Hitimisho na majibu ya battle ya Arusha na Mwanza

MUBIKU

JF-Expert Member
Oct 24, 2014
276
376
Kwenye huu mjadala naweza kusema nina bahati ya kuwepo hizi Sehemu mbili (2) maana Nina mkataba wa miaka 3 sasa Mwanza lakin pia Arusha ndiko niliko zaliwa japo sikukaa sana nikahamia mkoa mwingine pendwa dsm.( u name it! )

Hii mada naweza kuijibu kupitia vipengele vifuatavyo:-

i/MPANGILIO WA JIJI
Arusha ni kubwa na imepangiliwa kisawasawa Toka Enzi za Mkoloni tatizo ni moja tu mji haukui tena kwa kasi takriban kipind cha miaka 60 kutokana na athari za kisiasa . Kuongozwa na chama pinzan kwa mda mrefu.
Uzuri wa ARUSHA ni Jiji lililo katika ardhi isiokuwa na mabonde sana wala milima milima ya mawe mawe
KIAPO.
Sito ongea kwa upendeleo hata chembe bali nitazungumzia kwa uhalisia ulipo, na uthibitisho wa maeneo Husika.

ARUSHA imechangamka ina ramsharamsha na mishemishe kila kona.
juhud kubwa za mipangilio ya jiji hili ilifanya tangu enzi za kikoloni ambapo wazungu waliasisi ofisi zao na makazi kitu ambacho kimeathiri watu wake wana mentality ya kizungu. Usishangae kukuta nyumba kali ziko vijijini, vyuo na shule pia miuondombinu ya barabara na mazingira , sio uongo nimeshuhudia jiji pekee tanzania ambapo wazungu wakifika huwa wanapashangaa palivyo.

MWANZA -
imepoa , haijachangamka na Haina Amsha amsha kimuonekano na mandhari ya jiji hili imezungukwa na, ziwa VICTORIA, milima na mawe mengi na ikisalia na eneo chache tambarare kitu ambacho kinafanya watu wejenge milimani .
Tofauti inakuja pale Arusha imebahatika kuwa na milima mirefu na mikubwa yenye miti, vichaka na nyasi nyingi, vyanzo na maji ya chemchem yakitiririka miez yte 12 ktk mwaka

MAENEO MAZURI:-

ARUSHA
inakupa maeneo bora ,mazuri yenye nyumba chache kali kavile vile:- njiro, uzunguzi, mianzini na kaloleni wakati,
MWANZA ina maeneo mengi bora kabisa ya nyumba za kuishi kama vile kisesa, bwiru, nyasaka, nyamhongolo na buswelu. KUDOS! wasukuma Nyumba mmezijenga kweli kweli, yaan kuna mitaa utadhani ni Mbweni kule kwanina Kelvin Bills.

ii/MENTALITY (iQ.)
Watu wa Arusha wana IQ kubwa ukilinganisha na ya watu wa mwanza Watu wa Arusha mentalility zao nikutafuta hela na kufanya maendeleo pia isitoshe kusema kwamba watu wa arusha wamebarikiwa Akili , ujanja na muonekano wa kuvutia raia wengi wa arusha (machalii/njeree)
Wanamin katika Shule, elimu , biashara na kufanya kazi kwa bidii ili kutusua kimaisha kwa uchunguzu mdogo tu angalia watu wanaotoka kaskazin ktk eneo lako unaloishi(wachaga/wapare/wameru na warusha) kama hana nyumba ugenini basi ana gari au ana kitega uchumi cha biashara .
Wakati vijana wengi na raia wa mwanza ( mamii/ngosha) wakiwa wamejaa ushamba, kupenda kutumia nguvu kubwa kuliko akili na kufatilia maisha ya watu. (Fanya tasmini ndogo tu popote pale ktk mkoa ulipo -(wasukuma ni wauza mabucha , wachapa kazi za kilimo , wafanyakaz za ndani, wachunga mifugo na ni mabodaboda.

BURUDANI PASIPO-PESA
Ni rahisi sana kuburudika ukiwa ARUSHA kuliko MWANZA maana kule kuna parks za bure, vijiwe vya draft , kahawa na maziwa kitu ambacho kitakuburudisha muda wte na kukufanya usi-jihisi mgeni/mpweke jijin hapo mfano .
Nenda Pale kwa yahaya/ omar alkasusi - noble house( stand ya cruise za karatu)., stand ya zaman ya mabus, na uwanja wa shkh amri abeid.
Sehem kama hizo huwezi kuzi-pata ukiwa MWANZA.

SEHEMU ZA MJINI
Idadi ya watu ARUSHA ni kubwa, na gar za kutembelea (Subaru/alteza/corola/runx /cruizer na premio) zipo kwa wingi barabaran na kwenye parking .
Na watu wa arusha wanakatabia ka kutembea jioni na asubuh kama halaiki wanapoelekea au kurud majumban wanapotoka kazin . Hapa nyomi utaliona kuanzia jogoo house hadi sinoni.

MWANZA idadai ya watu ni kubwa vijijini na nje ya mji, kwa maeneo ya Mjini watu ni wachache sana na gar sio nyingi barabarani (hiace/crown/dualis/ist/carina/Raum/alphard) zinatumika kwa sana jijini hapo.
Ili kujionea wingi wa watu,
hapo tembelea mida ya jioni mitaa ya IGOMA na BUHONGWA ndo utashuhudia nyomi za watu wakizurura barabarani.

iii/ARDHI
Ardhi ya arusha imebarikiwa sana katika nyanja za ufugaji ,kilimo na kuchimba madini, ukirejea kwenye ardhi imebarikiwa rutuba na hali ya hewa ya arusha ni nzur kuliko ya mwanza , bila kusahau MWANZA pia imebarikiwa ardhi yenye madini mengi na dhahabu hasa ktk maeneo yaliyomegwa ya mkoa wa GEITA.
ARUSHA Mazingira mengi yana mito na chemchem asili ambayo yanakupa uwezo wa kufanya shughuli za ufugaji na kilimo kama vile Migomba, kahawa, mahindi, maharage, maua, mboga mboga, ngogwe, bamia, mboga za majani, mipunga na maeneo mengi ya kufanya biashara.
Tofaut na MWANZA inakupa :- uvuvi (sato/sangara/dagaa), ufugaji na kilimo sehem za mbal kama lamadi, ngudu,kisesa,bariad, magu na sengerema na ni kwa kiasi kidogo tu. MWANZA wanapaita kwa washamba lakini sio kweli, labda ushamba ni kutojuwa mambo mengi ambao yameletwa na technolojia kwahyo vitu vingi ambavyo vinafanyiaka mikoa kama Arusha na Dar wao huwa wanashangaa na kukiona ni kipya hii nadhan ni sababu ya changamoto ya umbali vinapotoka vitu hivyo.
Mwanza Unaweza kutembea mji wote na wala usione mtu kashika jembe au kalima hata bustani ya mchicha nje kwake , tofauti na Arusha yenye asili ya kilimo, ndomana miaka na miaka mashamba ya mikahawa pale kisongo yamejaa miti mirefu uku chini wakilima, mahindi, migomba mboga mboga na maharage na haijawahi kukauka miaka nenda rudi.

iv/TASISI ZA KIELIMU NA VYUO VIKUU Ni ukwel usiopingika kwa ngaz ya elimu arusha ina shule nzur za msingi na secondary tofaut na mwanza.
wazungu wanafadhili sana na wamewekeza shule nyingi na wanafanikisha kutoa elimu katika eneo zima la mkoa wa arusha pili arusha ina vyuo kadhaa kama vile chuo cha kijeshi MONDULI, Arusha Technical Collage (ATC) , The aghakan University,IAA, CHUO CHA MANDELA, chuo cha Baptist kule Ngaramtoni, SUYE health insute, Chuo cha Veta longido ,chuo cha utalii sakina, Chuo cha mifugo kule Tengeru na MAKUMIRA Lakini kwa upande wa vyuo vikuu .

MWANZA wnaongoza kuwa na vyuo bora na vikubwa kama vile SAUTI, CUHAS(Bugando University), Chuo cha walimu BUTIMBA , chuo cha MIPANGO bwiru, chuo cha wanyamapori PASIANSI, na Campus za vyuo kama vile DIT, CBE, IFM, TIA, OUT.

V/TASISI ZA KIAFYA
Kwa upande wa taasisi , vituo na Hospital zinazotoa matibabu kwa Jiji la MWANZA naipa CREDIT KUBWA SANA Mwanza , sababu ya ubora na uzuri wa huduma zinazotolewa ktk hospital izo , majengo yaliyo bora na kuwa na vifaa vingi vya kisasa zaid kuliko Hospital za ARUSHA.

ARUSHA wana vituo vya afya, na hospital kama vile:-
Mount meru hospital, The aghakan Arusha medical centre, st joseph health care int, shree hindu, Arusha lutheran, sellian hospital.

MWANZA wana vituo vya afya na Hospital :- Mwanza hospital, Aghakhan, Tanzanite Hosp( zamani-Uhuru Hospital) , Mwananchi hospital, Lancet laboratories,Nyamaghana,UMC hospital, Mwanza adventist, Kamanga medics, BUGANDO BMC , na SEKOUTURE Hospital .
Naweza sema Kwa kanda ya kaskazin na Maziwa makuu MWANZA is the Best than ARUSHA.

