Urithi wa nyumba ya babu yenye nguvu za kiroho. Je, iuzwe hata kwa hasara, ipangishwe, ichukuliwe mkopo benki ama kifanyike kipi?

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,033
Hello wanajamvi, great thinkers.

Wiki chache zilizopita kuna babu yangu upande wa mama alifariki

Katika mali alizoacha kuna nyumba na warithi ni watoto zake akiwemo mama yangu, mama wadogo zangu wawili na wajomba zangu wawili.

Sasa tatizo linapokuja ni kwamba hakuna anaetaka kurithi hio nyumba kwa sababu nyumba hii babu alikuwa anafanya matambiko yake kulingana na tamaduni za kabila, maana babu alikuwa yupo katika koo ya kichifu

Ni nyumba yenye eneo kubwa kiasi na ipo maeneo ya mjini.

Hofu kubwa ni juu ya hayo matambiko yake aliyokuwa akiyafanya, na hata kina ndugu waliokuwa wakiishi nyumba hio kila moja kaondoka baada ya msiba kwa hofu ya hayo matambiko yake.

Sasa hapa kilichobaki ni kufanya maamuzi juu ya hii nyumba maana kila moja anaogopa kuishi humo,

je iuzwe hata kwa hasara, ipangishwe kwa wapangaji ili watuambie ama kuna kuhofia, iwekwe dhamana kwenye mkopo wa benki waiuze wenyewe au kifanyke kipi.
 
Hello wanajamvi, great thinkers.

Wiki chache zilizopita kuna babu yangu upande wa mama alifariki

Katika mali alizoacha kuna nyumba na warithi ni watoto zake akiwemo mama yangu, mama wadogo zangu wawili na wajomba zangu wawili.

Sasa tatizo linapokuja ni kwamba hakuna anaetaka kurithi hio nyumba kwa sababu nyumba hii babu alikuwa anafanya matambiko yake kulingana na tamaduni za kabila, maana babu alikuwa yupo katika koo ya kichifu

Ni nyumba yenye eneo kubwa kiasi na ipo maeneo ya mjini.

Hofu kubwa ni juu ya hayo matambiko yake aliyokuwa akiyafanya, na hata kina ndugu waliokuwa wakiishi nyumba hio kila moja kaondoka baada ya msiba kwa hofu ya hayo matambiko yake.

Sasa hapa kilichobaki ni kufanya maamuzi juu ya hii nyumba maana kila moja anaogopa kuishi humo,

je iuzwe hata kwa hasara, ipangishwe kwa wapangaji ili watuambie ama kuna kuhofia, iwekwe dhamana kwenye mkopo wa benki waiuze wenyewe au kifanyke kipi.
Taarifa haijakamilika hiyo nyumba ipo mkoa gani na ikiwezekana kapicha kidogo ndipo tutoe ushauri
 
Hello wanajamvi, great thinkers.

Wiki chache zilizopita kuna babu yangu upande wa mama alifariki

Katika mali alizoacha kuna nyumba na warithi ni watoto zake akiwemo mama yangu, mama wadogo zangu wawili na wajomba zangu wawili.

Sasa tatizo linapokuja ni kwamba hakuna anaetaka kurithi hio nyumba kwa sababu nyumba hii babu alikuwa anafanya matambiko yake kulingana na tamaduni za kabila, maana babu alikuwa yupo katika koo ya kichifu

Ni nyumba yenye eneo kubwa kiasi na ipo maeneo ya mjini.

Hofu kubwa ni juu ya hayo matambiko yake aliyokuwa akiyafanya, na hata kina ndugu waliokuwa wakiishi nyumba hio kila moja kaondoka baada ya msiba kwa hofu ya hayo matambiko yake.

Sasa hapa kilichobaki ni kufanya maamuzi juu ya hii nyumba maana kila moja anaogopa kuishi humo,

je iuzwe hata kwa hasara, ipangishwe kwa wapangaji ili watuambie ama kuna kuhofia, iwekwe dhamana kwenye mkopo wa benki waiuze wenyewe au kifanyke kipi.
Hata wewe mwanajeshi umekimbia nyumba kisa mauzauza? Mngekaa kwanza kwa muda angalau muone kama kweli kuna kitu ama la.. mnauzaje nyumba kizembe
 
Hello wanajamvi, great thinkers.

Wiki chache zilizopita kuna babu yangu upande wa mama alifariki

Katika mali alizoacha kuna nyumba na warithi ni watoto zake akiwemo mama yangu, mama wadogo zangu wawili na wajomba zangu wawili.

Sasa tatizo linapokuja ni kwamba hakuna anaetaka kurithi hio nyumba kwa sababu nyumba hii babu alikuwa anafanya matambiko yake kulingana na tamaduni za kabila, maana babu alikuwa yupo katika koo ya kichifu

Ni nyumba yenye eneo kubwa kiasi na ipo maeneo ya mjini.

