KALYOVATIPI
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,414
- 199
Yani mngeacha malumbano mngejielekeza kwenye kuapload picha sisi tulio st.johans huku texas tungepata taarifa full.
The fact is, he learned his lesson. Ask him, Atarudia? au wewe kachukuwe nafsi yake, unangoja nini?
Hawa wauwaji kweli ITV, STAR TV na Chanel ten imekuwa habari ya kwanA TBC hata muktasari hakuna kama sio wahusika ni nini
Rama yupo wapi??!!
Sasa tumpeleke dr.ulimboka pale MOI kuna OC-CID wa kawe tukafanye gwaride la utambulisho
Swali la msingi; Atarudia? kama harudii, somo limemtosha. Au?
Una roho mbaya wewe kupe! Yawezekana wewe ni mmoja wa wale waliomteka na kumtesa. Unamwita mwenzio marehemu mtarajiwa wewe una mkataba na Mungu kuwa utaishi milele hapa duniani? Utatangulia wewe.
karibu bongo
issue yako ipo mahakamani na please hutakiwi kusema chochote kile kwa kesi iliyopo mahakamani maana kusema tu ni kuingilia mhimili wa mahakama