...hii habari ya kweli mzee? mbona sioni hapa kwangu.Important win ya MN hiyo imekwenda kwa BO
Ebwana Mama anaongoza Arizona...thats whats up
I still can't get over MA....sijui bichwa yuko wapi usiku huu....halafu hivi na nyie mme-notice kuwa maseneta wote wa MA wana mibichwa mikubwa...?
NN,
luninga yako inaweza kuwa na "mtindio" wa ubongo, AZ ni Obama on top!!Icadon,
Huo ushindi wa MN ni sooooo big, naona chamaa ana sweep midwest na ma-south kana hana akili nzuri!!
Koba,
polepole na hilo tungi, kesho ni siku ya kazi.......waliosema, ooooh jamaa anapata kura za weusi tu wapo wapi?? nataka maelezo juu ya UT, ND, KS, CO, CT of course kuna wanugu wengi hasa Hartford na New Haven, na AZ kwani naona anaongoza nataka kusikia juu ya latino votes!!! NN unaweza ku-spin.......usiwe na wasi juu ya MA, wewe subiri delegate counts maana najua big cities hasa Boston, Cambridge, Worcester na Springfield zitakuwa zime-deliver kwa OB.
hahahahaha aisee leo ni full shangwe tu hapa yaani tunakula Greens tu. Unajua hadi Nyani Ngabu amempigia kura Obama kule GA hahahahaha.
mie nataka kusikia maelezo ya wale walosema kwamba, Obama kama Jesse...yaani atashinda black states tu!! naona wapo proved wrong, wameshindwa na kulegea. CO na AZ zinanukia kwenye column ya Obama. Lakini story kubwa hapa ni kushindwa vibaya kwa Romney.
NN, upo wapi? au "watoto wa jangwani"/ ma-kijani/heineken zinakufanya kitu mbaya?!!
Naons BO anapunguza gap MO
Nadhani MO imeshaitwa kwa Hillary, sema siamini juu ya AZ kama kweli imeenda kwa Hillary. Very interesting night..........
Naona whities wa CA wengi wamempigia Obama, wakati latinos wamempigia Clinton.