Kobe
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 1,793
- 814
inawezekana mamiii, hebu kesho tukutane PM nitakapokuwa kwenye pc
Namie usinisahau mamie!
inawezekana mamiii, hebu kesho tukutane PM nitakapokuwa kwenye pc
mambo ya falcon bus yenye milango miwili
Kumtoroka konda pasi kulipa nauli nje nje
..tivoli na liberty sinema...!
Disco Toto Mapokezi Club pale Mwanza Hoteli.
Mwanza ya enzi zile.
Nganza mwaka gani
Mwanza ndo home bana, afadhali upande huu wa pasiansi kulikuwa na magari, sasa ukute una trip ya kwenda butimba ttc au nyegezi social(saut) ya leo utajuta
Hiyo treni unayosema hg, usiombe kusafiri na daraja la 3 maarufu kama sogea tukae, unaweza kulia
Kashekulo Trans=Nsumba-Town pale KAUMA ya zamani,pia TK Chai maharage hiyo.
Kwenda nyegezi ilikuwa unakanyaga na kile kimuinuko ni noma kma zali lako ukutane na land lover za jeshi upate lifti.
Wadau wa rock city enzi zile mnakumbuka Mwanza hapakuwa na usafiri wa vipanya kama leo. Vipanya vilikuwa Mabatini na Kirumba tu lakini Igombe kulikuwa na min bus zikiitwa Toto Tundu, Mayeji na Jalijalalam, Igoma kulikuwa na Last Boy na Mkuyuni air Jordan.
na Mazigo wapi?
Huo sijui mwaka gani unouongelea, lakini nnajuwa aliyekuwa mwanzilishi wa basi za mjini Mwanza alianza kibasi kimoja tu kinaitwa Wahiwahi mwaka 1973 ilikuwa Nissan Bus ya passenger 24 na 1974 ikaongezeka ya pili Bus Leyland 52 passengers zikienda Igoma, 1974 ndio zikaanza kuongezeka za watu wengine. Siku hizo gari zilikuwa nyang'anyang'a mpya zilikuwa ni hizo za Wahiwahi tu.
Sijui kama ulikuwa umeshazaliwa wakati huo.
Kwi kwi kwi teh teh teh!
Mwananyoro na Kati ya mabatini
Mashine ya kusaga Pasiansi na nyananoro ilikuwa nyamanoro kwenye mashine ya maji,aliyekuwa anasaga aliitwa Mashauli, ikiharibika mnachapa lapa maka Kirimba au Sahara kata ya Pamba
watoto wa mwanza walikua watundu sana nakumbuka mwaka 90 walikuanatabia ya kuzania tren pale steshen alafu wanashukia pale mwanza south maana ilikua inasimama sasa siku 1 ikapitiliza hadi fera madogo walirudi kwa miguu umbali wa 30km from town