Vii/MIUNDOMBINU NA BARABARA
Hapa bado sehem zote mbili (2) zinakabiliwa na zinachangamoto
lakin kwa Arusha kuna unafuu wa barabara japokuwa barabara zake nyingi zimeharibika kwa uchakavu na mashimo , Arusha pia ina faida ya kuwa na barabara za lami za mitaani (Mjini) nyingi ambazo zinaupendezesha mji nakufanya usafiri uwe rahisi na waharaka.
Barabara kubwa ni zile za kalolen hadi maji ya chai, chekeren hadi tengeru, atomic/njiro mpaka kwa morombo, barabara ya USA river mpaka Mbuguni, Barabara ya Mianzini-ngaramtoni hadi Namanga na barabar nyingi za katikati ya jiji zilizogawanyika na kulipendezesha jiji.

MWANZA kwa upande wa barabara wanajikongoja kidogo kwani kwa sasa wanabara bara mpya na za njia (4) moja tu ambayo ni ile ya kuanzia Roundabout ya mti wa kunyongea karbu na bank ya BOT na KEMONDO Parks,inayoenda mpaka Airport pia kuna Barabara mpya ya sabasaba mpka buswelu, barabara ya pansiansi-kiloleli/bigbite mpaka buzuruga na Barabar ya nyashishi mpaka igoma, Barabara ya Misungwi - kisesa kulekea Bariadi.
Uku barabara za nyamadoke, kanyerere, igombe na Tx zikiwa katika hali ya changarawe(vumbi).

TAA ZA BARABARANI
MWANZA - Halmashauri ya jiji la mwanza imefeli kabisa ktk swala la TAA barabarani katikati ya jiji barabara hazina mataa na kufanya jiji liwe giza nyakat za usiku, Taa zilizowekwa ni za Solar na nyingi zimekufa kama zile za barabara ya Sababa - Buzuruga
ARUSHA - Barabara nyingi zimefungwa Taa, pia taa mbovu huwazinafanyiwa matengenezo na marekebisho ya mara kwa mara.

ix/VIVUTIO
MWANZA kuna vivutio vingi vya maeneo ya fukwe ya ziwa VICTORIA inayo remba jiji la MWANZA na kukupa Beach za kutosha tofaut na ARUSHA ambayo ina upungufu wa fukwe, beach za kule ni za mitoni na kwenye swimming pools : kwa MWANZA unaweza kwenda kuenjoy beach :-Malaika Beach, Tunza Resort, Annex, jembe ni jembe , charcoal ribs, Wag-hil , ,Bismark rock ,Tilapia Hotel beach, ryans bay na Rock beach garden.
CHANGAMOTO Beach zote huingii bila kulipia hela haijalishi hata kama unaenda kula Lunch au Dinner itakulazimu uingie gharama mara 2 za malipo.

UPANDE WA BAR ZA MWANZA:-
The casky Bar, Bundasiliga, Thewallet , Night fashion Bar , Diamonds autolink, Ms Bar and Hotel, Kilmanjaro night, Laliga, Bundasiliga, Night fashion, The Amazon, kibosho resort, Break day, Bonasere, The joint, villa park, Riverside(imefunikwa na Night fashion), waka pub and Bistro, if not y, not bar, Chicken run Bar.
UPANDE WA BAR ZA ARUSHA:
Washington Bar ,Picnik Bar , PinPoint, Club cocoriko Bar , Mrina Bar , The anex, Texasi , Bilionaires lounge, Empire sport bar, Triple A night club, Club D, X Eleven, ______________ to infinity.

=HOTELS= kwa upande wa HOTEL ARUSHA is the Best in Hotels mana wana hotel za kimataifa kutokana na soko lao kubwa la watalii : Hotel bora kama vile Venus premier , Panone hotel sakina, New hotel aquline, The charity hotel international, Triple A Hotel, Mazola safar house, mount Meru hotel, boulevard inn, Masailand safar lodge, Four point by sheraton hotel, kibo palace , Palace Hotel, Arusha Hotel Nk. Hizo zote huwez linganisha na hotel za Mwanza kama vile GoldCrest, Tilapia, Aden palace, Pp hotel, Hotel kingdom, couple gateway, Ryans Bay , Victoria palace, Lakairo hotel. *CHA KUFURAHISHA Baadhi ya hotel zilizo mwanza arusha pia zipo kama vile , Goldcrest, Lenana. Hii ni sababu wamiliki wake ni watu wa asili ya Arusha na wamewekeza Mwanza.

DAY TOUR :- kwa arusha unaweza tembelea masai village/ arusha national park, materun waterfalls, cultural heritage, ngorongro crater, hot spring.
wakat kwa mwanza utatembelea kisiwa cha Saa 8, makabur ya mv bukoba , ukerewe , sengerema na kijiji cha wasukuma (Bujora).
KWa ufupi ni rahisi kuizunguka MWANZA kwa siku 1 nakuimaliza.
Ila kwa ARUSHA huwez kuizunguka na kuimaliza pia inakupa vitu vingi zaidi ya vinavyopatikana MWANZA.
Kwa ufupi Arusha inakupa vitu vingi ambavyo Mwanza vipo na Mwanza na haiwez kukupa vitu ambavyo Arusha vipo .
kwa case ya utalii, vivutio , survey ya mji na starehe.

x/VIWANJA VYA MICHEZO
Viwanja vya michezo MWANZA ina viwanja vikubwa na vzur kuliko ARUSHA.
Kwa Mwanza wanaviwanja kama vile: Monty's sport park, TSC sport ground, Makongoro basketball ground,DIT football ground, Furahisha football ground, Airport football ground, Bwiru boys football ground,Mbao fc groundna viwanja vya michezo sabasaba (japo wafadhili walitoa fedha vijengwe kwa ubora hela ikaliwa na matokeo yake ndo viwanja hivyo vilivyo) , CCM KIRUMBA STADIUM, Nyamaghana Stadium na kile kiwanja cha kule misungwi kiwanja cha Gwambina FC .
Kwa Jiji la ARUSHA kuna viwanja vichache mnoo na vingi sio vzuri ukilinganisha na vya MWANZA kama kile cha SHEIKH AMRI ABEID STADIUM, kile cha Kiwanja cha muekezaji karatu (black rhino) , kiwanja cha pale kisongo na kile kiwanja kidogo cha mpira sinoni .

xi/ MASOKO MAKUU
MWANZA inajengeka kwa kasi sana na ya kisasa zaidi wakati ARUSHA ina dumaa na haikui, siasa pia inaweza ikawa ndio sababu kuu Kuchangia kuwa ivo kwa kipind cha miaka 10 iliyopita.
Tukirud kwenye lile soko pale mjini MWANZA lipo ktk hatua za mwisho likimalizila litakuwa ni zuri na bora kuliko soko lolote pale ARUSHA na litakuwa la kisasa mno na kuvutia lakin kwa sasa mwanza kuna masoko ya kienyeji tofaut na lile soko kuu la arusha karibu na stand kuu . Masoko Mengi kwa mikoa yote ni local markets kama ya pale Kilombero, soko la buhongwa, soko la nyamilongo na masoko mjinga yte tunayoyajua yakiuza bidhaa za kupanga chini kama kule Tengeru , igoma, kiloleli na stand za vituo vya daladala .

xii/STAND KUU/AIRPORT.
Kwenye eneo hili MWANZA iko vzur na imeaicha mbali sana ARUSHA ukiangalia kiwanja cha ndege Mwanza airport/- Kiwanja kipya kinachojengwa ni kizur kuliko kile cha kisongo japo arusha kwa miundo mbinu ya usafir wa anga bado iko chini na wakitegemea zaid kiwanja cha Ndege KIA.
Pia kwa upande wa Stand , stendi mpya inayojengwa MWANZA ni bora zaid kuliko ile ya Arusha, arusha bado ikiendlea kutumia stend ya pale Majengo karbu na celian Hospital na ile stend ya mabus ya zamani. Apo ndo unapoona MWANZA inapoipiga parefu ARUSHA.
achana na ile stand ingine ya kule Nyamhongolo inayojengwa na mchina.
Hapa kwa masoko/ stand na Aiport MWANZA ni Bora na ya kuvutia zaid kuliko ARUSHA . Kwa point hiyo mwanza ipo juu.

xiii/MAKAZI
Hapa kwenye nyumba za kuishi(Residence House) MWANZA iko juu zaid ukilinganisha na ARUSHA, Arusha bado ina mijengo ya kizaman pia maeneo ya mjini yamejaa nyumba ambazo hazifati mipango miji bado arusha kuna ubeberu mwingi sana ktk kumiliki ardhi na haina mijengo ya kuishi(residenceHouse) za kuvutia na kutikisa kama MWANZA, Maeneo ya uswazi kwa ARUSHA nyumba zimebanana sana nyumba za mabanzi na matope bado zipo (unga ltd, sinoni, sombetini) raman hazivutii.
MWANZA Ina mifumo yao ya nyumba za mapaa marefu lakini zinavutia sana mitaa kama Kiseke, Buswelu, Nyasaka na Nyamhongolo.
Pia sehem za uswazi za MWANZA ni maeneo mengi ya miliman watu wamejenga miliman maeneo kama (mabatini/mataulo/ghana na kirumba).

Yaan ARUSHA sehem za uswazi ni uswazi kweli kweli ikinyesha mvua huwez kutembea.
Kwa MWANZA Ktk swala la kumaintain uswazin limejitahid sana. BIG UP!

xiv/ VITUO VYA UTAMADUNI NA UTALII
Hapa ARUSHA ipo juu sana maana jiji limejengeka kuwa jiji la kitalii kutokana na uoto wa asili uliopo unaofanya kuzungukwa na mbuga nyingii kama vile Tarangire, ngorongoro , serengeti, manyara, na kuvutia wageni wengi. Ndomana usishangae kuutana na wazungu kila baada ya dakika 1 ni kawaida mnoo.
Tofauti na MWANZA, ambapo watalii wengi ni watalii wandan na ndugu zetu kutoka nchi jiran za burundi, uganda na kenya kila weekend wakija tukijumuuika nao kwenye bia za pale casky na samak choma kule Night fasion na bundasiliga.

