UPDATES: Mapokezi ya Dr. Ulimboka na yaliyojiri

UPDATES: Mapokezi ya Dr. Ulimboka na yaliyojiri

Ulimboka, pole kwa kila kitu, vuta subira ukweli wa mambo utajulikana
 
Vasco Da Gama, Kova, Ahmed Msangi na Ramadhan Ighondu waache kufunga mwezi mtukufu wa Ramadhan. Pinda naye aache kupokea Ekaristi takatifu Kanisani kabisa.
hivi vasco anafunga ramadhan??? naona atakatiza mfungo! alaaniwe ZOKA masterminder wa haya mauaji! wataumbukajeeee leo??? welcome back dr. ulimboka!
 
kwa wale tulioko maeneo ya airport tuwekeeni updates za mapokezi ya dr ulimboka.
kwa wale mlioko ndani kabisa ya vyombo vya usalama pia msisite kutupa updates za hali ya mambo.

UPDATES:dr ulimboka anatarajiwa kutua saa nane mchana huu
Dr Ulimboka ameshukuru Mungu wananchi,wanaharakati na madaktari.
Amesisitiza kwa sasa yuko fit na anaweza kufanya chochote!
Hakuna kinachoshinda sala. Tuzidi kumwombea Mungu amlinde. Hao waliotaka kumwua watakufa wao kwa mahangaiko ya moyo. Thank you God! Thank you Jesus!
 
Hakuna cha ku cross the line, kijitu kimoja kicheze na wagonjwa wetu maelfu kwa maelfu, halafu kitiwe adabu nyie mkionee huruma? roho za wangapi zimepotea kwa kukosa huduma ya madaktari. huyo hafai kuonewa huruma hata kidogo. Tena nasema waliomtandika, yeyote awae, kafanya kazi nzuri sana.

Yeye haja cross the line? anapohamasisha madaktari kugoma?

Huyo hukumu yake ni kifo, ashukuru mungu hao vijana walikuwa wanamtia adabu tu na hawakutaka kummaliza.

Atarudia?

a sign of poor intelligence... we forget how many have died due to the missed opportunities that Drs. want

sadly, one crrap doent even know that Ulli alone would never influence anyone kugoma, it was the Drs. needs that pushed for the course

BTW, since when you started being part of the system??? au ni hiyo kutumuwatumwa ishakupa ego?
 
Hakuna cha ku cross the line, kijitu kimoja kicheze na wagonjwa wetu maelfu kwa maelfu, halafu kitiwe adabu nyie mkionee huruma? roho za wangapi zimepotea kwa kukosa huduma ya madaktari. huyo hafai kuonewa huruma hata kidogo. Tena nasema waliomtandika, yeyote awae, kafanya kazi nzuri sana.

Yeye haja cross the line? anapohamasisha madaktari kugoma?

Huyo hukumu yake ni kifo, ashukuru mungu hao vijana walikuwa wanamtia adabu tu na hawakutaka kummaliza.

Atarudia?

Sometimes I wonder the way some people reason!
 
By zomba Hakuna cha ku cross the line, kijitu kimoja kicheze na wagonjwa wetu maelfu kwa maelfu, halafu kitiwe adabu nyie mkionee huruma? roho za wangapi zimepotea kwa kukosa huduma ya madaktari. huyo hafai kuonewa huruma hata kidogo. Tena nasema waliomtandika, yeyote awae, kafanya kazi nzuri sana.

Yeye haja cross the line? anapohamasisha madaktari kugoma?

Huyo hukumu yake ni kifo, ashukuru mungu hao vijana walikuwa wanamtia adabu tu na hawakutaka kummaliza.

Atarudia?
!

Our attention is all towards Dr. Ulimboka as a person. We care much less now about what you are thinking "enermy", no matter what your intentions were he is back. It does not matter you injured him he is recoverd and in good shape, whether you wanted to kill him, he is alive. As dark as your intentions may be and as angry as you are to see him, it all shows that you do not have it all in your hands. There is someone greater and he decides the final outcomes. As a matter of fact even those who thought they were strong they now realize their weakness. You are saying all that because you are afraid and it brings back the pain to see him back. FYI, it is time for others to rejoice, so stay out and watch.

