fadhila zake za milele.
haya haya wafuatiliaji kulitokea mushkeli kidogo hapa niliteleza lakini bahati nilifanikiwa kudaka nguzo kwa mguu mmoja na nikakanyaga bati kwa mkono, doo bati lilikuwa la moto kwelikweli ndio hivyo tena kazi zetu hizi wakati mwingine ina bidi kujitolea hata viungo vyako.
siamini mpaka nione picha hapa! Mhanga wa mabwepande amepona?