VIWANDA

MWANZA inaviwanda vingi vya kusindika minofu ya SAMAKI na NYAMA:-
i/Perch
ii/Omega Fish
iii/vic fish
iv/ Nature's fish Ltd
V/Tanzania fish processor
vi/ Chobo
VIWANDA VYA VINYWAJI:
i/TBL Mza (Bia)
ii/Cocacola
iii/*SBC *(Pepsi)
iv/SAYONA
v/Neelkanth
vi/kahama mining
vii/Maswa drilling
viii/Twiga chemical
ix/Songoro Marine company
xi/Chines fish Maws companies
x/Comfy magodoro
xi/Nyakato steel
xii/kiboko mabati
xiii/Dragon mabati
Xiv/MWATEX TEXTILE.
NB: Mwanza ina export: MADINI, Pamba, mazao, ya samaki na wanyama nje ya nchi(Ngozi, kwato na minofu)

VIWANDA ARUSHA
Arusha ina kampuni nyingi za kitalii na Tours, pia ina depot nyingi za kusupply cement, mabati, chemicals nk
i/Tarpo Industry
ii/Darsh (RedGold)
iii/Mzalendo industry
iv/Hanspaul
v/A TO Z TEXTILE MILL
vi/ Minjingu miners and Fartilizer
v/Care 4
vi/ Tanfoam Magodoro
vii/ Sunflag
viii/ Natural extract.
ix/Tanelec
X/SBC (Pepsi)
x/ETG
xi/Photons Energy
xii/ Falcon industry
xiii/SunBank mabati
Xiv/Bansal stell rolling
X/Manji's gas co.
xi/Mount meru flowers Ltd.
xii/Sadolin paints company
Xii/Aim steel
xiii/Steel Depot
Xiv/Naishan mabati
xv/Alaf mabati
NB: Arusha ina Export : MADINI,Mazao, kahawa, Maua,Nondo, net za mbu , vinyago, ngozi na wanyamapori, Nyama za ng'ombe na mbuzi, Processed Foods, Cacao, Maziwa Nguo na magodoro.

HITIMISHO :
kila sehem kwa maono na mawazo yangu mm ni nzur, tofaut inakuja tu pale ww unavutiwa na nn?? ktk kila eneo, na sababu za kimazingira pia zinachukuwa nafasi kubwa na kuathiri uwezo wa kupenda kitu mfano, mimi MUBIKU naweza kusema Umbali ni Changamoto kubwa kwa MKOA wa MWANZA , sababu labda kwetu mimi ni Zanzibar au Mtwara hivo siwez kuonana mara kwa mara na wapendwa wangu/ watu niliowazoea au kufika nyumban kwa haraka kama kuna JANGA limetokea na linahitaj uwepo wangu punctualy.
Lakini pia naweza kupapenda Mwanza sababu labda kimkakati kuna fursa na kijografia ni kama vile HUB ya Afrika mashariki popote pale nakwenda, umbal wa kutoka Mwanz - kigali/Mwanz- Bujumbura/Mwanza - Nairobi/ Mwanza - Kampla ni karbu mno ukilinganisha na Arusha na izo sehem nilizozitaja.

ARUSHA ni (NZURI MNOO -SCENERY)
Kwa mandhari, mazingira ya kiasili na muundo wa jiji na Kimuonekano kiujumla, ARUSHA derseve The Best place to be, kuliko Mwanza pia Arusha inakupa vitu vingi tofautitofauti (can't be bored) ambavyo mwanza hakuna.

MANUFAA KWA JIJI LA ARUSHA:-
a.Ujenzi wa nyumba Gharama zake za wastanii
b.Chakula na malazi wastani
c.Usafir(nauli)
d.Kumiliki Ardhi Bei juu
e.Mavazi Bei juu (Japo arusha ni moja ya jiji raia wake wana vaa vtu clasic na OG sana.

MWANZA ni (NZURI KWA KUISHI , USTAWI NA MALEZI KWA FAMILIA) but ni jiji Boredom - Hakuna Amsha Amsha kumepoa sana.
MANUFAA KWA JIJI LA MWANZA :- Mwanza ni Tamu/ Bora sana ukija katka swala la:-
i/Utafutaji (Hustle) na Unafuu wa Gharama za kumudu maisha (Mwanza)
ii/Gharama za Ujenzi zipo juu , na Umiliki wa Ardhi ni Cheap sana
iii/Kilimo na Uwekezaji (ardh/bidhaa/mzunguko wa watu)
iv/Usafiri na nauli Ziko juu jipange
v/Ni mji unaojengeka kisasa zaidi, Makazi bora(Residence House) , ofisi na miundombinu

(FUN FACTS)

ARUSHA:-
Imejaliwa Wanawake wazur wa asili, weupe, wazur kwa sura na wamejaliwa maumbo mazuri , shape(hips)/lips/urefu/rangi/macho mpaka nywele, mat*k** makubwa ila usiombe acheke kwenye meno ni balaa .

OBSERVATIONAL
WATU WA ARUSHA
(wachapakazi/wanajuakupambana na maisha/wanajiamini/wanajitambua/ Hawakubal kuonewa - Kila mtu ni mbabe na anamuzi yake, swala la kukukata panga kama chungwa ni dakika arifuuu.
Wanawake hawatak maneno mingi wanakwambia una- shingap. Imeishaa iyo
Vijana weng wanakula sigara bwege,gomba na tungi, baada ya hapo ni resi kali na chap kwenye kazi .

(FUN FACTS)
MWANZA :-
Wanawake weupe ni wachache na ni Dili sana - mwanamke mweupe ana thaman ya ng'ombe weng sn akitaka kuolewa, mwanume wa kisukuma huwez mueleza chochote kuhusu mwanamke mweupe.
Usafiri wa baiskel bado upo, msukuma hana mambo mengi yeye kwanza Ale ashibe. Alewe na apate toboo apo kamaliz kabisa.

OBSERVATIONAL
watu wa mwanza wanapenda sana lugha yao (kisukuma) muda wote wanapokutana ni kuongea kilugha ivo mgeni jipange kujifunza na kukijua utaenjoy sana.
Watu wa Mwanza wanauza maeneo yao ya mjini alafu wanaenda kuishi mbali ya mji wengi wanakimbia vijijini kuanza upya, hawapend kuchangamana na wageni wao.
Ila msukuma anaweza kukuchekea usoni ila Moyoni ni Nyoka (koboko).

KWA UPANDE WA MATUMIZI
na Kula starehe, (Bata) na totoz nzuri ARUSHA ni mji bomba kabisa na the Best hivyo unabid utambue nafasi yako ulipo mshale una balance upande upi?
i/utaftaji
ii/ kutwanga raha(kula maisha)

i/(HUSTLE MODE)- U Deserve Mwanza ila kama ulishatafuta upo kwenye kutumbua na kula maisha
ii/(BATA POINT). ARUSHA ni jiji la kutumia na kula Raha.Being in Arusha
Wish all the Best.
 
Mtazamo wa Mleta mada.

Machalii wa R wenye IQ kubwa 🤣🤣🤣🤣

1640799097586.png
 
Lini watu wa Mwanza na Arusha walipimwa IQ na majibu kutoka kwamba Arusha wana IQ kubwa kuliko Mwanza, ebu tueleze Arusha wana IQ ya ngapi na Mwanza ya ngapi.
Kwenye huu mjadala naweza kusema nina bahati ya kuwepo hizi Sehemu mbili (2) maana Nina mkataba wa miaka 3 sasa mwanza lakin pia Arusha ndiko niliko zaliwa japo sikukaa sana nikahamia mkoa mwingine pendwa dsm.( u name it! )

Hii mada naweza kuijibu kupitia vipengele vifuatavyo:-

i/MPANGILIO WA JIJI
Arusha ni kubwa na imepangiliwa kisawasawa Toka Enzi za Mkoloni tatizo ni moja tu mji haukui tena kwa kasi takriban kipind cha miaka 60 kutokana na athari za kisiasa . Kuongozwa na chama pinzan kwa mda mrefu .
Uzuri wa ARUSHA ni Jiji lililo katika ardhi isiokuwa na mabonde sana wala milima milima ya mawe mawe .
juhud kubwa za mipangilio ya jiji hili ilifanya tangu enzi za kikoloni ambapo wazungu waliasisi ofisi zao na makazi kitu ambacho kimeathiri watu wake wana mentality ya kizungu. Usishangae kukuta nyumba kali ziko vijijini, vyuo na shule pia miuondombinu ya barabara na mazingira , pia ni jiji pekee tanzania ambapo wazungu wakifika huwa wanapashangaa , Arusha iko vzur sana tofauti na jiji la Mwanza ambayo mwanza imezungukwa na milima na mawe mengi kitu ambacho inafanya watu wejenge miliman na ardhi tambarare ikiwa chache, wakati arusha ikirembwa na milimi iliyojaa mimea na miti ya asili uku maji yakitiririka miez yte 12 ktk mwaka
Arusha inakupa maeneo bora machache yenye nyumba kali kavile vile:- njiro, uzunguzi, mianzin na kaloleni wakat MWANZA ina maeneo mengi bora kabisa ya nyumba za kuishi kama vile kisesa, bwiru, nyasaka, nyamhongolo na buswelu.