Our attention is towards Dr. Ulimboka, we are just happy he is back and doing so well. He is still a citizen of our country and free to do what he wishes. Dr. we were hurt when they treated you so badly, but now we are releaved you came and look much better. We want the best for your, May God give you life and future. Just take your time Sir. relax and see what life has for you. God will protect you.
 
Kurudi na kuimarika kwa Dr. Ulimboka ni mwanzo wa Kuandika Dibaji ya kupinga na kuweka hadharani ukiukaji wa haki za binadamu na utetezi wa haki husasani hapa Tanzania.Ubabangida,Ubabazi,utimbakwili na ulikizwaji wa vyombo vyetu vya usalama unaelekea Kibo na Mawenzi.Hakika kila mtanzania na umoja wa mataifa unashahuku ya kujua Kibo na Mawenzi kuna kivutio gani. Madhara ya kutofikiri kwa masafa marefu na badala yake kufikiri kwa masafa mafupi kwa vyombo vya usalama matokeo yake ni kupatikana kwa urahisi na kuonekana kwa uwazi na kwa baadhi ya maeneo ya matendo haya.Ingalikuwa vyombo hivi vinapatikana kwa masafa marefu hakika heshima iliyoje ya kutukuka na kutambuliwa na watu wa Kimataifa. Kuubadilisha ukweli na kuwa uadui matokeo yake ni kwamba hata ukimuleta mtu mwenye maguvu makubwa kama Tisoni au Undertaker watashindwa kuuupindisha ukweli,maana siri ya ukweli daima unyoooka .
 
a sign of poor intelligence... we forget how many have died due to the missed opportunities that Drs. want

sadly, one crrap doent even know that Ulli alone would never influence anyone kugoma, it was the Drs. needs that pushed for the course

BTW, since when you started being part of the system??? au ni hiyo kutumuwatumwa ishakupa ego?
Who does not know what the doctors wanted and who is behind them? They wanted to fill their bellies first and foremost and let the ill suffer and die in misery. That is a no no no no.

We will not tolerate the ****, let him be a lesson to anyone who plays with our sick.

Atarudia?
 
zomba, in this mission to teach him a lesson, you have failed miserably! Hata mseme nini that is the fact.

The fact is, he learned his lesson. Ask him, Atarudia? au wewe kachukuwe nafsi yake, unangoja nini?
 
God our father who loves us all equally I come before you with the word of thanksgiving for taking good care of Dr Ulimboka. Surely you are faithful God for you always keep your word as you said. "When you pass through the waters, I will be with you; and when you pass through the rivers, they will not sweep over you. When you walk through the fire, you will not be burned; the flames will not set you ablaze" (Isaiah 43:2).
 
Ndugu yangu Zomba, Unahitaji maombi ya deliverance au ukapungwe hayo majini yaliyokufunga na kukupa roho isiyokuwa na chembe ya utu! kha! nyinyi ndo wanyonyaji wa damu za watanzania.!

Yule anaeshinikiza migomo na kutoa roho za Watanzania walio vitandani wanaumwa na wanaoteseka kwa kutafuta matibabu wasiyapate eti kwa ajili ya mafao yanayoshinikizwa na kidudu mtu fulani mnamuona wa maana? sasa hapo shetani ni nani? jiulize! mna macho lakini hayaoni, mna masikio lakini hayasikii.

Halafu huyo huyo mnaemuona wa maana, huyo huyo ndiye alichombezwa kwa rushwa, akaingia mkenge. kwi kwi kwi teh teh teh! kuweni wa kweli na mueleze kuna mgomo unatatuliwa bar?
 
Hakuna mtakalosema litaweza kuhalalisha ukatili huu

Atarudia? hilo ndio swali la msingi.

Nani aliyempa uhalali wa kushinikiza mgomo wa madaktari> nani aliyempa uhalali wa kwenda ku "negotiate" mgomo bar?
 
Back
Top Bottom