Urais wa Samia kwa sasa hauna maana yoyote ile wala faida yoyote ni utumwa tofauti alivyo anza ndio ulikuwa urais asione aibu kujiuzuru

Urais wa Samia kwa sasa hauna maana yoyote ile wala faida yoyote ni utumwa tofauti alivyo anza ndio ulikuwa urais asione aibu kujiuzuru

Genius Man

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
3,560
Reaction score
7,914
Urais wa Samia kwa sasa hauna maana yoyote ile wala faida yoyote zaidi ya utumwa tofauti na alivyo anza ndio ulikuwa urais asione aibu kujiuzuru.

Asione haibu kusema nimechoka watanzania walinikataa nimelazimisha lakini nimechoka hata miezi minne haijaisha lazima aseme nimeacha mauwaji na utekaji wa maiti za watanzania.

Sasa anaishi kama kasongo yeye anakimbia kimbia kisha anaingia kwenye vishimo kujificha yeye sio kasongo ni binadamu.
 
Urais wa Samia kwa sasa hauna maana yoyote ile wala faida yoyote zaidi ya utumwa tofauti na alivyo anza ndio ulikuwa urais asione aibu kujiuzuru.

Asione haibu kusema nimechoka watanzania walinikataa nimelazimisha lakini nimechoka hata miezi minne haijaisha lazima aseme nimeacha mauwaji na utekaji wa maiti za watanzania.

Sasa anaishi kama kasongo yeye anakimbia kimbia kisha anaingia kwenye vishimo kujificha yeye sio kasongo ni binadamu.
Mbona uko vzr tu
 
Samia na huyo muuwaji mwenzie museven wote ni dead walkers, hawana uhalali wa kuongoza hizi nchi, na kwakua wamekaidi na kushupaza shingo acha maisha yaendelee, lkn kama mjuavyo historia hujirudia, hakuna jipya duniani.

Wataanza kumalizana wao kwa wao baada ya kutofautiana mitazamo na kimaslahi mwishoe wataanza kurogana, kuwindana na kutoana roho Wao kwa wao huku baadhi yao wakivujisha siri za madudu yao kutafuta huruma ya wananchi.

Alichokifanya polepole watakuja kukifanya wengine, haitoishia hapa.

Maisha yaendelee
 
Urais wa Samia kwa sasa hauna maana yoyote ile wala faida yoyote zaidi ya utumwa tofauti na alivyo anza ndio ulikuwa urais asione aibu kujiuzuru.
Hajiuzuru mtu hapa, juhudi iliyofanyika kubaki madarakani ni kubwa sana ukilinganisha na kazi ya kubaki mpaka 2030. Wapambe wote wa upinzani wameishiwa, Mangi K- teke kule, Sarungi yuko hoiiii na wafadhili wameamua kuungana na Samia. Poleni.
 
Urais wa Samia kwa sasa hauna maana yoyote ile wala faida yoyote zaidi ya utumwa tofauti na alivyo anza ndio ulikuwa urais asione aibu kujiuzuru.

Asione haibu kusema nimechoka watanzania walinikataa nimelazimisha lakini nimechoka hata miezi minne haijaisha lazima aseme nimeacha mauwaji na utekaji wa maiti za watanzania.

Sasa anaishi kama kasongo yeye anakimbia kimbia kisha anaingia kwenye vishimo kujificha yeye sio kasongo ni binadamu.
Mali si kitu kwenye uhai wa mtu asiye na hatia.
 
Hivi kabla ya madaraka, raisi aliwahi kuwa mwimbaji pia? Naona kama huyu aliyekumbatiwa na Juma Nature ni yeye au wanafanana tu?

1770503516028.png
 
Back
Top Bottom