ii/MENTALITY(iQ)
Watu wa Arusha wana IQ kubwa ukilinganisha na ya watu wa mwanza Watu wa Arusha mentalility zao nikutafuta hela na kufanya maendeleo pia isitoshe kusema kwamba watu wa arusha wamabarikiwa Akili , ujanja na muonekano wa kuvutia raia wengi wa arusha (machalii/njeree)
Wanamin katika Shule, elimu , biashara na kufanya kazi kwa bidii ili kutusua kimaisha . Wakati vijana wengi na raia wa mwanza ( mamii/ngosha) wakiwa wamejaa ushamba, kupenda kutumia nguvu kubwa kuliko akili na kufatilia maisha ya watu.
Ni rahisi sana kuburudika ukiwa arusha kuliko mwanza maana kule kuna parks za bure, vijiwe vya draft , kahawa na maziwa kitu ambacho kitakuburudisha muda wte na kukufanya usijihisi mgeni/ mpekwe jijin hapo mfano .
Nenda Pale kwa yahaya/ omar alkasusi - noble house( stand ya cruise za karatu)., stand ya zaman ya mabus, na uwanja wa shkh amri abeid.
Sehem kama hizo huwez pata mwanza.
MJINI Population ni kubwa, na gar za kutembelea (Subaru/alteza/premio)ni nyingi sana. Tofauti na mwanza popoluation ni kubwa kijijin na mjini watu ni wachache sana na gar sio nyingi barabarani (hiace/crown/dualis/ist) zimejaa

iii/ARDHI
Ardhi ya arusha imebarikiwa sana katika nyanja za ufugaji ,kilimo na kuchimba madini, ukirejea kwenye ardhi imebarikiwa rutuba na hali ya hewa ya arusha ni nzur kuliko ya mwanza . Mazingira mengi naya mito na chemchem asili ambayo yanakupa uwezo wa kufanya shughuli za ufugaji na kilimo kama vile Migomba, kahawa, mahindi, maharage, maua, mboga mboga, ngogwe, bamia, mboga za majani, mipunga na maeneo mengi ya kufanya biashara.
Tofaut na mwanza inakupa :- uvuvi (sato/sangara/dagaa), ufugaji na kilimo sehem za mbal kama lamadi, ngudu,kisesa,bariad, magu na sengerema na ni kwa kiasi kidogo tu. Mwanza wanapaita kwa washamba lakini unaweza kutembea mji wote na wala usione mtu kashika jembe au kalima hata bustani ya mchicha nje, tofauti na Arusha yenye asili ya kilimo, ndomana miaka na miaka mashamba ya mikahawa pale kisongo na miti mirefu uku chini wakilima maharage huwez kukuta imekatwa au kukauka miaka nenda rudi, ukiachana na migomba nje ya kila nyumba.

iv/TASISI ZA KIELIMU NA VYUO VIKUU Ni ukwel usiopingika kwa ngaz ya elimu arusha ina shule nzur za msingi na secondary tofaut na mwanza.
wazungu wanafadhili sana na wamewekeza shule nyingi na wanafanikisha kutoa elimu katika eneo zima la mkoa wa arusha pili arusha ina vyuo kadhaa kama vile chuo cha kijeshi MONDULI, Arusha Technical Collage (ATC) , The aghakan University,IAA, CHUO CHA MANDELA, Chuo cha mifugo kule Tengeru na MAKUMIRA Lakini kwa upande wa vyuo vikuu Mwanza wanavyo vikubwa kama vile SAUTI, CUHAS(Bugando University), Chuo cha walimu BUTIMBA na Campus za vyuo kama vile DIT, CBE, IFM, TIA, OUT.

V/TASISI ZA KIAFYA Kwa upande wa taasisi vituo na hospital zinazotoa matibabu kwa Mkoa wa Mwanza ni bora na nzur zaid kuliko arusha. Arusha wana vituo vya afya na hospital kama vile Mount meru hospital, The aghakan Arusha medical centre, st joseph health care int, shree hindu, Arusha lutheran, sellian hospital.
Kwa mwanza wana vituo kama Mwanza hospital, agha kan, lancet laboratories,Nyamaghana,UMC hospital,Uhuru hospital,Mwanza adventist, Kamanga medics,Bugando, sekoture.

Vii/MIUNDOMBINU NA BARABARA Hapa bado sehem zote 2 zinachangamoto lakin kwa Arusha japokuwa nying zimeharibika kwa uchakavu na masgimo . Mwanza wanajikongoja kidogo kwan kwa sasa wanabara bara mpya na za njia 4 kama ile ya kuanzia Roundabout ya mti wa kunyongea karbu na bank ya CRDB inayoenda mpaka Airport , barabara mpya ya sabasaba mpka buswelu wakat arusha ikiwa na barabara Barabara za East Africa, inayoenda mpka tengeru, barabara ya chekereni na barabara nyingi zinazoigawa mitaa na kupendezesha mji.

ix/VIVUTIO kwa mwanza kuna vivutio kadhaa na beach za kutosha kutokana na uwepo wa ziwa victoria tofaut n arusha beach za kule ni za mitoni na kwenye swimming pools : kwa mwanza unaweza kwenda kuenjoy beach :-Malaika, Tunza, Annex, jembe , charcoal, wag hil , ,ismark rock na bar,Tilapia, ryans bay. Bar kadhaa kama vle :- BONASERE, The casky, Bundasiliga, The wallet , amazon night fashion nk. Kwa arusha machimbo kama Naura spring, texas, pale sanawar, bar za kijenge juu , kula nyama kwa mromboo na nk
=HOTELS= kwa upande wa HOTEL Arush is the best mana wana hotel za kimataifa kutokana na soko lao kubwa la watalii : Hotel bora kama vile Venus premier , Panone hotel sakina, New hotel aquline, The charity hotle international, Mazola safar house, mount Meru hotel, boulevard inn, Masailand safar lodge, Four point by sheraton hotel, kibo palace Nk. Hizo zote huwez linganisha na hotel za Mwanza kama vile GoldCrest, Tilapia, Aden palace, Hotel kingdom, couple gateway, Ryans Bay , Victoria palace, Lakairo hotel. *CHA KUFURAHISHA Baadh ya hotel zilizo mwanza arusha pia zipo kama vile , Goldcrest, Lenana.
DAY TOUR :- kwa arusha unaweza tembelea masai village/ arusha national park, materun waterfalls, cultural heritage, ngorongro crater, hot spring.
wakat kwa mwanza utatembelea kisiwa cha Saa 8, makabur ya mv bukoba , ukerewe , sengerema na kijiji cha wasukuma (Bujora).
KWa ufupi ni rahisi kuizunguka mwanza kwa siku 1 nakuimaliza. Ila kwa arusha inakuoa vitu vingi zaidi ya mwanza na huwez kuizunguka kwa siku moja na kuimaliza kwa case ya utali, vivutio na survey ya mji.
**kwa Bar arusha usiulize ni sehem watu wamezaliwa ili kulewa wana bar kali mwanza hakuna na nikisema nizitaje hapa siwez maliza, picnik, club cocoriko, mrina, the anex, Texasi ______________ to infinity.

x/VIWANJA VYA MICHEZO Viwanja vya michezo mwanza ina viwanja vikubwa kama vile ccm kirumba, Nyamaghana na kile kiwanja cha kule misungwi kiwanja cha gwambina na kwa Mji wa arusha kuna viwanja kadha kama kile cha sheikh amri abeid, kile cha muekezaji karatu (black rhino) na kile kiwanja kidogo cha mpira sinoni .

xi/ MASOKO MAKUU. Mwanza inajengeka kwa kasi sana na ya kisasa zaidi wakati arusha ina dumaa na haikui, siasa pia inaweza ikawa ndio sababu kuu yakuwa ivo kwa kipind cha miaka 10 iliyopita. Tukirud kwenye lile soko pale mjini Mwanza lipo ktk hatua za mwisho likimalizila litakuwa ni zuri bora na lakisasa mno na kuvutia lakin kwa sasa mwanza kuna masoko ya kienyeji tofaut na lile soko kuu la arusha karibu na stand kuu . Mengi ni local market kama ya pale Kilombero, soko la buhongwa, soko la nyamilongo iwa arusha tunajua bidhaa zinapatikana kwenye kila stand ya daladala na masoko kadhaa kama la kule tengeru na ngarenaro ukiacha soko la ungalimited lile soko mjinga.

xii/STAND KUU/AIRPORT. Kwenye eneo hili Mwanza iko vzur a imeaicha mbal Arusha ukiangalia kiwanja cha ndege Mwanza airport/- Kiwanja kipya kinachojengwa ni kizur kuliko kile cha kisongo japo arusha kwa miundo mbinu ya usafir wa anga bado iko chini na wakitegemea zaid kiwanja cha Ndege KIA. Pia Stand mpya inayojengwa Mwanza ni bora zaid kuliko ile ya Arusha. achana na ile stand ingine ya kule nyamhongolo.
Hapa kwa masoko/ stand na Aiport mwanza imeipiga gepu arusha parefu sana. Kwa point hiyo mwanza ipo juu.

xiii/MAKAZI Hapa kwenye nyumba za kuishi mwanza iko juu zaid ukilinganisha na arusha, arusha bado ina mijengo ya kizaman pia maeneo ya mjini yamejaa nyumba ambazo hazifati mipango miji bado arusha kuna ubeberu mwingi sana ktk kumiliki ardhi na haina mijengo ya kuishi(residenceHouse) za kuvutia na kutikisa kama mwanza, Maeneo ya uswazi kwa Arusha nyumba zimebanana sana nyumba za mabanzi na matope bado zipo (unga ltd, sinoni, sombetini) raman hazivutii.
Mwanza Ina mifumo yao ya nyumba za mapaa marefu lakini zinavutia sana mitaa kama Kiseke, buswelu, Nyasaka na nyamhongolo. Pia sehem za uswaz za mwanza ni maeneo mengi ya miliman watu wamejenga miliman maeneo kama (mabatini/mataulo/ghana na kirumba)
Yaan Arusha sehem za uswazi ni uswazi kwel ikinyesha mvua huwez kutembea. Kwa mwanza eneo hili la kumaintain uswazin limejitahid sana.

xiv/ VITUO VYA UTAMADUNI NA UTALII Hapa Arusha ipo juu sana maana jiji limejengeka kuwa jiji la kitalii kutokana na uoto wa asili uliopo unaofanya kuzungukwa na mbuga nyingii kama vile Tarangire, ngorongoro , serengeti, manyara, na kuvutia wageni wengi. Ndomana usishangae kuutana na wazungu kila baada ya dakika 1. Tofauti na mwanza, ambapo watalii wengi ni watalii wandan na ndugu zetu kutoka nchi jiran za burundi, uganda na kenya kila weekend wakija tukijumuuika nao kwenye bia za pale casky na samak choma kule Night fasion na bundasiliga.

