BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Nimeshangazwa sana na Obama kushinda states nyingi kuliko Hillary. Mimi nilidhani ingekuwa vice versa. Watu wengi wanaompigia Obama wanasema wanapata shauku kubwa kuona jamaa jinsi anavyoendesha kamoeni yake. Sasa unapoweza kuwapa watu wengi shauku basi hakuna wa kushindana na wewe labda Mungu tu. Obama pia ana momentum ambayo itamsaidia sana kujipatia ushindi mkubwa na hatimaye kuwa mgombea wa Democrats na Rais wa kwanza wa Marekani mweusi, huo ndio utabiri wangu...🙂