MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,280
Joyce Kiria ni Mke halali wa DJ Nelly, huyu Henry Kilewo amedandia tu, ndoa ya kilutheri haivunjiki mpaka mmojawapo atangulie kwa MOLA.
Katika hata huyuJoyce Kiria kapotoka sana. Hakuna mwenye ushahidi wa kumnyooshea kidole Flora au Mumu wake. Kuingiza uanaharakati katika mambo ambayo hayajathibishwa pasi na shaka ni jambo la hatari sana.
Hata hivo Joyce unajitahidi kutoka kuwa mfanyakazi wa kazi za ndani hadi kuwa mwandishi wa habari, ni hatua kubwa sana!!!
Lakini vilevile sitegemei uwe na mchango wa mawazo wa maana zaidi ya huo ulioutoa!!!
Acha uongo mnafki wewe
joyce kiria anaweza kutuambia kwanini alitemwa na dj nelly? kwanin aliachwa na lema? akitoa majibu ndiyo tuanzie hapo
Atakuwa kainama kainua masaaabuuurrri yake akiwa mtupu akaanza kufikiri kanjanja namba moja anatetea haki za kijinsia akiamini kwamba mtua kiongelea jinsia anaongelea mwanamke she is a mere fool
Ni katika mtandao wake wa facebook anahisi mr anapenda beki tatu