HITIMISHO :- kila sehem kwa maono ma mawazo yangu mm ni nzur, tofaut inakuja tu pale ww unavutiwa na nn, na sababu za kimazingira pia zinachukuwa nafasi na kuathiri uwezo wa kupenda kitu mfano mm naweza kusema Umbali ni Changamoto kubwa kwa MKOA wa mwanza , sababu labda kwetu ni zanzibar au Mtwar hivo siwez kuoanana na wapendwa wangu/ watu niliowazoea mara kwa mara lakini pia naweza kupapenda Mwanza sbabu kimkakati ni kama vile HUB ya Afrika mashariki popote pale nakwenda, umbal wa kutoka Mwanz - kigali/Mwanz- Bujumbura/Mwanza - Nairobi/ Mwanza - Kampla ni karbu mno ukilinganisha na Arusha na izo sehem nilizozitaja.

ARUSHA ni (NZURI MNOO) kuliko mwanza maana inakupa vitu vingi ambavyo mwanza hakuna.
Lakin Mwanza ni nzur na ya-kuishi kwa makuzi na malezi ya familia kuliko Arusha tukija katka swala la.
i/Utaftaji na Gharama za maisha(M
ii/Ujenzi na Umiliki wa Ardhi
iii/Kilimo na Uwekezaji (ardh/bidhaa/mzunguko wa watu)
iv/Ni mji unaojengeka kisasa, nyumba za kisasa, ofisi na miundombinu

ARUSHA ni Nzuri na inavutia hali ya hewa na kimazingira (uoto wa asili) wa Mji na watu (milima , mito, mikahawa, midizi , nyasi za kijani/wanawake wazur wa asili, weupe, sura zenye uchotara, hips na makal** makubwa .
Tofauti na wanawake wa mwanza maumbo makubwa, weupe wachache(dili sna) na wenye sura za baba zao.
Arusha:-
(wachapakazi/wanajuakupambana na maisha/wanajiamini/wanajitambua/ wazur kwa sura na wamejaliwa maumbo mazuri , shape/urefu/sura , mat*k** na hips) .
MWANZA uoto na muonekanao wa mamilima mengi na mawe ila imejaliwa ziwa , beach za kutosha, usafi wa mji .

KWA UPANDE WA Matumiz na Kula starehe, (Bata) na totoz nzuri ARUSHA ni mji bomba kabisa na the Best hivyo unabid utambue nafasi yako upo
NB: Arusha haikui kwa mijengo na miundombinu yake ni ile ile tangu ya Enzi ya mkoloni na utawala wote wa vipindi vya miaka 60 ya uhuru japo majengo machache kwa sasa yameenza kujengeka hivyo basi kwenye utafutaji.
GHARAMA:
a.Ujenzi ni Juu
b.Chakula na malazi
c.Usafir(nauli)
d.Mavazi (Japo arusha ni moja ya jiji raia wake wana vaa vtu clasic na OG sana.
i/(HUSTLE)- U Deserve Mwanza ila kama ulishatafuta upo kwenye kutumbua na kula maisha
ii/(BATA). Being in Arusha
Wish all the Best.
 
Umeiandika kishabiki sana mpunguze mahaba jamani mnavyoleta mada kama hizi wewe kitendo cha kusema arusha kwenu ushaharibu kila kitu una mahaba na vya nyumbani.
Sina mahaba maana kiuhalisia mm ni hybrid tu , nimezaliwa uko ila sijakaa sana na mwanza ndo makaz yangu yalipo kwa sasa . Nilichokiandika apo ni ukweli na ushuhuda mtupu na wala sio mahaba.
 
Kwenye huu mjadala naweza kusema nina bahati ya kuwepo hizi Sehemu mbili (2) maana Nina mkataba wa miaka 3 sasa mwanza lakin pia Arusha ndiko niliko zaliwa japo sikukaa sana nikahamia mkoa mwingine pendwa dsm.( u name it! )

Hii mada naweza kuijibu kupitia vipengele vifuatavyo:-

i/MPANGILIO WA JIJI
Arusha ni kubwa na imepangiliwa kisawasawa Toka Enzi za Mkoloni tatizo ni moja tu mji haukui tena kwa kasi takriban kipind cha miaka 60 kutokana na athari za kisiasa . Kuongozwa na chama pinzan kwa mda mrefu .
Uzuri wa ARUSHA ni Jiji lililo katika ardhi isiokuwa na mabonde sana wala milima milima ya mawe mawe .
juhud kubwa za mipangilio ya jiji hili ilifanya tangu enzi za kikoloni ambapo wazungu waliasisi ofisi zao na makazi kitu ambacho kimeathiri watu wake wana mentality ya kizungu. Usishangae kukuta nyumba kali ziko vijijini, vyuo na shule pia miuondombinu ya barabara na mazingira , pia ni jiji pekee tanzania ambapo wazungu wakifika huwa wanapashangaa , Arusha iko vzur sana tofauti na jiji la Mwanza ambayo mwanza imezungukwa na milima na mawe mengi kitu ambacho inafanya watu wejenge miliman na ardhi tambarare ikiwa chache, wakati arusha ikirembwa na milimi iliyojaa mimea na miti ya asili uku maji yakitiririka miez yte 12 ktk mwaka
Arusha inakupa maeneo bora machache yenye nyumba kali kavile vile:- njiro, uzunguzi, mianzin na kaloleni wakat MWANZA ina maeneo mengi bora kabisa ya nyumba za kuishi kama vile kisesa, bwiru, nyasaka, nyamhongolo na buswelu.

ii/MENTALITY(iQ)
Watu wa Arusha wana IQ kubwa ukilinganisha na ya watu wa mwanza Watu wa Arusha mentalility zao nikutafuta hela na kufanya maendeleo pia isitoshe kusema kwamba watu wa arusha wamabarikiwa Akili , ujanja na muonekano wa kuvutia raia wengi wa arusha (machalii/njeree)
Wanamin katika Shule, elimu , biashara na kufanya kazi kwa bidii ili kutusua kimaisha . Wakati vijana wengi na raia wa mwanza ( mamii/ngosha) wakiwa wamejaa ushamba, kupenda kutumia nguvu kubwa kuliko akili na kufatilia maisha ya watu.
Ni rahisi sana kuburudika ukiwa arusha kuliko mwanza maana kule kuna parks za bure, vijiwe vya draft , kahawa na maziwa kitu ambacho kitakuburudisha muda wte na kukufanya usijihisi mgeni/ mpekwe jijin hapo mfano .
Nenda Pale kwa yahaya/ omar alkasusi - noble house( stand ya cruise za karatu)., stand ya zaman ya mabus, na uwanja wa shkh amri abeid.
Sehem kama hizo huwez pata mwanza.
MJINI Population ni kubwa, na gar za kutembelea (Subaru/alteza/premio)ni nyingi sana. Tofauti na mwanza popoluation ni kubwa kijijin na mjini watu ni wachache sana na gar sio nyingi barabarani (hiace/crown/dualis/ist) zimejaa

iii/ARDHI
Ardhi ya arusha imebarikiwa sana katika nyanja za ufugaji ,kilimo na kuchimba madini, ukirejea kwenye ardhi imebarikiwa rutuba na hali ya hewa ya arusha ni nzur kuliko ya mwanza . Mazingira mengi naya mito na chemchem asili ambayo yanakupa uwezo wa kufanya shughuli za ufugaji na kilimo kama vile Migomba, kahawa, mahindi, maharage, maua, mboga mboga, ngogwe, bamia, mboga za majani, mipunga na maeneo mengi ya kufanya biashara.
Tofaut na mwanza inakupa :- uvuvi (sato/sangara/dagaa), ufugaji na kilimo sehem za mbal kama lamadi, ngudu,kisesa,bariad, magu na sengerema na ni kwa kiasi kidogo tu. Mwanza wanapaita kwa washamba lakini unaweza kutembea mji wote na wala usione mtu kashika jembe au kalima hata bustani ya mchicha nje, tofauti na Arusha yenye asili ya kilimo, ndomana miaka na miaka mashamba ya mikahawa pale kisongo na miti mirefu uku chini wakilima maharage huwez kukuta imekatwa au kukauka miaka nenda rudi, ukiachana na migomba nje ya kila nyumba.

iv/TASISI ZA KIELIMU NA VYUO VIKUU Ni ukwel usiopingika kwa ngaz ya elimu arusha ina shule nzur za msingi na secondary tofaut na mwanza.
wazungu wanafadhili sana na wamewekeza shule nyingi na wanafanikisha kutoa elimu katika eneo zima la mkoa wa arusha pili arusha ina vyuo kadhaa kama vile chuo cha kijeshi MONDULI, Arusha Technical Collage (ATC) , The aghakan University,IAA, CHUO CHA MANDELA, Chuo cha mifugo kule Tengeru na MAKUMIRA Lakini kwa upande wa vyuo vikuu Mwanza wanavyo vikubwa kama vile SAUTI, CUHAS(Bugando University), Chuo cha walimu BUTIMBA na Campus za vyuo kama vile DIT, CBE, IFM, TIA, OUT.

