Masanja,
Hillary anataniwa kuwa ni senator toka Punjab. Yaani, Sen. Hillary Clinton, D-Punjab. Nadhani umeipata hiyo!!
Billary wame-run divisive campaign na haya ndio matokea yake, come November common interests za hawa minorities zitawarudisha kundini na ku-vote nominee wa democratic.
Immigrants na minorities wengi wana tabia ya kuto kuelewana miongoni mwao, kwasababu ya competition ya jobs na resources nyingine. Watu weusi wanaona Latino wanachukua jobs zao na kufanya pay kushuka chini. Asians wao hasira yao na weusi ni juu ya crimes, maana jamaa wana-rob sana kwenye liquor na convinience stores zao!! Mwisho wa siku, wa kulaumiwa hapa ni Billary kwa kujaribu makusudi kabisa ku-take advantage ya issues kama hizi badala ya ku-unite. Ndio maana watu waerevu, wanakwenda na Obama. its all about change, change for the best....there is no white, black or brown america, there is just one america!!. Go Obama.