UPDATES: Mapokezi ya Dr. Ulimboka na yaliyojiri

UPDATES: Mapokezi ya Dr. Ulimboka na yaliyojiri

Mungu kasikia maombi ya watanzania. Sasa tusubiri ofisi ya Mabwepande itakavyolipuliwa!
 
Gwaride lisichelewe kupigishwa mbele ya Dr. Ulimboka
 
A touching pic

943163522.JPG

423531_450917994931212_2037805386_n.jpg
 
Nimefurahi sana kuona afya ya Dr.Uli ilivyoimarika na amerudi salama,mungu Mkubwa.
 
mashujaa hupatikana baada ya matukio kama haya.Ulimboka ni shujaa tutake tusitake!
 
Enhee, aelezee alikwenda kupokea rushwa usiku au ilikuwaje? ana mengi ya kujibu. Maan kuitwa bar usiku eti mkaongee kuhusu mgomo na yeye anakwenda tu? haiingii akilini unles kulikuwa kuna element za rushwa.

Jamaa waliompa kichapo walifanya kazi nzuri sana, artistically, kichapo cha maana bila kumtoa roho. Ilikuwa ni kumshikisha adabu tu ajuwe na wagonjwa wanaumwa vipi. Naona atakuwa sasa kaelewa kuumwa ni nini.

Nna uhakika ataufyata.

Hakuna mtakalosema litaweza kuhalalisha ukatili huu
 
Zoba (zomba) unatia hurumaaaaaaaaaaaaa! sijui tukusaidieje kukutoa huko uliko.

Watu wa Mungu tulioitwa kwa jina lake hebu tujinyenyekeshe na kuomba, tuutafute uso wa Mungu, tuziache njia zetu mbaya! ili apate kusikia kilio chetu, kutusamehe dhambi zetu na kuiponya nchi yetu (2 chronicles 7:14)
 
naogopa sana thread zinazo muhusu Dr Ully
kwa hili,GVT imeachwa uchi ila ule msemo usemao mnyonge hana haki na mkubwa huwa hakosei ndo unatukula.
Pole sana Ramadhani Ighondu aka Ahmeid jina la Kazi,najua unaishi kama digidigi porini kwa kuhofia fisi,chui,simba,chatu.
Ila kwa hili,huna msamaha na malipo ni hapahapa duniani.
Haiwezekani watu waibe kuku wale mvua kirahisirahisi,wewe umeatempt muder uendelee kula bata DSM,hairuhusiwi,huruhusiwi,huruhusiwi,Dr Karudi sasa,omba tena kukutana nae,maana mara ya mwisho ulijua umemuua,sasa karudi.
 
kwa wale tulioko maeneo ya airport tuwekeeni updates za mapokezi ya dr ulimboka.
kwa wale mlioko ndani kabisa ya vyombo vya usalama pia msisite kutupa updates za hali ya mambo.

UPDATES:dr ulimboka anatarajiwa kutua saa nane mchana huu
Dr Ulimboka ameshukuru Mungu wananchi,wanaharakati na madaktari.
Amesisitiza kwa sasa yuko fit na anaweza kufanya chochote!

Time to shame the devil! A hearty wellcome home dr. Ulli; take heart in the fact that hakuna mabadiliko (read mapinduzi) yasiyokuwa na wahanga! your blood and pain will not go in vain, karibu sana mwanakwetu, Dr Ullimboka mashujaa hawapewi pole; wewe ni shujaa, uliteguka ukaumia na sasa umerudi mapambano bado ni magumu, kamata tena rungu, mkuki na mshale uingie uwanjani. best wishes
 
Back
Top Bottom