V/TASISI ZA KIAFYA Kwa upande wa taasisi vituo na hospital zinazotoa matibabu kwa Mkoa wa Mwanza ni bora na nzur zaid kuliko arusha. Arusha wana vituo vya afya na hospital kama vile Mount meru hospital, The aghakan Arusha medical centre, st joseph health care int, shree hindu, Arusha lutheran, sellian hospital.
Kwa mwanza wana vituo kama Mwanza hospital, agha kan, lancet laboratories,Nyamaghana,UMC hospital,Uhuru hospital,Mwanza adventist, Kamanga medics,Bugando, sekoture.

Vii/MIUNDOMBINU NA BARABARA Hapa bado sehem zote 2 zinachangamoto lakin kwa Arusha japokuwa nying zimeharibika kwa uchakavu na masgimo . Mwanza wanajikongoja kidogo kwan kwa sasa wanabara bara mpya na za njia 4 kama ile ya kuanzia Roundabout ya mti wa kunyongea karbu na bank ya CRDB inayoenda mpaka Airport , barabara mpya ya sabasaba mpka buswelu wakat arusha ikiwa na barabara Barabara za East Africa, inayoenda mpka tengeru, barabara ya chekereni na barabara nyingi zinazoigawa mitaa na kupendezesha mji.

ix/VIVUTIO kwa mwanza kuna vivutio kadhaa na beach za kutosha kutokana na uwepo wa ziwa victoria tofaut n arusha beach za kule ni za mitoni na kwenye swimming pools : kwa mwanza unaweza kwenda kuenjoy beach :-Malaika, Tunza, Annex, jembe , charcoal, wag hil , ,ismark rock na bar,Tilapia, ryans bay. Bar kadhaa kama vle :- BONASERE, The casky, Bundasiliga, The wallet , amazon night fashion nk. Kwa arusha machimbo kama Naura spring, texas, pale sanawar, bar za kijenge juu , kula nyama kwa mromboo na nk
=HOTELS= kwa upande wa HOTEL Arush is the best mana wana hotel za kimataifa kutokana na soko lao kubwa la watalii : Hotel bora kama vile Venus premier , Panone hotel sakina, New hotel aquline, The charity hotle international, Mazola safar house, mount Meru hotel, boulevard inn, Masailand safar lodge, Four point by sheraton hotel, kibo palace Nk. Hizo zote huwez linganisha na hotel za Mwanza kama vile GoldCrest, Tilapia, Aden palace, Hotel kingdom, couple gateway, Ryans Bay , Victoria palace, Lakairo hotel. *CHA KUFURAHISHA Baadh ya hotel zilizo mwanza arusha pia zipo kama vile , Goldcrest, Lenana.
DAY TOUR :- kwa arusha unaweza tembelea masai village/ arusha national park, materun waterfalls, cultural heritage, ngorongro crater, hot spring.
wakat kwa mwanza utatembelea kisiwa cha Saa 8, makabur ya mv bukoba , ukerewe , sengerema na kijiji cha wasukuma (Bujora).
KWa ufupi ni rahisi kuizunguka mwanza kwa siku 1 nakuimaliza. Ila kwa arusha inakuoa vitu vingi zaidi ya mwanza na huwez kuizunguka kwa siku moja na kuimaliza kwa case ya utali, vivutio na survey ya mji.
**kwa Bar arusha usiulize ni sehem watu wamezaliwa ili kulewa wana bar kali mwanza hakuna na nikisema nizitaje hapa siwez maliza, picnik, club cocoriko, mrina, the anex, Texasi ______________ to infinity.

x/VIWANJA VYA MICHEZO Viwanja vya michezo mwanza ina viwanja vikubwa kama vile ccm kirumba, Nyamaghana na kile kiwanja cha kule misungwi kiwanja cha gwambina na kwa Mji wa arusha kuna viwanja kadha kama kile cha sheikh amri abeid, kile cha muekezaji karatu (black rhino) na kile kiwanja kidogo cha mpira sinoni .

xi/ MASOKO MAKUU. Mwanza inajengeka kwa kasi sana na ya kisasa zaidi wakati arusha ina dumaa na haikui, siasa pia inaweza ikawa ndio sababu kuu yakuwa ivo kwa kipind cha miaka 10 iliyopita. Tukirud kwenye lile soko pale mjini Mwanza lipo ktk hatua za mwisho likimalizila litakuwa ni zuri bora na lakisasa mno na kuvutia lakin kwa sasa mwanza kuna masoko ya kienyeji tofaut na lile soko kuu la arusha karibu na stand kuu . Mengi ni local market kama ya pale Kilombero, soko la buhongwa, soko la nyamilongo iwa arusha tunajua bidhaa zinapatikana kwenye kila stand ya daladala na masoko kadhaa kama la kule tengeru na ngarenaro ukiacha soko la ungalimited lile soko mjinga.

xii/STAND KUU/AIRPORT. Kwenye eneo hili Mwanza iko vzur a imeaicha mbal Arusha ukiangalia kiwanja cha ndege Mwanza airport/- Kiwanja kipya kinachojengwa ni kizur kuliko kile cha kisongo japo arusha kwa miundo mbinu ya usafir wa anga bado iko chini na wakitegemea zaid kiwanja cha Ndege KIA. Pia Stand mpya inayojengwa Mwanza ni bora zaid kuliko ile ya Arusha. achana na ile stand ingine ya kule nyamhongolo.
Hapa kwa masoko/ stand na Aiport mwanza imeipiga gepu arusha parefu sana. Kwa point hiyo mwanza ipo juu.

xiii/MAKAZI Hapa kwenye nyumba za kuishi mwanza iko juu zaid ukilinganisha na arusha, arusha bado ina mijengo ya kizaman pia maeneo ya mjini yamejaa nyumba ambazo hazifati mipango miji bado arusha kuna ubeberu mwingi sana ktk kumiliki ardhi na haina mijengo ya kuishi(residenceHouse) za kuvutia na kutikisa kama mwanza, Maeneo ya uswazi kwa Arusha nyumba zimebanana sana nyumba za mabanzi na matope bado zipo (unga ltd, sinoni, sombetini) raman hazivutii.
Mwanza Ina mifumo yao ya nyumba za mapaa marefu lakini zinavutia sana mitaa kama Kiseke, buswelu, Nyasaka na nyamhongolo. Pia sehem za uswaz za mwanza ni maeneo mengi ya miliman watu wamejenga miliman maeneo kama (mabatini/mataulo/ghana na kirumba)
Yaan Arusha sehem za uswazi ni uswazi kwel ikinyesha mvua huwez kutembea. Kwa mwanza eneo hili la kumaintain uswazin limejitahid sana.

xiv/ VITUO VYA UTAMADUNI NA UTALII Hapa Arusha ipo juu sana maana jiji limejengeka kuwa jiji la kitalii kutokana na uoto wa asili uliopo unaofanya kuzungukwa na mbuga nyingii kama vile Tarangire, ngorongoro , serengeti, manyara, na kuvutia wageni wengi. Ndomana usishangae kuutana na wazungu kila baada ya dakika 1. Tofauti na mwanza, ambapo watalii wengi ni watalii wandan na ndugu zetu kutoka nchi jiran za burundi, uganda na kenya kila weekend wakija tukijumuuika nao kwenye bia za pale casky na samak choma kule Night fasion na bundasiliga.

HITIMISHO :- kila sehem kwa maono ma mawazo yangu mm ni nzur, tofaut inakuja tu pale ww unavutiwa na nn, na sababu za kimazingira pia zinachukuwa nafasi na kuathiri uwezo wa kupenda kitu mfano mm naweza kusema Umbali ni Changamoto kubwa kwa MKOA wa mwanza , sababu labda kwetu ni zanzibar au Mtwar hivo siwez kuoanana na wapendwa wangu/ watu niliowazoea mara kwa mara lakini pia naweza kupapenda Mwanza sbabu kimkakati ni kama vile HUB ya Afrika mashariki popote pale nakwenda, umbal wa kutoka Mwanz - kigali/Mwanz- Bujumbura/Mwanza - Nairobi/ Mwanza - Kampla ni karbu mno ukilinganisha na Arusha na izo sehem nilizozitaja.

