Hahahaa aisee we kweli wa Mwanza, saivi hadi Kishiri ni mjini
Mpaka Ilalila nako mjini
Digidigi mza -igombe
Ilalila ni wapi huko mkuu?
Digidigi hadi leo inapiga kazi
Unaongelea Santamaria za KIRUMBA za JUZI Hapa!? Za wale Watoto wa Mzee AWADH?
Watu wamepanda GEZA ULOLE! Gia Tatu!
Breki TOFALI halafu dereva Mzee Joseph Yuko GONGO 24/7!
Na ukiikosa hio unadandia TRANS AFRICAN BUS ya kwenda MUSOMA ukifika nyakato au Igoma haisimami, unalegezewa tu na dereva UNAACHIA Body mwenyewe!
Unasema nini wewe!
Wacha bana.
kahtaan ni mkongwe wa Mwanza ila hajaja siku nyingihahahah we jamaa kweli wa kitambo mwanza.
We lzm utakuwa mchawi!
Ulijuaje hizi habari?
Au nyie ndio ile Mwitunga! Mliotoroka kule sengerema au mahina!
Manake na huko kwa wachawi ni mwisho!
Hilo mkuu muulize yule mdaku babu upako Eiyer,
Mi niko viwanja vya wagalatia toka mwaka 89! Sipo mwanza.
mwanza ya henzi hizo usafiri wa mjini tuliuita express sijui nani alituletea neno daladala magari hayakua mengi kama leo lakini kwa chai maharage tulitumia saa 1 kutoka miti mirefu mpaka igoma barabara ilikua vumbi kweli tumetoka mbali
Mkuu umenikumbusha hii chai maharage. Kama sikosei ilianza safari zake Nyegezi-town mwaka 1994. Ilikuwa ikigeuzia pale karibu na geti la Nsumba Secondary.Utegi B Complex chai maharage Nyegezi-Town
Wadau wa rock city enzi zile mnakumbuka Mwanza hapakuwa na usafiri wa vipanya kama leo. Vipanya vilikuwa Mabatini na Kirumba tu lakini Igombe kulikuwa na min bus zikiitwa Toto Tundu, Mayeji na Jalijalalam, Igoma kulikuwa na Last Boy na Mkuyuni air Jordan.
mambo mpango ..coaster hiyo enzi hizo ilionekana gari ya maana sanaMambo mpango> town-nyakato.
Ngosha> hii ilikua chai maharage, town-igoma