haya haya wafuatiliaji kulitokea mushkeli kidogo hapa niliteleza lakini bahati nilifanikiwa kudaka nguzo kwa mguu mmoja na nikakanyaga bati kwa mkono, doo bati lilikuwa la moto kwelikweli ndio hivyo tena kazi zetu hizi wakati mwingine ina bidi kujitolea hata viungo vyako.
Shangwe na vifijo vilirindima na vinaendelea kurindima hapa uwanja wa ndege wa jnia
pale kamanda incharge sijui nimuite general dk ulimboka ama ...anyway utamalizia
alipotokeza kwa miguu yake akishuka kutoka kwenye ndege na akitembea kwa miguu
ilikuwa ngumu kujua nini kimeendelea wapo waliosema jamani mbwite wayanga ndio
anakuja ama lah..la hasha ni kamanda wetu mkuu wa kikosi
dk ulimboka on ground dk chache zilizopita;katika mahojiaano kijana amenifurahisha kwa kumtukuza mungu na kusema aliumizwa vibaya amewasamehe wote waliomtendea maana walichofikiria mungu amekwenda kufanya tofauti yake..na mwisho kuomba serikali wwaendelee kuchezsea watu lakini
wasimchezee mungu wake wa nazareth
mwisho tunakuomba uzidi kumuombea kijana wetu na mapambano bado yanaendelea na ma dk wote wanatarajia kufanya mkutano mkubwa wiki ijayo ikiwa ni pamoja na kurudi kwenye mgomo kwa ajili ya kupata haki yao n a naamini mungu atatuonyesha wazi alimfanyia haya yote dk ulimboka
mungu akutie nguvu ukipata muda dk tuonane nina kaua chako nimeogopa kukurushia jamaa wasije nitupa msitu wa mpande ..tunakupenda tuko nyuma yako kamanda usiogope
haya haya wafuatiliaji kulitokea mushkeli kidogo hapa niliteleza lakini bahati nilifanikiwa kudaka nguzo kwa mguu mmoja na nikakanyaga bati kwa mkono, doo bati lilikuwa la moto kwelikweli ndio hivyo tena kazi zetu hizi wakati mwingine ina bidi kujitolea hata viungo vyako.
Hakika kama Mungu akiwa upande wetu hakuna atakaye kuwa kinyume chetu. Hakuna silaha itakayo inuka juu ya wale wamtegemeao Bwana itakayo itakayofanikiwa. Karibu Dr. Ulimboka. Kwa watanzania wenzengu, uko wapi ushujaa wetu, uko wapi moyo wa uzalendo na mshikamano! Tunampokea Dr. Ulimboka kwa shangwe na kama shujaa na kweli ni shujaa. Lakini yako wapi maagizo yake, uko wapi msimamo aliokuwa amesimamia hata kumfikisha hapo, Yako wapi yale aliyoyasimamia kwamba madaktari hakikisheni mnaungana kupata suluhu ya matatizo ya vitendea kazi vyenu, maslahi yenu na mzingira bora ya kufanyia kazi. Kuko wapi kumuunga kwetu mkono iwapo hakuna tulichofanikiwa hata sasa huku tukiwa tayari tumerudi kazini. Je tumesahahu kuwa sivyo alivyotuhusia wakati anaangwa pale Uwanja wa ndege kwenda South Africa kwa matibabu. Je ni kweli aliteseka pasipo sababu, iwapo kile alichosimamia tumeamua kukiacha. I wapi furaha yetu? Je ubinafsi ndo umetuzingira? Mungu atusaidie kuisimamia kweli ikiwa ni pamoja na sisi kuwa wakweli na kuepuka woga.
"Mimi mzima na niko tayari kwa lolote, ahsanteni wanafamilia, madaktari na watanzania wote" Kauli ya Dr. Ulimboka akibubujikwa na machozi... Wadau, karibuni Kwenye season infinity ya mgomo aw madaktari.
TULIONDOKA KWA MACHELA TUMERUDI TUNATEMBEA SERIKALI CHEZEENI WATU MSIMCHEZEE MUNGU HATA KIDOGO-DK
hangwe na vifijo vilirindima na vinaendelea kurindima hapa uwanja wa ndege wa jnia
pale kamanda incharge sijui nimuite general dk ulimboka ama ...anyway utamalizia
alipotokeza kwa miguu yake akishuka kutoka kwenye ndege na akitembea kwa miguu
ilikuwa ngumu kujua nini kimeendelea wapo waliosema jamani mbwite wayanga ndio
anakuja ama lah..la hasha ni kamanda wetu mkuu wa kikosi
dk ulimboka on ground dk chache zilizopita;katika mahojiaano kijana amenifurahisha kwa kumtukuza mungu na kusema aliumizwa vibaya amewasamehe wote waliomtendea maana walichofikiria mungu amekwenda kufanya tofauti yake..na mwisho kuomba serikali wwaendelee kuchezsea watu lakini
wasimchezee mungu wake wa nazareth
mwisho tunakuomba uzidi kumuombea kijana wetu na mapambano bado yanaendelea na ma dk wote wanatarajia kufanya mkutano mkubwa wiki ijayo ikiwa ni pamoja na kurudi kwenye mgomo kwa ajili ya kupata haki yao n a naamini mungu atatuonyesha wazi alimfanyia haya yote dk ulimboka
mungu akutie nguvu ukipata muda dk tuonane nina kaua chako nimeogopa kukurushia jamaa wasije nitupa msitu wa mpande ..tunakupenda tuko nyuma yako kamanda usiogope
Edit Post
Reply
Reply With Quote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.