ARUSHA ni (NZURI MNOO) kuliko mwanza maana inakupa vitu vingi ambavyo mwanza hakuna.
Lakin Mwanza ni nzur na ya-kuishi kwa makuzi na malezi ya familia kuliko Arusha tukija katka swala la.
i/Utaftaji na Gharama za maisha(M
ii/Ujenzi na Umiliki wa Ardhi
iii/Kilimo na Uwekezaji (ardh/bidhaa/mzunguko wa watu)
iv/Ni mji unaojengeka kisasa, nyumba za kisasa, ofisi na miundombinu

ARUSHA ni Nzuri na inavutia hali ya hewa na kimazingira (uoto wa asili) wa Mji na watu (milima , mito, mikahawa, midizi , nyasi za kijani/wanawake wazur wa asili, weupe, sura zenye uchotara, hips na makal** makubwa .
Tofauti na wanawake wa mwanza maumbo makubwa, weupe wachache(dili sna) na wenye sura za baba zao.
Arusha:-
(wachapakazi/wanajuakupambana na maisha/wanajiamini/wanajitambua/ wazur kwa sura na wamejaliwa maumbo mazuri , shape/urefu/sura , mat*k** na hips) .
MWANZA uoto na muonekanao wa mamilima mengi na mawe ila imejaliwa ziwa , beach za kutosha, usafi wa mji .

KWA UPANDE WA Matumiz na Kula starehe, (Bata) na totoz nzuri ARUSHA ni mji bomba kabisa na the Best hivyo unabid utambue nafasi yako upo
NB: Arusha haikui kwa mijengo na miundombinu yake ni ile ile tangu ya Enzi ya mkoloni na utawala wote wa vipindi vya miaka 60 ya uhuru japo majengo machache kwa sasa yameenza kujengeka hivyo basi kwenye utafutaji.
GHARAMA:
a.Ujenzi ni Juu
b.Chakula na malazi
c.Usafir(nauli)
d.Mavazi (Japo arusha ni moja ya jiji raia wake wana vaa vtu clasic na OG sana.
i/(HUSTLE)- U Deserve Mwanza ila kama ulishatafuta upo kwenye kutumbua na kula maisha
ii/(BATA). Being in Arusha
Wish all the Best.
Uzi kama huu nadhani muhusika unakuwa huna shughuli za kufanya.utakuwa mzurulaji na mzembe.kanda ya kaskazini ilipata upendeleo wa wazi kabisa .watu wa Mwanza wameunganishwa na Lami kipindi cha Mkapa.juzi tu hapa kipindi hicho kufika Mwanza unapita Nairobi.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
 
Thread za hivi ni za kupuuza tu,jamaa wa arusha kila muda wanang'ang'aniza vimada kama hivi ili wajifariji tu ila kiuhalisia arusha haiifikii mwanza hata nusu.Ila kwa kuwa mnaforce basi nyie ni jiji la pili Tanzania baada ya dar, nadhani mmelidhika sasa
Hata hapa Dar utasikia wanasifia kuwa watu wa Arusha wanajua sana kuosha magari.wabongo aisee.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
 
Thread za hivi ni za kupuuza tu,jamaa wa arusha kila muda wanang'ang'aniza vimada kama hivi ili wajifariji tu ila kiuhalisia arusha haiifikii mwanza hata nusu.Ila kwa kuwa mnaforce basi nyie ni jiji la pili Tanzania baada ya dar, nadhani mmelidhika sasa
Ww usie tembea lazima ujibu kwa kujitetea ivo, leta facts jenga hoja zenye mifano hai.
 
Kwenye huu mjadala naweza kusema nina bahati ya kuwepo hizi Sehemu mbili (2) maana Nina mkataba wa miaka 3 sasa mwanza lakin pia Arusha ndiko niliko zaliwa japo sikukaa sana nikahamia mkoa mwingine pendwa dsm.( u name it! )

Hii mada naweza kuijibu kupitia vipengele vifuatavyo:-

i/MPANGILIO WA JIJI
Arusha ni kubwa na imepangiliwa kisawasawa Toka Enzi za Mkoloni tatizo ni moja tu mji haukui tena kwa kasi takriban kipind cha miaka 60 kutokana na athari za kisiasa . Kuongozwa na chama pinzan kwa mda mrefu .
Uzuri wa ARUSHA ni Jiji lililo katika ardhi isiokuwa na mabonde sana wala milima milima ya mawe mawe .
juhud kubwa za mipangilio ya jiji hili ilifanya tangu enzi za kikoloni ambapo wazungu waliasisi ofisi zao na makazi kitu ambacho kimeathiri watu wake wana mentality ya kizungu. Usishangae kukuta nyumba kali ziko vijijini, vyuo na shule pia miuondombinu ya barabara na mazingira , pia ni jiji pekee tanzania ambapo wazungu wakifika huwa wanapashangaa , Arusha iko vzur sana tofauti na jiji la Mwanza ambayo mwanza imezungukwa na milima na mawe mengi kitu ambacho inafanya watu wejenge miliman na ardhi tambarare ikiwa chache, wakati arusha ikirembwa na milimi iliyojaa mimea na miti ya asili uku maji yakitiririka miez yte 12 ktk mwaka
Arusha inakupa maeneo bora machache yenye nyumba kali kavile vile:- njiro, uzunguzi, mianzin na kaloleni wakat MWANZA ina maeneo mengi bora kabisa ya nyumba za kuishi kama vile kisesa, bwiru, nyasaka, nyamhongolo na buswelu.

ii/MENTALITY(iQ)
Watu wa Arusha wana IQ kubwa ukilinganisha na ya watu wa mwanza Watu wa Arusha mentalility zao nikutafuta hela na kufanya maendeleo pia isitoshe kusema kwamba watu wa arusha wamabarikiwa Akili , ujanja na muonekano wa kuvutia raia wengi wa arusha (machalii/njeree)
Wanamin katika Shule, elimu , biashara na kufanya kazi kwa bidii ili kutusua kimaisha . Wakati vijana wengi na raia wa mwanza ( mamii/ngosha) wakiwa wamejaa ushamba, kupenda kutumia nguvu kubwa kuliko akili na kufatilia maisha ya watu.
Ni rahisi sana kuburudika ukiwa arusha kuliko mwanza maana kule kuna parks za bure, vijiwe vya draft , kahawa na maziwa kitu ambacho kitakuburudisha muda wte na kukufanya usijihisi mgeni/ mpekwe jijin hapo mfano .
Nenda Pale kwa yahaya/ omar alkasusi - noble house( stand ya cruise za karatu)., stand ya zaman ya mabus, na uwanja wa shkh amri abeid.
Sehem kama hizo huwez pata mwanza.
MJINI Population ni kubwa, na gar za kutembelea (Subaru/alteza/premio)ni nyingi sana. Tofauti na mwanza popoluation ni kubwa kijijin na mjini watu ni wachache sana na gar sio nyingi barabarani (hiace/crown/dualis/ist) zimejaa

iii/ARDHI
Ardhi ya arusha imebarikiwa sana katika nyanja za ufugaji ,kilimo na kuchimba madini, ukirejea kwenye ardhi imebarikiwa rutuba na hali ya hewa ya arusha ni nzur kuliko ya mwanza . Mazingira mengi naya mito na chemchem asili ambayo yanakupa uwezo wa kufanya shughuli za ufugaji na kilimo kama vile Migomba, kahawa, mahindi, maharage, maua, mboga mboga, ngogwe, bamia, mboga za majani, mipunga na maeneo mengi ya kufanya biashara.
Tofaut na mwanza inakupa :- uvuvi (sato/sangara/dagaa), ufugaji na kilimo sehem za mbal kama lamadi, ngudu,kisesa,bariad, magu na sengerema na ni kwa kiasi kidogo tu. Mwanza wanapaita kwa washamba lakini unaweza kutembea mji wote na wala usione mtu kashika jembe au kalima hata bustani ya mchicha nje, tofauti na Arusha yenye asili ya kilimo, ndomana miaka na miaka mashamba ya mikahawa pale kisongo na miti mirefu uku chini wakilima maharage huwez kukuta imekatwa au kukauka miaka nenda rudi, ukiachana na migomba nje ya kila nyumba.

iv/TASISI ZA KIELIMU NA VYUO VIKUU Ni ukwel usiopingika kwa ngaz ya elimu arusha ina shule nzur za msingi na secondary tofaut na mwanza.
wazungu wanafadhili sana na wamewekeza shule nyingi na wanafanikisha kutoa elimu katika eneo zima la mkoa wa arusha pili arusha ina vyuo kadhaa kama vile chuo cha kijeshi MONDULI, Arusha Technical Collage (ATC) , The aghakan University,IAA, CHUO CHA MANDELA, Chuo cha mifugo kule Tengeru na MAKUMIRA Lakini kwa upande wa vyuo vikuu Mwanza wanavyo vikubwa kama vile SAUTI, CUHAS(Bugando University), Chuo cha walimu BUTIMBA na Campus za vyuo kama vile DIT, CBE, IFM, TIA, OUT.

V/TASISI ZA KIAFYA Kwa upande wa taasisi vituo na hospital zinazotoa matibabu kwa Mkoa wa Mwanza ni bora na nzur zaid kuliko arusha. Arusha wana vituo vya afya na hospital kama vile Mount meru hospital, The aghakan Arusha medical centre, st joseph health care int, shree hindu, Arusha lutheran, sellian hospital.
Kwa mwanza wana vituo kama Mwanza hospital, agha kan, lancet laboratories,Nyamaghana,UMC hospital,Uhuru hospital,Mwanza adventist, Kamanga medics,Bugando, sekoture.

