UPDATES: Mapokezi ya Dr. Ulimboka na yaliyojiri

UPDATES: Mapokezi ya Dr. Ulimboka na yaliyojiri

Enhee, aelezee alikwenda kupokea rushwa usiku au ilikuwaje? ana mengi ya kujibu. Maan kuitwa bar usiku eti mkaongee kuhusu mgomo na yeye anakwenda tu? haiingii akilini unles kulikuwa kuna element za rushwa.

Jamaa waliompa kichapo walifanya kazi nzuri sana, artistically, kichapo cha maana bila kumtoa roho. Ilikuwa ni kumshikisha adabu tu ajuwe na wagonjwa wanaumwa vipi. Naona atakuwa sasa kaelewa kuumwa ni nini.

Nna uhakika ataufyata.

Too low my friend!

TUMBIRI (PhD, University of HULL, HULL City - United Kingdom),

tumbiri@jamiiforums.com
 
:spy: Bado wapo kazini. Muda si mrefu "kamanda" Ulimboka atakuwa "msaliti" Ulimboka.
 
Ni jambo la kumshikuru mungu, na wote waliokuwa wanajiuliza maswali meeengi wawe na subira tu muda muafaka ukifika Dr. atafunguka kwa ukweli, hii ni Part Two ya Movie yenyewe!
 
watanzania hatutakaa tuchukie mbona yamefanyika makubwa kuliko la ulimboka tukaishia kuchekacheka tu kama vasco wetu siku zikasonga kama kulianzisha ilikuwa siku ile alipookotwa mabwepande leo ameshapona ndio tukasirike acha kujidanganya nachelea kusema sisi watanzania ni wapole zaidi ya kondoo jike!

Ikithibitika Ikulu Imehusika basi Bunge lipitishe hoja ya kutokuwa na Imani na Raisi. Nchi haiwezi kuongozwa na mtu anayevumilia au kuidhinisha mauaji ya raia.
 
Mwishiwa Supika, Kuhusu utaratibu,
1. "Napenda kukuarifuni kuwa yule "Joshua Mlundi" ataibuliwa hivi karibuni ili kuonesha 'kesi" iko mahakamani na mtu awaye yote asiongelee suala hili".
2." Kuhusu MtotoHalisi, naye hataliona Jua kwa mvua kama mbili hivi". Hii ni kwa sababu ANAYAJUA MASTORI YOTE YA Rama vs Mlundi, na hapa Kovu hataki!
 
hivyi ile tume huru niliyosikia wanaharakati wanashinikiza iundwe iliundwa au serikali iliahirisha baada ya kamanda mkurupukaji kutuletea kichaa wa kenya ndo alomteka ulimboka. serikali yetu bwana wanaanda movie ile inaanza kusambazwa tuu sterling anajitoa ahusiki na wala hajawahi kufanya movie na kudai afanye movie ILI IWEJE
 
SERIKALI ICHEZEE WATU LAKNI ISIMCHEZEE MUNGU....hah...!!
HE IS NOW REGARDING HIMSELF AS GOD...dah.
Sasa huyo serekali atachomwa moto wa jehanum milele AU?
 
God bless Dr!Mheshimiwa zaidi ya wabunge na wale wa ikulu,Dr ULIMBOKA!Hakika Mungu ni mkubwa
 
Akiuibua tena Mgomo wa madaktari kwakweli atastahili kuingizwa kwenye records za Guinness!!
 
binaadam anaejua baada ya kuzaliwa ni kifo kinafuata,lkn c binadam kuua roho ya mtu ungali nawe wangoja kufa.prove that shame to u're boss whom u work on b/half

Mkuu sikuelewi unataka kusema nini?
 
wewe vipi aeleze kila kitu hiyo haiwezekani,unataka aeleze hadi ule mchezo wa kijinga
Pole sana daktari Ulimboka, sasa eleza kwa uwazi bila kumwogopa yeyote kuhusu kilichotokea msituni na wahusika wote ulioweza kuwatambua.
Liwalo na liwe, kama noma na iwe noma. Hakuna cha upepo tu utapita bali ni KIMBUNGA KITAEZUA MAPAA NA KUBOMOA MAJUMBA.
 
Too low my friend!

TUMBIRI (PhD, University of HULL, HULL City - United Kingdom),

tumbiri@jamiiforums.com

Eleza wewe iliyo too high ya kwenda ku negotiate mgomo bar? kwi kwi kwi teh teh teh. Ingawa inauma lakini ndio ukweli, jamaa kachombezwa akaingia kichwa kichwa, vijana wakamshughulikia, sijui kama hawajamtia vidole vya macho, maana kichapo cha usiku kucha si mchezo.

Ukifatilia posts zangu za JF nilililsema hilo humuhumu JF kabla hajala kichapo. Nilisema huyo dawa yake akamatwe atandikwe ndio atajuwa wagonjwa wanaumwa vipi. Naam, utafikiri nilikuwa natabiri, haijapita siku mbili, jamaa kachezea kichapo cha maana.

Atarudia?
 
Acha hizo! Hao walijua fika wanachokifanya. Sheria ichukue mkondo wake vinginevyo tutamsihi mungu wetu ambaye ni msikivu atoe hukumu sawa sawa na matendo yao kama hawatakiri hadharani na kutubu. Hiyo ndiyo sheria ya mungu! Tusidanganyane hapa
 
uli.JPG
 
Back
Top Bottom