Usafiri enzi zile Mwanza yetu

Usafiri enzi zile Mwanza yetu

Duh kweli wapi I love manori town nyegezi corner,wapi RASTA town mkuyuni enzi hizo bwana huna tsh 5 tembea na reli
 
Kumbe nyie wote mliotoa comment mpaka sasa hivi ni wa juzi tu. Miaka ile ilikuwa hakuna cha minibus wala nini. Tulikuwa tunapanda zile peugeot za kizamani mnarundikwa kama ndizi humu. Station wagon moja ilikuwa inaweza kubeba hadi abiria 8. Zilipotoka hizo ndio zikaja express. I love Mwanza mji niliokulia.

Tiba
Umesahau chai maharage ? Town Igoma . Kulikuwa na bus Isuzu injection linaitwa Kidenda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau wa rock city enzi zile mnakumbuka Mwanza hapakuwa na usafiri wa vipanya kama leo. Vipanya vilikuwa Mabatini na Kirumba tu lakini Igombe kulikuwa na min bus zikiitwa Toto Tundu, Mayeji na Jalijalalam, Igoma kulikuwa na Last Boy na Mkuyuni air Jordan.
Mkuu utakuwa age met wangu . Nimepanda sana air Jordan wakati nasoma Ziwani Sec ilikuwa pale Butimba Chuo cha Ualimu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenikumbusha Mabruk ilikuwa sehemu ya kutazama movies za kihindi na nyinginezo . Matrela ya utangulizi ni miziki ya Congo ya kina Aulus Mabere na Yondo sister bila kuwasahau Niboma , Diblo Dibala na Pepe Kale
igogo haiendelei mzee sasa hakuna ukumbi tena wa burudani wala kikundi cha muziki ukumbi wa jitegemee ulishajiishia siku nyingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom