ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,141
- 951
Kwa Emmanuel Mbasha kamhukumu kabisa kwa kuthibitisha kwamba kamdhalilisha mwanamke. Kwa Flora wanachosema watu kuwa mwanamke -------- ataivunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe yeye anaona hiyo ni kauli ya kuingilia utu wa mwanamke...huyu Kiria anajua asemalo au ndio kukurupuka ki Vicky Kamata kutaka kurekebisha nyota bila kufanya chunguzi??...haoni na yeye mwenyewe alivyoingilia Mahakama kwa kumtia hatuani bw.Emmanuel Mbasha??