Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,138
- 7,398
ha ha mwenyezi mungu uliye juu,tunashukuru sana kwa kumsimamia na kumrudisha salama mpigania haki za wanyonge.ameen
mwakyembe aliongea nini aliporudi?
binaadam anaejua baada ya kuzaliwa ni kifo kinafuata,lkn c binadam kuua roho ya mtu ungali nawe wangoja kufa.prove that shame to u're boss whom u work on b/halfNi kweli walimng'oa kucha pamoja na meno..
wameumbuka sasa wape pole,tunausongo na nyie bobi ile sana tu.Ni kweli walimng'oa kucha pamoja na meno..
.....Kabla hajaanza kuongea na waandishi wa habari, natamani nae aseme tusome ZABURI NGAPI?
kwa wale tulioko maeneo ya airport tuwekeeni updates za mapokezi ya dr ulimboka.
kwa wale mlioko ndani kabisa ya vyombo vya usalama pia msisite kutupa updates za hali ya mambo.
UPDATES:dr ulimboka anatarajiwa kutua saa nane mchana huu
Enhee, aelezee alikwenda kupokea rushwa usiku au ilikuwaje? ana mengi ya kujibu. Maan kuitwa bar usiku eti mkaongee kuhusu mgomo na yeye anakwenda tu? haiingii akilini unles kulikuwa kuna element za rushwa.
Jamaa waliompa kichapo walifanya kazi nzuri sana, artistically, kichapo cha maana bila kumtoa roho. Ilikuwa ni kumshikisha adabu tu ajuwe na wagonjwa wanaumwa vipi. Naona atakuwa sasa kaelewa kuumwa ni nini.
Nna uhakika ataufyata.