Ndugu zangu, si vyema kumtaja mtu jukwaani ama kumshambulia mtu direct kusiko na sababu za kutosha, Joyce ni dada ninaemheshmu kwa jinsi alivyosimama kidete kutetea haki za wanawake pia ni kamanda anaependa haki kutendeka, ki ukweli namkubali sana. Hi leo ameniacha solemba, asubuhi aliweka fb post ya kumbukumbu ya Mh Kileo(kamanda wa ukweli) alipokuwa amekamatwa kwa kosa feki la ugaidi, alionesha ni kwa jinsi gani anavompenda mume wake hasa hasa kipindi hicho kigumu, kwa hili nilimsifu sana tena namimi ilikuwa ni siku ya kumbukumbu kwani kilichokuwa kimetendeka haikuwa haki(kulingana na hukumu ya mahakama). Kibaya sasa juu ya huyu dada ni pale alipokosa utu, ubinadamu, na hata kuingilia mahakama juu ya kesi ya Mr&Mrs Mbasha, alivyoandika fb aliandika ktk namna ya kuonesha kuwa wanaume si watu, na wanastahli kufungwa maisha, kibaya zaidi ameandka as if yeye anaijua zaidi ndoa ya Flora. Je, anajisikiaje mume wa mwenzake kufungwa jela? Je, amepoteza kumbukumbu ya kukamatwa kwa mume wake kunavouma? Je, amejuaje kuwa Mbasha ndie mwenye kosa? Je, ni kweli ana lengo la haki sawa ama ukandamizi kwa wanaume? Wana jf simu yangu ndogo kwani ningepest chote alichoandka, My take tusipende kuingilia ndoa za watu hasa hasa kwa wenye hathi kubwa kama yake!