UPDATES: Mapokezi ya Dr. Ulimboka na yaliyojiri

UPDATES: Mapokezi ya Dr. Ulimboka na yaliyojiri

Enhee, aelezee alikwenda kupokea rushwa usiku au ilikuwaje? ana mengi ya kujibu. Maan kuitwa bar usiku eti mkaongee kuhusu mgomo na yeye anakwenda tu? haiingii akilini unles kulikuwa kuna element za rushwa.

Jamaa waliompa kichapo walifanya kazi nzuri sana, artistically, kichapo cha maana bila kumtoa roho. Ilikuwa ni kumshikisha adabu tu ajuwe na wagonjwa wanaumwa vipi. Naona atakuwa sasa kaelewa kuumwa ni nini.

Nna uhakika ataufyata.

Huna adabu!
 
POLE SANA NDG. ULIMBOKA.Mungu hakupenda ufe bali wahuni wa nchi hawakutakii mema.Kwa macho na zungumuza yate baada ya kupumzika ili yaliyakupata yasije mpata mwingine .MUNGU ASHUKURIWE. AMINA.
 
There are currently 768 users browsing this thread. (206 members and 562 guests)

 
Ndio maana eti wakamuona TIDO MHANDO sio mtendaji anayewafaa ccm,hawezi ficha madhambi yao
 
Nape alikuwa pale mnazi mmoja chumbani akibubujikwa na machozi baada ya kuona Dr ni mzima
 
Umeeleweka ila next time umuombe mtu akuandikie.
 
Watangaze waone! Kama mkurugenzi atakua na kazi ifikapo kesho asubuhi.
 
There are currently 715 users browsing this thread. (207 members and 508 guests)
:A S-coffee:

mtoto wa kigogo aliyesababisha mchezaji wa APR aende Yanga badala ya Simba, sio siri mna raha mnaiba bila kubugudhiwa
 
hatuna budi kumshukuru mungu,kwani yeye ndie hupanga nakuamua lipi liwe na lipi lisiwe, nasi wanadamu,mfano Dr ulimboka.karibu sana Dr hatutegemei ya mwakiembe mungu anajua na mungu atanilipia.wao wamemwaga mboga wewe mwaga ugali.
 
yaani inaonyesha dhahiri kwamba serikali itakuwa IMEHUSIKA KWA NAMNA MOJA AU NYINGN TUANDAMANE NCH NZIMAAA,
 
Mungu ni muweza,walikuwa wanashindana na matakwa ya Mwenyezi Mungu kwa udhalimu wao!
 
Enhee, aelezee alikwenda kupokea rushwa usiku au ilikuwaje? ana mengi ya kujibu. Maan kuitwa bar usiku eti mkaongee kuhusu mgomo na yeye anakwenda tu? haiingii akilini unles kulikuwa kuna element za rushwa.

Jamaa waliompa kichapo walifanya kazi nzuri sana, artistically, kichapo cha maana bila kumtoa roho. Ilikuwa ni kumshikisha adabu tu ajuwe na wagonjwa wanaumwa vipi. Naona atakuwa sasa kaelewa kuumwa ni nini.

Nna uhakika ataufyata.
huu mwezi wa toba zaidi ya kushiba futari naona hauna manufaa mengine kwako...roho mbaya/chuki ndiyo kwanza vinaongezeka...
 
hapo ndipo upande wanausimamia tbc unapodhihirika ni wapi,habari yenye tension inayoiharibia serikali kwao sio issue,ndo ujue kwa nn tido muhando alisepeshwa pale
 
xo nice 2've u again in dis land of tanganyika, may God bless u and keep u alwayz. Amen
 
Naombeni kujua hivi hawa wahanga huko wanakotibiwa huwa wanaulizwa kilichosababisha madhala yao!
 
Enhee, aelezee alikwenda kupokea rushwa usiku au ilikuwaje? ana mengi ya kujibu. Maan kuitwa bar usiku eti mkaongee kuhusu mgomo na yeye anakwenda tu? haiingii akilini unles kulikuwa kuna element za rushwa.

Jamaa waliompa kichapo walifanya kazi nzuri sana, artistically, kichapo cha maana bila kumtoa roho. Ilikuwa ni kumshikisha adabu tu ajuwe na wagonjwa wanaumwa vipi. Naona atakuwa sasa kaelewa kuumwa ni nini.

Nna uhakika ataufyata.
najua umeumizwa sana na tukio la leo.ni vyema ukazoea kwani matukio ya namna hii yatakuwa mengi kabla ya 2015.
 
Back
Top Bottom