Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,400
Igombe hadi leo zile bus za DIGIDIGI zinapiga mzigo, chezea waarabu wewe
Igombe hadi leo zile bus za DIGIDIGI zinapiga mzigo, chezea waarabu wewe
Wadau wa rock city enzi zile mnakumbuka Mwanza hapakuwa na usafiri wa vipanya kama leo. Vipanya vilikuwa Mabatini na Kirumba tu lakini Igombe kulikuwa na min bus zikiitwa Toto Tundu, Mayeji na Jalijalalam, Igoma kulikuwa na Last Boy na Mkuyuni air Jordan.
mmutaje basi hata na kinshuri, au marwa lucas pembeni yake alikuwepo mafuru.N:B Mzee Kalori kwa sasa ni marehemu alifariki na kuzikwa kijijini Ruhunga Bukoba vijijini alikokuwa amenunua shamba.
Tiba
wale mabaunsa wa miaka hiyo hukumbuki hata mmoja, na wale masista duu wavaa nguo za kuhamasisha?Nakumbuka kila kitu ndugu yangu wakati huo Mkuu wa shule alikuwa ni muha fulani akiitwa Mwitila alikuwa anakuja shule akiendesha pikipiki. Mwalimu Mwombeki Mama wa kujisikia utafikiri dunia yote yeye ndiye alikuwa mwanamke peke yake bila kumsahau Mwl. Malaya aliyekuwa anafundisha muziki, Mkuburo akifundisha biology, Mdashas akifundisha Geography na wengineo. Usije kuta wewe tulikuwa darasa moja!!!!!!
Tiba
Wadau wa rock city enzi zile mnakumbuka Mwanza hapakuwa na usafiri wa vipanya kama leo. Vipanya vilikuwa Mabatini na Kirumba tu lakini Igombe kulikuwa na min bus zikiitwa Toto Tundu, Mayeji na Jalijalalam, Igoma kulikuwa na Last Boy na Mkuyuni air Jordan.
Hahah hahah kemondoo standTV PANASONIC/SONY CHOGO, GARI IKITEMBEA INAKUWA INATETEMEKA UNAKUWA HUONI VIZURI. ZILIKUWA ZINAPAKI PALE GANDHI HALL KWA PEMBENI
Ziliitwa Chai Maharage hizo Mkuu.Vp na zile za akina Lema,monica lewinski,digididi halafu kulikuwa na gari fulani kichwa lori nyuma basi.
Daah Chale Sugu nilisoma na mdogo wake darasa moja usagara s/m.Jamaa namkubwa alikua master wangu mambo ya kun-fu,gymnastics na acrobat,Chale alikua mkali sana wa haya mambo.Chale sugu kesasa yuko sengerema,ni mganga wa jadi.
Mbona unaogopa kutaja jina la hilo gari? Tulikuwa tunaliita "FISI".Vp na zile za akina Lema,monica lewinski,digididi halafu kulikuwa na gari fulani kichwa lori nyuma basi.
Wadau wa rock city enzi zile mnakumbuka Mwanza hapakuwa na usafiri wa vipanya kama leo. Vipanya vilikuwa Mabatini na Kirumba tu lakini Igombe kulikuwa na min bus zikiitwa Toto Tundu, Mayeji na Jalijalalam, Igoma kulikuwa na Last Boy na Mkuyuni air Jordan.
Kumbe nyie wote mliotoa comment mpaka sasa hivi ni wa juzi tu. Miaka ile ilikuwa hakuna cha minibus wala nini. Tulikuwa tunapanda zile peugeot za kizamani mnarundikwa kama ndizi humu. Station wagon moja ilikuwa inaweza kubeba hadi abiria 8. Zilipotoka hizo ndio zikaja express. I love Mwanza mji niliokulia.
Tiba
wasukuma mtaacha lini ushamba sijui.mpaka leo daladala halina muziki hawapandiWadau wa rock city enzi zile mnakumbuka Mwanza hapakuwa na usafiri wa vipanya kama leo. Vipanya vilikuwa Mabatini na Kirumba tu lakini Igombe kulikuwa na min bus zikiitwa Toto Tundu, Mayeji na Jalijalalam, Igoma kulikuwa na Last Boy na Mkuyuni air Jordan.