Ushahidi: Sikubaliani na hoja ya kwamba walimu wengi ni failure wa kidato cha nne au sita

kekule benzene

JF-Expert Member
Sep 28, 2016
1,240
2,987
Habarini wadau, kwa muda mrefu kumekuwa na uongo na propaganda kuhusu ualimu.

Watu wengi husema kwamba ualimu huenda watu waliofeli katika mitihani yao ya kidato cha nne au sita

Binafsi nimejaribu kufuatilia hili kwa muda mrefu, na nimekuwa nikisoma guide books za kila mwaka.

Ninachoona ni kwamba program za ualimu kwa muda mrefu zimewekewa vigezo vigumu kuliko 90% ya program nyinginezo ikiwemo za afya

Nitaanza kutoa maelezo ya program za diploma, kisha nitamaalizia kwa degree (hapa angalau kuna point japo sio 100%)

Mfano, diploma za program za afya huwa wanahitaji D nne tu, lakini diploma ya ualimu ilikuwa lazima uende advance, japo kwa sasa unaweza ukaenda ukiwa umemaliza form four ukiwa na division one hadi three

JE NI PROGRAM GANI INAIZIDI UALIMU KWA VIGEZO (MINIMUM REQUIREMENTS) kwa diploma??
I'm ready to be corrected

NO EVIDENCE NO RIGHT TO SPEAK

Screenshot_20230622-002451.jpg
Screenshot_20230622-003758.jpg
 
guide book ya program mbalimbali
 

Attachments

  • GUIDEBOOK-FOR-ALL-2023_2024_120620231340_compressed.pdf
    743.3 KB · Views: 9
Ualimu shida kubwa ni maslahi tu. Kuna maslahi ya ovyo mnoo..

WATOTO WA MASKINI NDIO WAMEJAZANA KWENYE UALIMU NDIO MAANA HAWAONI HAJA YA KUBORESHA MASLAHI.

Mwalimu unamlipa laki nne halafu atoe Elimu bora au asimamie ubora wa Elimu aache kufuga kuku !! Over my Dead Body
 
Shida ya walim n maisha magumu tu sio kwamba eti wamefeli ss mtu aliefel anaendelea vp na masomo shida ya ualim n mapato madogo sn kiasi kwamba mtaan wanazaraulika inapelekea watu kuwaona wamefeli kuanzia shule mpk maisha mfano mzuri mwalim na dr wote wawe wamepata divion two form six waende chuo kila mmoja apate ajira kwa akili yako ww baada ya miaka mitano kwenye ajira utaona dr n mtu mmoja mwenye life la maana kuliko huyo teacher
 
Shida ya walim n maisha magumu tu sio kwamba eti wamefeli ss mtu aliefel anaendelea vp na masomo shida ya ualim n mapato madogo sn kiasi kwamba mtaan wanazaraulika inapelekea watu kuwaona wamefeli kuanzia shule mpk maisha mfano mzuri mwalim na dr wote wawe wamepata divion two form six waende chuo kila mmoja apate ajira kwa akili yako ww baada ya miaka mitano kwenye ajira utaona dr n mtu mmoja mwenye life la maana kuliko huyo teacher
 
Wakati wa JK ndio aliharibu kabisa achilia mbali ile ya ualimu pasipo elimu(UPE),na kuleta hoja ya kusomesha ualimu hata mwenye divison 4 ya mwisho hapo ndio kazi ya ualimu ikakosa mashiko,mtaani ikawa ni msemo yani umekosa hadi ualimu manake ualimu ni option ya mwisho kwa felias,

achilia mbali hayo walimu ndio daraja la mwisho katika utumishi wa umma kwa kigezo cha mazingira ya kazi pia mishahara.

Suala lingine linalowashusha credit zaidi ni kutumia kama toilet pepa na chama cha mafisadi kuiba haki ya wananchi kuchagua viongozi wako katika chaguzi mbalimbali nchini.

Zaidi walimu wenyewe hawapendani ni wanafiki na wanasagiana kunguni sana baina yao yani hawana umoja.

All in all ualimu ni kazi nzuri na ya kuheshimika sana ila kwa context ya Tz ualimu ni jehanamu na upuuzi.
 
