Ghosryder
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 10,708
- 4,577
Wadau wa rock city enzi zile mnakumbuka Mwanza hapakuwa na usafiri wa vipanya kama leo. Vipanya vilikuwa Mabatini na Kirumba tu lakini Igombe kulikuwa na min bus zikiitwa Toto Tundu, Mayeji na Jalijalalam, Igoma kulikuwa na Last Boy na Mkuyuni air Jordan.
Vipi, kile kikundi cha taarabu cha Mabruki ukoma bado kipo or?