UPDATES: Mapokezi ya Dr. Ulimboka na yaliyojiri

UPDATES: Mapokezi ya Dr. Ulimboka na yaliyojiri

Time to shame the devil! A hearty wellcome home dr. Ulli; take heart in the fact that hakuna mabadiliko (read mapinduzi) yasiyokuwa na wahanga! your blood and pain will not go in vain, karibu sana mwanakwetu, Dr Ullimboka mashujaa hawapewi pole; wewe ni shujaa, uliteguka ukaumia na sasa umerudi mapambano bado ni magumu, kamata tena rungu, mkuki na mshale uingie uwanjani. best wishes
hakuna aliyetegemea mapokezi ya namna hii hata kidogo.bado kamanda Ulimboka ni mwiba kwa serikali,tusubiri tuone!
 
Ndugu yangu Zomba, Unahitaji maombi ya deliverance au ukapungwe hayo majini yaliyokufunga na kukupa roho isiyokuwa na chembe ya utu! kha! nyinyi ndo wanyonyaji wa damu za watanzania.!

Enhee, aelezee alikwenda kupokea rushwa usiku au ilikuwaje? ana mengi ya kujibu. Maan kuitwa bar usiku eti mkaongee kuhusu mgomo na yeye anakwenda tu? haiingii akilini unles kulikuwa kuna element za rushwa.

Jamaa waliompa kichapo walifanya kazi nzuri sana, artistically, kichapo cha maana bila kumtoa roho. Ilikuwa ni kumshikisha adabu tu ajuwe na wagonjwa wanaumwa vipi. Naona atakuwa sasa kaelewa kuumwa ni nini.

Nna uhakika ataufyata.
 
Ulimboka karibu sana nyumbani! Mungu yu nasi dhalimu wote wataumbuka tu siku si nyingi
 
duuuuu jamani kweli mungu si athman,
the fate of stupid leadership is almost at the end sasa walio mkosakosa nadhani watakuwa wamesha fungasha vilago mahali pao pa kazi ama wamehamishwa vituo vya kazi. Binafsi Namshukuru M.Mungu kwa kuwaonyesha hawa mafeduri kuwa kama mtu siku zake hazijafika hata kwa bomu hafi, na hiyo inaendelea kuwa aibu kwa kichwa cha CCM na ccm Yenyewe
Thanks God :israel::israel::israel::israel::israel::israel:
 
Usiogope Mungu yupo pamoja nawe, afya yako ni chachu katika kuboresha sekta ya afya nchini.

Umerejea muda muafaka, sasa hebu nawe "futurisha" na uweke wazi ukweli ili Watanzania wapate kuwa huru.

So long Dr. Ulimboka!
 
Nape kaja na utumbo wake ili kuzima mapokezi ya Dr. mi nimemshtukia mapemaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Dor Uli ni mmoja wa wapigania haki ambao wanakumbwa na Hali hii, hawawezi kuacha kupigania haki kwa kuogopa Polic,usalama wa Taifa,maji ya kuwasha na mabomu ya kutoa machozi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hatutaacha kupigania haki mpaka kieleweke tena kamanda ULI ungana na CDM mapema ili nguvu ya umma itambue nini maana kusema; SAUTI YA WENGI KTK KWELI NI SAUTI YA MUNGU!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Dr karibu tena katika nchi yetu ya amani na upendo.
 
Aibu kubwa sana kjwa watu wote wanaotaka tuende mbele kwa kutafuta njia za mkato ili kumaliza matatizo yanayotukabili. Dr is sound and safe!
 
Kwa kweli kama wakijaribu tena kumdhuru mbona patachimbika bila hata jembe...!!

Na nitawaona hawana akili kabisa. Licha ya hivyo, sitashangaa kabisa kama wakijaribu tena kwa sababu sidhani kama wana akili kihivyo.

Nyani Ngabu, watu wengine wakiwa wanajua wapi silaha zinahifadhiwa wanaona wamemaliza mambo yote kwenye dunia hii. By the way, wengi wanaosema wana uwezo mdogo sana wa kufikiria kwahiyo wanaweza kabisa kufanya.
 
Hakuna cha ku cross the line, kijitu kimoja kicheze na wagonjwa wetu maelfu kwa maelfu, halafu kitiwe adabu nyie mkionee huruma? roho za wangapi zimepotea kwa kukosa huduma ya madaktari. huyo hafai kuonewa huruma hata kidogo. Tena nasema waliomtandika, yeyote awae, kafanya kazi nzuri sana.

Yeye haja cross the line? anapohamasisha madaktari kugoma?

Huyo hukumu yake ni kifo, ashukuru mungu hao vijana walikuwa wanamtia adabu tu na hawakutaka kummaliza.

Atarudia?

zomba, in this mission to teach him a lesson, you have failed miserably! Hata mseme nini that is the fact.
 
serikali imepoteza uelekeo.kama system yetu imeshindwa kumpoteza mtu mdogo kama ulimboka jee itaweza kumshughulikia mtu wa watu dkt slaa?hii ni aibu ya mwaka kwa serikali yetu.
sasa naamini hata mimi kizee ninaweza kufanya tukio la ajabu na hakuna wa kunizuia.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
marehemu mtarajiwa mwache aje kuaga kwa mara ya mwisho

Una roho mbaya wewe kupe! Yawezekana wewe ni mmoja wa wale waliomteka na kumtesa. Unamwita mwenzio marehemu mtarajiwa wewe una mkataba na Mungu kuwa utaishi milele hapa duniani? Utatangulia wewe.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom