US Election Coverage 2008

US Election Coverage 2008

Kubali ulikosea kuhusu AZ...

nimekubali, nadhani ni ka-tv kangu ndio kana matege!!
Icadon
Issue Cali sio kushinda state ni kuweka gap ndogo na ku-pick delegates. lakini so far si haba, OB kaenda beyond xpectations.
 
nimekubali, nadhani ni ka-tv kangu ndio kana matege!!
Icadon
Issue Cali sio kushinda state ni kuweka gap ndogo na ku-pick delegates. lakini so far si haba, OB kaenda beyond xpectations.

Nadhani ulighubikwa tu na "ushabiki"....lol
uzuri huwa hukatai kukubali kama umekosea...

Vipi huko bichwa ametoa comment yoyote kuhusiana na kipigo cha Baraka? Lol...au kajificha?
 
So far kura za kc na stl bado hazijamalizika kuhesabiwa.

kama hivyo basi kazi ipo, maana Stl na KC wanugu ni wengi sana......ngoja nimcheck jamaa yangu in "the lou" anipe tamu tamu toka jikoni!
 
kama hivyo basi kazi ipo, maana Stl na KC wanugu ni wengi sana......ngoja nimcheck jamaa yangu in "the lou" anipe tamu tamu toka jikoni!

Acha hizo wewe.....asilimia zaidi ya 90 wamesharipoti na Baraka bado yuko nyuma
 
Hadi sasa kwa kuangalia hesabu za haraka haraka Obama anaongoza kwa namba za delegates, kwa hiyo mambo bomba tu. Naona Obama anataka kuongea sasa.
 
NN,
are you serious kumwita Obama, Osama au umekosea?? maan, kama umefanya hivyo purposely, nitakuogopa na lazima unakunywa sana haterode/ purdue juice.
Uncle Bichwa sijamsikia nadhani yupo Chicago au Beacon Hill anapiga whisky, maana hizo ndio zake...zee lile kwa mitungi, utafikiri komba!!.
 
Hadi sasa kwa kuangalia hesabu za haraka haraka Obama anaongoza kwa namba za delegates, kwa hiyo mambo bomba tu. Naona Obama anataka kuongea sasa.

Oyaaa Mazee wewe unaangalia namba gani hizo? FOX wanaonyesha Mama ana 414 wakati Osama ana 313....au labda mimi sijui kuhesabu?
 
NN,
are you serious kumwita Obama, Osama au umekosea?? maan, kama umefanya hivyo purposely, nitakuogopa na lazima unakunywa sana haterode/ purdue juice.
Uncle Bichwa sijamsikia nadhani yupo Chicago au Beacon Hill anapiga whisky, maana hizo ndio zake...zee lile kwa mitungi, utafikiri komba!!.

Hahahaha Uncle bichwa ananifurahisha sana....mwenzake Kerry vipi?
 
Aaaagh speech ya Obama leo inaboa....naona kashindwa hadi kalegea
 
NN, umenichekesha sana eti kashindwa mpaka kalegea.....
 
Hahahaha Uncle bichwa ananifurahisha sana....mwenzake Kerry vipi?

Kerry sio mtu wa tungi, yule mke wake m-mozambique mnoko sana. lakini uncle bichwa partner wake wa tungi ni senator christopher dodd wa connecticut.
unasema obama kashindwa?? basi labda neno "kushindwa" lina maana nyingine siku hizi!!
 
Alaska 20% Precincts So far Obama anaongoza 68-32%

Haya NN numbers zinaingia MO Obama ana slight lead 97%.
 
11-7 ndio kushindwa? Leo Obama yuko hometown kwa hiyo amuamua ku-chill.

Usiangalie idadi...idadi ktk siasa za Marekani haina maana sana. Kumbuka kuwa Gore alipata kura nyingi zaidi ya Bush....kumbuka hata ktk caucus za Nevada Mama alipata popular vote zaidi ya Osama lakini akaibuka kidedea ktk delegates...kwa hiyo cha muhimu hapa ni nani kaibuka kidedea ktk big prizes
 
Kerry sio mtu wa tungi, yule mke wake m-mozambique mnoko sana. lakini uncle bichwa partner wake wa tungi ni senator christopher dodd wa connecticut.
unasema obama kashindwa?? basi labda neno "kushindwa" lina maana nyingine siku hizi!!

Unajua NN sasa hivi Heineken zimeshaanza kumchukua hahahahahha kwa hiyo ndio maana anaona Obama kashindwa.

Halafu sasa MO ni Obama anaongoza, tusubiri tuone kama atai-close.
 
Back
Top Bottom