccm walipokabwa ndo iwe shida..au ndo na wao walikoroga kule FLORIDA kwa hiyo hawana la kusema!
 
Hakuna kitu cha ajabu kama kumwambia mtu aliyeshinda akubali kushindwa.

CHADEMA idai (demand) NEC itangaze matokeo ya kura za Urais, mkoa kwa mkoa, na jumuisho hadi sasa. Hourly updates zifanyike.

Slaa angekubali kushindwa wakati matokeo hayaonyeshi hivyo, atakuwa amewasaliti sio WANACHADEMA tu bali Watanzania wote wanaopenda kubadilisha chama tawala sasa.
 
matokeo yote ni muhimu sana mno. Matokeo ya Urais yatatoa picha kwamba CCM haikubaliki kiasi gani hata kama watashinda, pia itatoa frusa kujua ni mikoa gani au ni maeneo yapi ambayo upinzani wananguvu au ni maeneo gani ambayo wananchi wameamka zaidi kuhusu msisimko wa MABADILIKO na hivyo itawasaidia wapinzani kujipanga na kuweka appropriate strategies on those areas.

Cha muhimu pia, hizo kura zitasaidia sasa kwa baadhi ya vyama kupima validity of their presence in Tanzanian politics UPDP, Jahazi, NCCR, NRA, UMD, UDP to mention a few...!
 
NO.. nadhani mzee umeuliza swali vibaya... kinachozungumzwa hapa ni CHAGUO LA WANANCHi period! Utakuwa hujawatendea haki wananchi iwapo utaamua kuachia urais eti kwa kuwa tu umepata viti vngi vya ubunge.

PAMOJA na hayo naona jamii yetu bado! Kweli mtu huingii kwenye kinyang'anyiro bila kuwa na uhakika wa kushinda... Tatizo naliona kwa baadhi yetu mashabiki ambao tuna UHAKIKA 100% kuwa upande wangu ni lazima utashinda! Ukishindwa... inakuwa ngumu kuamini! KUNA hatari kubwa kwa watu kudhania upande wangu NI LAZIMA ushinde! Huu ni uchaguzi, na unahusisha watu wengi wenye mitazamo tofauti.

Kuna umuhimu wa KUFANYA KILA linalowezekana kuhakikisha mianya ya wizi, uchakachuaji au ufisadi wa aina yoyote ile hautokei. Na tukifanikiwa kufanya hivyo... basi TUWE TAYARI kukubali matokeo KIUNGWANA! UBABE wakudai "chama changu ni lazima kishinde"; KAMWE HAUTATUSAIDIA.
 
Watanzania ni wepesi wakuridhika lakini safari hii tunashukuru Mungu watu wanang'ang'ana kujua kulikoni??? Things are changing for sure!! :smile-big:
 
Nadhani kuna haja ya Dr Slaa kutoa kalipio kwa NEC kuhusu kuchelewa kutoa Matokeo na aina nyingi ya utovu wa nidhamu ya kisiasa unaoendelea dhidi ya sheria ya uchaguzi.

NEC ina wajivuni wengi wenye kupew mibichwa na Utawala wa CCM hata hivyo pamoja na mabihcwa yao
mikubwa mioyo yao I dhaifu kama ya kuku.Siku zote kuwa na afya au kuto kuwa na afya vyote ni hatari kwa kuku. Mbele ya Bwana kuku atakaye mayai siku zote kwa uaminifu tuzo yake ya juu kabisa ni kisu.
Ole wenu mtumiwao kama kuku.

Mfano Makame anajipendekeza kwa serikali ya CCM si aliongezewa muda baada ya CCM kucheza na vifungu vya katiba?
Shukrani yake ni kucheza rough zote kwa niaba yao.
Waastaafu wenzake sasa hivi wanacheza na wajukuu zao yeye yupo tu pale na mvi zake za ujinga akichezea haki za watanzania.
Siku zako bwana Makame ni Numbered. Si muda mrefu ujao utaitwa kujibu maswali Live kwenye TV kuhusu vitendo vyako, ni vema uanze kuandaa majibu ya maana kwani siku inakuja.

Wewe Kiravu dawa yako inakaushwa juu ya kuti kavu wala hatutaichemsha tutakupa ubwie kavu.


Hivi hawa jamaa wanadhani wakichukua uRais ndo mwisho wa mchezo!

Bunge safari hii kutakuwa hakutoshi physically. Nadhani ule muda wa kuwa na Mabunge kama ya HongKong India na Taiwan umefika. Safari hii sidhani CCM wana hamu na kiti cha Uspika, kwao kimeanza kuchanua Mbigili chuma.

Miaka 5 ijayo nchi itakuwa na bunge lenye meno mengi na Imara kama ya Mamba mwenye miaka 100. Si unajua kwao mamba Things get better with age?

Hakika ninyi watu wa NEC ni lazima msulubishwe kwa makosa yenu yote ya Uhaini.
 
Hii ndio shida ya NEC kuteuliwa na Raisi. Haipo huru kabisa!!!
 
Nafikiri NEC wanachofanya ni kuwaridhisha wananchi kwa kutangaza matokeo ya ubunge mapema ili watu/vijana waliokusanyika waridhike na kutawanyika. Wakati huohuo wanatoa matokeo ya urais katika majimbo ambayo JK anaongoza ili ionekane JK yuko juu lakini Dr. wa ukweli yupo chini.

Baada ya watu kulewa matokeo ya ubunge mara tutasikia JK anatangazwa kuwa ndio mshindi wa urais bila kujua wamefikaje huko.

We need to be alert, we need to know the results now. How long does it take to add 11122 + 1234 +36546+8908 + ............
What school did these NEC officials/IT staff went to?
 
Mzee Mwanakijiji,

Mkuu MM, Tunataka wabunge wengi ili kuzuia 2/3 majority, kuanzia hapo mabadiliko yataanzaa kutokea mdani ya bunge. Kumbuka pia kuwa na wabunge wengi watatupa wale wa viti maalumu.

Kuhusu urais, kila kura ihesabiwe hata kama haitakuwa na ushindi, kura ni haki ya mtu na ijulikane imekwenda wapi. Sasa Chadema lazima wa raise concern, maana kama tunaweza kupata matokeo hapa JF kutoka Kigoma, Mtwara na tanga within hours, inakuwaje dunia ya leo yenye techno. ichukue siku mbili. Kama kuna tatizo tume inatakiwa ieleze tatizo li wapi, kukaa kimya kuna jambo nadhani.

MMJ, utakumbuka tuliwahi kuwa na mjadala hapa JF, mimi msimamo wangu ulikuwa ni tume huru ili kuleta kile nilichowahi kusema ''level field''. Hii ndiyo nilikuwa namaanisha.
 
Kwa mujibu wa mahesabu ya NEC

CCM 1+1+1+1 = 1,111
Chadema 1+1+1+1 = 4
 
Back
Top Bottom