Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,597
- 5,788
kama nini we mzee?
mwalimu wako wa hilo somo hajakufundisha?
kama nini we mzee?
mwalimu wako wa hilo somo hajakufundisha?
hellow: B2t
kimba25
basi chukua jina hili (Kichwa ngumu)too long
wewe kichwa ngumuNani kichwa ngumu?
Hapa hatuangalii majina, tunaangalia hoja. Unaweza kuwa na jina la kimjini kabisa lakini hoja ndio zikawa za kishamba. Baki na ID hiyo hiyo usibadili.Nina mpango wa kubadili ID yangu ya Mwita25 kwasababu imekaa kishamba sana. Kwahiyo, ukiwa mpiganaji mwenzangu, naomba ushauri na maoni yako juu ya jina jipya linalofaa. Mchango wako ni muhimu sana na mshindi atapata kavocha ka buku 10 kwa njia ya PM kama shukrani yangu. Vigezo na masharti havitazingatiwa, Kazi Kwako mwanakwetu. Haya twendeeeeeeeeee