UPDATES: Mapokezi ya Dr. Ulimboka na yaliyojiri

UPDATES: Mapokezi ya Dr. Ulimboka na yaliyojiri

Tunaombeni picha jamani mliokuwepo hapo kumpokea ndugu yetu Uli....
 
kazi walishamaliza hakuna kilichobaki ganda tupu hilo. kama waliweza kupunzika naye usiku kuja msituni . wakamngoa meno ,wakamchomoa kucha , wakamla tigo etc . sasa nini kingine hawajamfanyia . mshaulini tu awe anahudhulia kanisani na aache pombe.

mkuu hujamtendea haki dr. ulimboka tena ikibidi umuombe radhi maana bila shaka mungu amemponya na mungu huyo huyo anaweza kuyageuza maneno yako ya matusi na ya uwongo yakakutokea wewe au pia kama wewe ulishawahi kuliwa tigo usidhani kila mtu hufanyiwa hivyo! shetani wa fikra wewe.
 
Aiseeeee baba yangu nimepiga picha nyingi sana naomba mnifundishe jinsi ya kuweka nimepiga na simu then hapo nilipo natumia simu
 
mkomboaji au muuaji?
Ukijua sababu ambazo zimepelekea Rais Mwai Kibaki (yule Rais wa Kenya) kuleta ndege ya kijeshi usiku wa manane ili kuwahamisha raia wa Kenya majeruhi wa ajali ya basi kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwenda nchini mwao ndio unaweza kupata jibu kama Dr Ulimboka ni mkomboaji au muuaji. Au nani muuaji kati ya Dr. Ulimboka na Dr. Dr. Dr. Dr. JK.
 
Na kama mnamhitaji ahmed msangi yuko ubalozi wa uswisi anakula bata na vile vile mama yake yuko hoi kwenye hospital ya kariuk pale victoria
 
JF Bana hukawaii baadaye kuambiwa Hii Habari ni ya Kizushi ha ha ha (Joke)
 
Mlioko uwanjani hivi dr Uli... bado yuko mapokezi au kashaenda zake kupumzika?
 
kazi walishamaliza hakuna kilichobaki ganda tupu hilo. kama waliweza kupunzika naye usiku kuja msituni . wakamngoa meno ,wakamchomoa kucha , wakamla tigo etc . sasa nini kingine hawajamfanyia . mshaulini tu awe anahudhulia kanisani na aache pombe.

Mungu wa Israel akupatilize kwa haya maneno yako.
 
Kuna tetesi kwamba huyu kamanda wetu anapigiwa magoti na serikali (Ikulu) kwamba pindi atakapozungumza, asitaje kwamba Ikulu yahusika kutekwa na kupigwa kwake, kwamba amkane Rama. Nadhani kuna namna alivyotayarishiwa kujenga hoja hii.

Inasemekana mpango huu unaratibiwa na Mzee Mengi, kwani kama mnavyofahamu Mengi ametoa mchango mkubwa sana kifedha kwa ajili ya matibabu ya Dr Ulimboka. halafu pia inafahamika jinsi Mengi anavyomuabudu JK.

Kuna mambo mawili hapa: Ulimboka akikubali mpango huo, basi atakuwa amejimaliza, kwani TISS wataogopa kwamba kuna siku anaweza kuropoka na kusema yaliyo ukweli. Hivyo watahakikisha haishi muda mrefu.

Pili, bora aseme lile la ukweli kwamba Ikulu ilihusika kwani atakuwa amejiwekea kinga ya kutomalizwa maisha yake -- TISS wataogopa kwani kidole kita-point kwao kwamba ni wahusika wa kifo chake kwa kuwa atakuwa amewaumbua.

Nakiri tena hizi ni tetesi, lakini ni very plausible scenario.
 
Back
Top Bottom