Hofu kubwa ni juu ya hayo matambiko yake aliyokuwa akiyafanya, na hata kina ndugu waliokuwa wakiishi nyumba hio kila moja kaondoka baada ya msiba kwa hofu ya hayo matambiko yake.

Sasa hapa kilichobaki ni kufanya maamuzi juu ya hii nyumba maana kila moja anaogopa kuishi humo,

je iuzwe hata kwa hasara, ipangishwe kwa wapangaji ili watuambie ama kuna kuhofia, iwekwe dhamana kwenye mkopo wa benki waiuze wenyewe au kifanyke kipi.
Chukulieni mkopo bank halafu kwa makusudi mna-default kwenye marejesho yenu, mwisho wa siku bank inaiuza..hapo automatically tayari mnakua mmeshamuachia msala mnunuzi.. (natania bana).

Suluhisho la kudumu ni kumtafuta mtumishi wa Mungu wa kweli ili aikomboe nyumba hiyo kutoka kwenye hayo mapepo.
 
Hello wanajamvi, great thinkers.

Wiki chache zilizopita kuna babu yangu upande wa mama alifariki

Katika mali alizoacha kuna nyumba na warithi ni watoto zake akiwemo mama yangu, mama wadogo zangu wawili na wajomba zangu wawili.

Sasa tatizo linapokuja ni kwamba hakuna anaetaka kurithi hio nyumba kwa sababu nyumba hii babu alikuwa anafanya matambiko yake kulingana na tamaduni za kabila, maana babu alikuwa yupo katika koo ya kichifu

Ni nyumba yenye eneo kubwa kiasi na ipo maeneo ya mjini.

Hofu kubwa ni juu ya hayo matambiko yake aliyokuwa akiyafanya, na hata kina ndugu waliokuwa wakiishi nyumba hio kila moja kaondoka baada ya msiba kwa hofu ya hayo matambiko yake.

Sasa hapa kilichobaki ni kufanya maamuzi juu ya hii nyumba maana kila moja anaogopa kuishi humo,

je iuzwe hata kwa hasara, ipangishwe kwa wapangaji ili watuambie ama kuna kuhofia, iwekwe dhamana kwenye mkopo wa benki waiuze wenyewe au kifanyke kipi.
Nipeni mimi hiyo nyumba!
 
Mliivyo wengi hata isingekuwa na mauza mauza ningeshauri tu muuze mgawane pesa kelele ziishe za ugomvi wa mirathi.Nyumba moja warithi kibao uzeni tu .Nyumba moja yenye warithi wengi huwa pasua kichwa mbeleni.Uzeni Kila mtu agawiwe chake .Yaliyobaki sio yenu baada ya kuuza
 
Hata wewe mwanajeshi umekimbia nyumba kisa mauzauza? Mngekaa kwanza kwa muda angalau muone kama kweli kuna kitu ama la.. mnauzaje nyumba kizembe
Yaani Hadi watoto wa mzee wanamjua mzee wao vizuri maana wamekaa nae kwa miaka.. wao wenyewe wamekimbia hapo ujue huyo mzee hakuna anatania kwenye shughuli hiyo ni mbobevuu mwenye PhD yake...
Mm nashauri muiuze tu..
 
Hello wanajamvi, great thinkers.

Wiki chache zilizopita kuna babu yangu upande wa mama alifariki

Katika mali alizoacha kuna nyumba na warithi ni watoto zake akiwemo mama yangu, mama wadogo zangu wawili na wajomba zangu wawili.

Sasa tatizo linapokuja ni kwamba hakuna anaetaka kurithi hio nyumba kwa sababu nyumba hii babu alikuwa anafanya matambiko yake kulingana na tamaduni za kabila, maana babu alikuwa yupo katika koo ya kichifu

Ni nyumba yenye eneo kubwa kiasi na ipo maeneo ya mjini.

Hofu kubwa ni juu ya hayo matambiko yake aliyokuwa akiyafanya, na hata kina ndugu waliokuwa wakiishi nyumba hio kila moja kaondoka baada ya msiba kwa hofu ya hayo matambiko yake.

Sasa hapa kilichobaki ni kufanya maamuzi juu ya hii nyumba maana kila moja anaogopa kuishi humo,

je iuzwe hata kwa hasara, ipangishwe kwa wapangaji ili watuambie ama kuna kuhofia, iwekwe dhamana kwenye mkopo wa benki waiuze wenyewe au kifanyke kipi.
Ipo mkoa gani kama ni Mwanza, Kilimanjaro au Mbeya am interested ni PM.
 
Tafuta kalumanzila wa uhakika asambaratishe hayo mapepo. Kila Kona ya nyumba chimbia mabonge ya chumvi. Ongeza na yale maji ya Kaole - Bagamoyo kwa kutakasa nyumba.
 
Kwan hiyo nyumba ina shida yoyote kwa wanaokaa au mna wasiwasi tuu kwa matambiko ya babu
 
Back
Top Bottom