Ambacho huwa hamjui ni kuwa ualimu hauna tu posho za kupiga, marupurupu na allowances pia mazingira ya kazi ni magumu. Lkn mishahara ya serikali inafanana sana tafuta mwalimu wa degree anaeajiriwa na leo na muhasibu na afisa kilimo, afisa maendeleo, HR nk waulize mshahara wote ni sawa tofauti itakuja tu kwenyevmwalimu yeye ataishi na mshahara mwezi mpk mwrzi mwenzie atagonga semina, allowances, magumashi kidogo kati ya mwezi atakuwa keshapata hata laki 1 ya ziada
 
Ambacho huwa hamjui ni kuwa ualimu hauna tu posho za kupiga, marupurupu na allowances pia mazingira ya kazi ni magumu. Lkn mishahara ya serikali inafanana sana tafuta mwalimu wa degree anaeajiriwa na leo na muhasibu na afisa kilimo, afisa maendeleo, HR nk waulize mshahara wote ni sawa tofauti itakuja tu kwenyevmwalimu yeye ataishi na mshahara mwezi mpk mwrzi mwenzie atagonga semina, allowances, magumashi kidogo kati ya mwezi atakuwa keshapata hata laki 1 ya ziada
Wengi hawalijui hili.Wanaropoka tu.
 
Ualimu shida kubwa ni maslahi tu. Kuna maslahi ya ovyo mnoo..

WATOTO WA MASKINI NDIO WAMEJAZANA KWENYE UALIMU NDIO MAANA HAWAONI HAJA YA KUBORESHA MASLAHI.

Mwalimu unamlipa laki nne halafu atoe Elimu bora au asimamie ubora wa Elimu aache kufuga kuku !! Over my Dead Body
kweli umesema, shida ni njaa kali
 
Ambacho huwa hamjui ni kuwa ualimu hauna tu posho za kupiga, marupurupu na allowances pia mazingira ya kazi ni magumu. Lkn mishahara ya serikali inafanana sana tafuta mwalimu wa degree anaeajiriwa na leo na muhasibu na afisa kilimo, afisa maendeleo, HR nk waulize mshahara wote ni sawa tofauti itakuja tu kwenyevmwalimu yeye ataishi na mshahara mwezi mpk mwrzi mwenzie atagonga semina, allowances, magumashi kidogo kati ya mwezi atakuwa keshapata hata laki 1 ya ziada
kweli kabisa
 
Wakati wa JK ndio aliharibu kabisa achilia mbali ile ya ualimu pasipo elimu(UPE),na kuleta hoja ya kusomesha ualimu hata mwenye divison 4 ya mwisho hapo ndio kazi ya ualimu ikakosa mashiko,mtaani ikawa ni msemo yani umekosa hadi ualimu manake ualimu ni option ya mwisho kwa felias,

achilia mbali hayo walimu ndio daraja la mwisho katika utumishi wa umma kwa kigezo cha mazingira ya kazi pia mishahara.

Suala lingine linalowashusha credit zaidi ni kutumia kama toilet pepa na chama cha mafisadi kuiba haki ya wananchi kuchagua viongozi wako katika chaguzi mbalimbali nchini.

Zaidi walimu wenyewe hawapendani ni wanafiki na wanasagiana kunguni sana baina yao yani hawana umoja.

All in all ualimu ni kazi nzuri na ya kuheshimika sana ila kwa context ya Tz ualimu ni jehanamu na upuuzi.
yeah ni kweli kabisa, hamna anayepinga kwamba ualimu bongo ni bahati mbaya
 
Anataka kukataa
Lengo unatakiwa kuwa mkweli na kubalance mambo, hasa wewe Mpwayungu Village

Kweli kada ya ualimu na elimu ina kila aina ya ujinga na upambavu, ila msiongee vitu vya uongo kwamba walimu ni failures nk

inafika mtu anasema hujapata hata ya ualimu wakati ualimu ndio una vigezo vikubwa kuliko program za afya, jeshi, biashara nk

Bado tunakubaliana kwamba uakimu TZ ni last option
 
Wakati wa JK ndio aliharibu kabisa achilia mbali ile ya ualimu pasipo elimu(UPE),na kuleta hoja ya kusomesha ualimu hata mwenye divison 4 ya mwisho hapo ndio kazi ya ualimu ikakosa mashiko,mtaani ikawa ni msemo yani umekosa hadi ualimu manake ualimu ni option ya mwisho kwa felias,

achilia mbali hayo walimu ndio daraja la mwisho katika utumishi wa umma kwa kigezo cha mazingira ya kazi pia mishahara.

Suala lingine linalowashusha credit zaidi ni kutumia kama toilet pepa na chama cha mafisadi kuiba haki ya wananchi kuchagua viongozi wako katika chaguzi mbalimbali nchini.

Zaidi walimu wenyewe hawapendani ni wanafiki na wanasagiana kunguni sana baina yao yani hawana umoja.

All in all ualimu ni kazi nzuri na ya kuheshimika sana ila kwa context ya Tz ualimu ni jehanamu na upuuzi.
Tusiwachoshe wasomaji,huyu mwamba kamaliza kila kitu
 
Back
Top Bottom