Vii/MIUNDOMBINU NA BARABARA Hapa bado sehem zote 2 zinachangamoto lakin kwa Arusha japokuwa nying zimeharibika kwa uchakavu na masgimo . Mwanza wanajikongoja kidogo kwan kwa sasa wanabara bara mpya na za njia 4 kama ile ya kuanzia Roundabout ya mti wa kunyongea karbu na bank ya CRDB inayoenda mpaka Airport , barabara mpya ya sabasaba mpka buswelu wakat arusha ikiwa na barabara Barabara za East Africa, inayoenda mpka tengeru, barabara ya chekereni na barabara nyingi zinazoigawa mitaa na kupendezesha mji.

ix/VIVUTIO kwa mwanza kuna vivutio kadhaa na beach za kutosha kutokana na uwepo wa ziwa victoria tofaut n arusha beach za kule ni za mitoni na kwenye swimming pools : kwa mwanza unaweza kwenda kuenjoy beach :-Malaika, Tunza, Annex, jembe , charcoal, wag hil , ,ismark rock na bar,Tilapia, ryans bay. Bar kadhaa kama vle :- BONASERE, The casky, Bundasiliga, The wallet , amazon night fashion nk. Kwa arusha machimbo kama Naura spring, texas, pale sanawar, bar za kijenge juu , kula nyama kwa mromboo na nk
=HOTELS= kwa upande wa HOTEL Arush is the best mana wana hotel za kimataifa kutokana na soko lao kubwa la watalii : Hotel bora kama vile Venus premier , Panone hotel sakina, New hotel aquline, The charity hotle international, Mazola safar house, mount Meru hotel, boulevard inn, Masailand safar lodge, Four point by sheraton hotel, kibo palace Nk. Hizo zote huwez linganisha na hotel za Mwanza kama vile GoldCrest, Tilapia, Aden palace, Hotel kingdom, couple gateway, Ryans Bay , Victoria palace, Lakairo hotel. *CHA KUFURAHISHA Baadh ya hotel zilizo mwanza arusha pia zipo kama vile , Goldcrest, Lenana.
DAY TOUR :- kwa arusha unaweza tembelea masai village/ arusha national park, materun waterfalls, cultural heritage, ngorongro crater, hot spring.
wakat kwa mwanza utatembelea kisiwa cha Saa 8, makabur ya mv bukoba , ukerewe , sengerema na kijiji cha wasukuma (Bujora).
KWa ufupi ni rahisi kuizunguka mwanza kwa siku 1 nakuimaliza. Ila kwa arusha inakuoa vitu vingi zaidi ya mwanza na huwez kuizunguka kwa siku moja na kuimaliza kwa case ya utali, vivutio na survey ya mji.
**kwa Bar arusha usiulize ni sehem watu wamezaliwa ili kulewa wana bar kali mwanza hakuna na nikisema nizitaje hapa siwez maliza, picnik, club cocoriko, mrina, the anex, Texasi ______________ to infinity.

x/VIWANJA VYA MICHEZO Viwanja vya michezo mwanza ina viwanja vikubwa kama vile ccm kirumba, Nyamaghana na kile kiwanja cha kule misungwi kiwanja cha gwambina na kwa Mji wa arusha kuna viwanja kadha kama kile cha sheikh amri abeid, kile cha muekezaji karatu (black rhino) na kile kiwanja kidogo cha mpira sinoni .

xi/ MASOKO MAKUU. Mwanza inajengeka kwa kasi sana na ya kisasa zaidi wakati arusha ina dumaa na haikui, siasa pia inaweza ikawa ndio sababu kuu yakuwa ivo kwa kipind cha miaka 10 iliyopita. Tukirud kwenye lile soko pale mjini Mwanza lipo ktk hatua za mwisho likimalizila litakuwa ni zuri bora na lakisasa mno na kuvutia lakin kwa sasa mwanza kuna masoko ya kienyeji tofaut na lile soko kuu la arusha karibu na stand kuu . Mengi ni local market kama ya pale Kilombero, soko la buhongwa, soko la nyamilongo iwa arusha tunajua bidhaa zinapatikana kwenye kila stand ya daladala na masoko kadhaa kama la kule tengeru na ngarenaro ukiacha soko la ungalimited lile soko mjinga.

xii/STAND KUU/AIRPORT. Kwenye eneo hili Mwanza iko vzur a imeaicha mbal Arusha ukiangalia kiwanja cha ndege Mwanza airport/- Kiwanja kipya kinachojengwa ni kizur kuliko kile cha kisongo japo arusha kwa miundo mbinu ya usafir wa anga bado iko chini na wakitegemea zaid kiwanja cha Ndege KIA. Pia Stand mpya inayojengwa Mwanza ni bora zaid kuliko ile ya Arusha. achana na ile stand ingine ya kule nyamhongolo.
Hapa kwa masoko/ stand na Aiport mwanza imeipiga gepu arusha parefu sana. Kwa point hiyo mwanza ipo juu.

xiii/MAKAZI Hapa kwenye nyumba za kuishi mwanza iko juu zaid ukilinganisha na arusha, arusha bado ina mijengo ya kizaman pia maeneo ya mjini yamejaa nyumba ambazo hazifati mipango miji bado arusha kuna ubeberu mwingi sana ktk kumiliki ardhi na haina mijengo ya kuishi(residenceHouse) za kuvutia na kutikisa kama mwanza, Maeneo ya uswazi kwa Arusha nyumba zimebanana sana nyumba za mabanzi na matope bado zipo (unga ltd, sinoni, sombetini) raman hazivutii.
Mwanza Ina mifumo yao ya nyumba za mapaa marefu lakini zinavutia sana mitaa kama Kiseke, buswelu, Nyasaka na nyamhongolo. Pia sehem za uswaz za mwanza ni maeneo mengi ya miliman watu wamejenga miliman maeneo kama (mabatini/mataulo/ghana na kirumba)
Yaan Arusha sehem za uswazi ni uswazi kwel ikinyesha mvua huwez kutembea. Kwa mwanza eneo hili la kumaintain uswazin limejitahid sana.

xiv/ VITUO VYA UTAMADUNI NA UTALII Hapa Arusha ipo juu sana maana jiji limejengeka kuwa jiji la kitalii kutokana na uoto wa asili uliopo unaofanya kuzungukwa na mbuga nyingii kama vile Tarangire, ngorongoro , serengeti, manyara, na kuvutia wageni wengi. Ndomana usishangae kuutana na wazungu kila baada ya dakika 1. Tofauti na mwanza, ambapo watalii wengi ni watalii wandan na ndugu zetu kutoka nchi jiran za burundi, uganda na kenya kila weekend wakija tukijumuuika nao kwenye bia za pale casky na samak choma kule Night fasion na bundasiliga.

HITIMISHO :- kila sehem kwa maono ma mawazo yangu mm ni nzur, tofaut inakuja tu pale ww unavutiwa na nn, na sababu za kimazingira pia zinachukuwa nafasi na kuathiri uwezo wa kupenda kitu mfano mm naweza kusema Umbali ni Changamoto kubwa kwa MKOA wa mwanza , sababu labda kwetu ni zanzibar au Mtwar hivo siwez kuoanana na wapendwa wangu/ watu niliowazoea mara kwa mara lakini pia naweza kupapenda Mwanza sbabu kimkakati ni kama vile HUB ya Afrika mashariki popote pale nakwenda, umbal wa kutoka Mwanz - kigali/Mwanz- Bujumbura/Mwanza - Nairobi/ Mwanza - Kampla ni karbu mno ukilinganisha na Arusha na izo sehem nilizozitaja.

ARUSHA ni (NZURI MNOO) kuliko mwanza maana inakupa vitu vingi ambavyo mwanza hakuna.
Lakin Mwanza ni nzur na ya-kuishi kwa makuzi na malezi ya familia kuliko Arusha tukija katka swala la.
i/Utaftaji na Gharama za maisha(M
ii/Ujenzi na Umiliki wa Ardhi
iii/Kilimo na Uwekezaji (ardh/bidhaa/mzunguko wa watu)
iv/Ni mji unaojengeka kisasa, nyumba za kisasa, ofisi na miundombinu

ARUSHA ni Nzuri na inavutia hali ya hewa na kimazingira (uoto wa asili) wa Mji na watu (milima , mito, mikahawa, midizi , nyasi za kijani/wanawake wazur wa asili, weupe, sura zenye uchotara, hips na makal** makubwa .
Tofauti na wanawake wa mwanza maumbo makubwa, weupe wachache(dili sna) na wenye sura za baba zao.
Arusha:-
(wachapakazi/wanajuakupambana na maisha/wanajiamini/wanajitambua/ wazur kwa sura na wamejaliwa maumbo mazuri , shape/urefu/sura , mat*k** na hips) .
MWANZA uoto na muonekanao wa mamilima mengi na mawe ila imejaliwa ziwa , beach za kutosha, usafi wa mji .

KWA UPANDE WA Matumiz na Kula starehe, (Bata) na totoz nzuri ARUSHA ni mji bomba kabisa na the Best hivyo unabid utambue nafasi yako upo
NB: Arusha haikui kwa mijengo na miundombinu yake ni ile ile tangu ya Enzi ya mkoloni na utawala wote wa vipindi vya miaka 60 ya uhuru japo majengo machache kwa sasa yameenza kujengeka hivyo basi kwenye utafutaji.
GHARAMA:
a.Ujenzi ni Juu
b.Chakula na malazi
c.Usafir(nauli)
d.Mavazi (Japo arusha ni moja ya jiji raia wake wana vaa vtu clasic na OG sana.
i/(HUSTLE)- U Deserve Mwanza ila kama ulishatafuta upo kwenye kutumbua na kula maisha
ii/(BATA). Being in Arusha
Wish all the Best.
sijui limekunywa konyagi za wapi
 
Hamna battle ya Mwanza and Arusha.
Hamna battle ya Wasukuma na Wamasai
 
Back
Top Bottom