tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,896
- 19,755
Studio iliyokuwa pale miti mirefu kwaona Shyrose Bhanji ilikuwa inaitwa Lucky Photo Studio. Pale kulikuwa na bro mmoja mweupe mchaga akichana nywele zake staili ya afro hivi. Wito Studio yenyewe ilikuwa maeneo ilipo stand ya daladala za kwenda Mwaloni. Ukishuka ngazi za kutokea kituo cha polisi pale Tanganyika bus na kulipokuwa na restaurant ya Mwadeco kisha ukatize barabara studio ilikuwa kushoto mwa hiyo stand ya Mwaloni.
Sawa ni lucky studio hiyo ingine ilikua mitaa ya bamboo club